Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Hakuna sehemu nimeandika Wahindi kutotawawila na Waislamu. Wala sijataja utawala wa Wahindi, Abdul Kalam si alikuwa Mwislamu na akawa kiongozi wa India tena akawa successful na hapo aliisaidia India kutengeneza bomu la nyuklia.

Kuchagua Rais Mkristo pale Zanzibar ni kitu kingine, kugeuza Zanzibar isifunge mwezi wa Ramadhani ni kitu kingine kabisa ambacho Rais Mkristo hawezi na akilazimisha ajiandae kupambana
 

Quran na hadith za kiislam zimejaa contradictions. Verse chache zina mafunzo mazuri. Ila verse nyingi zimejaa chuki kwa watu wasio waislam.

Mtu kuhama dini ya kiislam ni anauliwa kwa kukatwa kichwa , hiyo ipo mpaka leo kwenye nchi zote zinazofata sharia za kiislam. Wanamuita Murtad.

Pia kuna verse za chuki kibao

-O you who believe! Fight those of the unbelievers who are near to you
and let them find in you hardness."
(Quran 9:123)

-And fight them until there is no more persecution and religion is only for Allah"
(Quran 8:39)

-I have been commanded to fight
against people till they testify that there is no god but Allah, and that Muhammad
is the messenger of Allah"
(Muslim 1:33)
 
Maneno yako ya mwisho tu,yameonesha Huna akili kabisaa.

Hivi,upo katika imani and you are proud of,unaweza kweli kujali nini binadamu atakufanyia??

Huku bongo mnavyozinguaga wakristo sijui quran imechanwa sijui mtu kala mchana,jamaa hawajinugi kitu.

Kama unamwamini Allah,then tulia..kadhia zote wacha zikupate,ila yote na yote,usimfanyie mwenzako usichopenda kufanyiwa.
 
Na issue ya Myanmar usiongee kabisa mkuu, ugaidi gani Myanmar hivi hata hao waliokuwa wakiuliwa umewaona? Watu wa vijijini kabisa wamechoka vibaya mno. Watu wanafika wanafanya masacre wilaya nzima, watu wamekufa kwa malaki.
Ni kweli kabila la Lohingya linatia huruma sana, kwa madhira wanayofanyiwa na Serikali ya Burma. Ila kumbuka tena Baba Mwajuma kuwa Yao ni Wabudha. They don’t have CHRIST the Prince of Peace. Sasa wamekutana na Waislam ambao nao hawana Christ. Usije ukamiambia suala la Israel vs Palestinian. Kwani Wayahudi hawana Christ. Maskini Christian Palestinians are pursecuted by Israel and their fellow muslim Palestinians
 
 
Hadithi Idadi 26,245,inasemaje.msomi kuhusu hayo mambo ya ushoga??
Nelson huyo jamaa asilubabaishe. Siku hizi mambo yote yako mtandaoni. Ona hapa Allah nifuraha yake watu wakitenda dhambi, ili tu wamuombe msamaha
 

Attachments

  • 2C979032-DB12-45CB-8529-F586433A8B20.png
    261.1 KB · Views: 6
Haya Ona hii Sahih Hadithi inayosema Allah ataka watu wafanye dhambi, ili tu wamuombe msamaha
 

Attachments

  • 318BD77C-8540-46F6-9B85-97FE8E2F8B25.png
    261.1 KB · Views: 6
Haya Ona hii Sahih Hadithi inayosema Allah ataka watu wafanye dhambi, ili tu wamuombe msamaha
Na hii sasa ni Quran ,Allan na Malaika wanasali kwa Mtume
 
Haya Ona hii Sahih Hadithi inayosema Allah ataka watu wafanye dhambi, ili tu wamuombe msamaha
Sahil

Asili ya binadamu ni kutenda dhambi hata biblia inamjua hyo ndo asili yake ndo maana Kuna msamaha hata leo tunajua hakuna asiye na dhambi .


Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) having said:
By Him in Whose Hand is my life, if you were not to commit sin, Allah would sweep you out of existence and He would replace (you by) those people who would commit sin and seek forgiveness from Allah, and He would have pardoned them.


Kama unabisha niletee binadamu asiye na dhambi ...Binadamu wote ni wadhaifu ndo maana Kuna ibada na kukumbushana
 
Sikiliza huyo mwenzio akipewa akielimishwa
 
Sikiliza huyo mwenzio akipewa akielimishwa
Kuna nn hapo sasa😂😂nimesoma yote no porojo hata media ni ya wakristo watupu hawana mpya.


Bible 👇👇

Hali ya dhambi iko kwa kila binadamu. Sisi sote tuna asili ya dhambi, na huathiri kila sehemu yetu. Hii ni mafundisho ya uharibifu wa jumla, na ni Kibiblia. Sisi sote tumepotea (Isaya 53: 6). Paulo anakiri kwamba "shida ni pamoja nami, kwa maana mimi ni binadamu wote, mtumwa wa dhambi" (Warumi 7:14). Paulo alikuwa na mwili wa "asili ya dhambi" mtumwa wa sheria ya dhambi "(Warumi 7:25). Sulemani anakubaliana: "Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, ambaye afanya mema, asifanye dhambi" (Mhubiri 7:20). Mtume Yohana labda anaweka waziwazi: "Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo mwetu" (1 Yohana 1: 😎.


Hata nyie mnaamini kifo ni kwamba vile ya madhambi ya wanadamu na ndo maana kinawapata wote👇👇
Kutoka kwa kizazi hadi kizazi, asili ya dhambi ilipitishwa kwa wanadamu wote: "Kwa hiyo, kama kwa mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti ikawafikia watu wote kwa sababu wote wamefanya dhambi" (Warumi 5:12). Aya hii pia inatoa ukweli usio na nguvu kwamba asili ya dhambi inaongoza hadi kifo (tazama pia Warumi 6:23 na Waefeso 2: 1).


NB; NIPO ONLINE MASAAA 24 ULIZA CHOCHOTE
 
Sikiliza huyo mwenzio akipewa akielimishwa
Hii channel ni pumba kwanza hajiami I anaficha then anafuta baadhi ya reply anaacha zile zinazosapot...hao andika wamaslimu ni fictions hakuna uhalisia kabisa.

Mtu muoga mbona wapo waubiri wakubwa duniani wanajulikana hata bongo mbona midahalo mikubwa ipo.
 
Uzi ulikuwa na flow mzuri hadi wewe ulipoingia na kuanza kuchafua.

Hivi huwaga hujistukii hii Tania yako ya kuleta violence na kuquote watu maneno ya hovyo? Alafu unapenda kutaja neno shoga karibia kila comment,Kuna kitu hakipo sawa kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…