Pre GE2025 Ushawishi wa Makonda ni mbingu na ardhi na wa Nchimbi

Pre GE2025 Ushawishi wa Makonda ni mbingu na ardhi na wa Nchimbi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vyovyote vile iwavyo, ukweli ni kuwa Makonda ana nyota ya ushawishi kuliko SG Nchimbi.

Hata ukifuatilia namna mapokeo ya hadhira inayo hudhuria mikutano yao, wazi huwezi kuchelewa kung'amua hilo.

Pamoja na wengi kumpuuza Makonda, lakini ukweli ni kwamba anao ushindi ulio bayana lijapo suala la ushawishi.

Basi kama katika kundi la wabovu alilopo basi yeye ni mbovu mwenye nafuu.
Hujasema bado utasema.Huu ni mwanzo tu.
 
Rule # 1

Never outshine the master

[https://encrypted-tbn0]

Always

Sahihi kabisa, Kosa kubwa la kimahesabu ambalo Nchimbi KESHAANZA kulifanya ni Hilo la kujifanya anampiga jungu mtu ambaye anachokifanya, ndicho Wananchi wanataka.

Niliwahi andika humu, MAGUFULI amewaonyesha watanzania ni Kiongozi wa aina gan anayefaa.

Nikasema pia, Kwa Sasa kisiasa ili ukubarike ni LAZIMA NA SEMA NI LAZIMA UWE UMEVAA VIATU VYA MAGUFULI kinyume nahapo hutoeleweka hata ufanye nn.


Dr Nchimbi, asidhani yeye ni speshooo sana, DOLA inajua , na DOLA ndio inayoeneesha CCM, Mh Paul Makonda, majuzi kagusia kitu Cha msingi sana kwamba "Kwenye CCM yetu Kuna wakati hatuleti MGOMBEA kisa anapendwa na wajumbe, Kuna wakati tunawasikiliza Wananchi wanataka nini!!.



Dr. Nchimbi akitaka Vita na Makonda, Ataanguka yeye mwenyewe !!.

Makonda ndio wale ambao ukiwagusa, Mungu anakuchapa.

Makonda keshapewa Baraka zoooote na Wazee wa Nchi.
Rule # 2

Always observe Rule # 1
 
Viatu vya Magufuli hayupo atakayevivaa vikamuenea.

Kitu pekeee chenye mvuto Kwa sasa ni Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi.

Tusubiri.
 
Back
Top Bottom