Suala la Bei ni muhimu mno aiseeNinapoingia sehem kwa mara ya kwanza kula huwa siulizi bei naona aibu sijui kwann!!
huwa natoa tu elfu 10 baada ya kumaliza kula akishanipa chenchi ndo namuliza bei ni kiasi fulan ? anasema ndio basi kishingo upande
🤣🤣🤣🤣🤣kiubishi ubishi utaenda ila mambo mengine utaangalia kwa macho yakupiteUsiniambie ngoja nijipange nikivunja kikoba😀
Muhimu ni kufika Dubai😀🤣🤣🤣🤣🤣kiubishi ubishi utaenda ila mambo mengine utaangalia kwa macho yakupite
Basi weka nia Wakati ukifika uendeMuhimu ni kufika Dubai😀
InshallahBasi weka nia Wakati ukifika uende
Sisi wa kwa mama ntilie majuto yetu huwa madogo tu, unamwambia asiweke maharage anaweka, aweke mboga pembeni anachanganya, sio kesi wala nini. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Zanzibar sijawai enda hata, ila naonaga watu wakienda sidhani kama wanafikisha hiyo 3m
Sie michuzi insaidia kujaza tumbo, siunajua sie ni kula kujaza tumbo🤣[emoji23][emoji23][emoji23] sipendi michuzi yao unamwambia usiweke mchuzi ana weka nili acha chakula ccm kirumba
Mimi michuzi ata home sipendi ase ukitaka tukosane au nisile tia mcuzi jwenye walibSie michuzi insaidia kujaza tumbo, siunajua sie ni kula kujaza tumbo🤣
Sie wengine hapi lazima upigie ndugu, jamaa na marafiki. 😂Juzi nilienda kkoo nikawa na njaa nikaingia sehm fulan kula sasa chakula kilichopo pale nilichokielewa mimi ni ugali nyama choma.
Kwakua ndo chakula changu pendwa mchana huwa nakula ugali nyama choma kwa 3500 mitaa yangu ya job.
sasa pale nikaagiza bila kuuliza bei nimekula nikatoa ten nikarudishiwa buku jero nilishtuka ila nikakausha
Mojito[emoji1474][emoji1474][emoji1474][emoji23][emoji23][emoji23] kwaza nicheke
Ilikuwa siku fulani hiyo nilikuwa na stress balaa sasa nikaona sio tabu ngoja nijitoe out nikatoka paka sehemu yangu pendwa kwa bendi mzuri CAPE TOWN kufika pale nikaomba menu nikachagua kinywaji soft drink as...
Hizo siku 7-8 haitoshi labsa ukae vi hotel vya nyota 3.Kwamba haitoshi?
Mh muhimu ni injoyHizo siku 7-8 haitoshi labsa ukae vi hotel vya nyota 3.
Sisi wa kwa mama ntilie majuto yetu huwa madogo tu, unamwambia asiweke maharage anaweka, aweke mboga pembeni anachanganya, sio kesi wala nini. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] sipendi michuzi yao unamwambia usiweke mchuzi ana weka nili acha chakula ccm kirumba
Au anaweka chakula sahan ina mimaji