Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Mimi
Hawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga miripiko waitwe magaidi.
View attachment 2545861

View attachment 2545864
Mimi ni mkristo na nasema hii sio haki kabisa ya kuabudu. Wahindi wamevuka mipaka katika unyanyasaji wa binadamu wenye milengo tofauti na wao. Kwanini hawaeshimu Imani za wengine mpaka kufikia hatua ya kuwatendea vibaya watu wenye Imani tofauti na wao?
Pia issues za kuwanyanyasa waafrika( watu wenye ngozi nyeusi) zimekuwa kubwa sana India. Ifikie kipindi jicho la kimataifa linaloshigurikia usawa wa kibinaadamu lishugurike na hawa watu. Nyumbani Tanzania wanaishi kwa amani sana bila hata kuingiliwa katika religious practices zao. Wana bahati sana sina mamlaka ya kutoa amri juu yao na ikatekelezeka vinginevyo they could have felt the same pinch
 
Kwahiyo mkuu, kumbe wanalipiziana?!😳
Ngoja niingie vizuri kufuatilia hili swala ili nijiridhishe binafsi🙆
Ngoja nikuambia hapo Asia ni watu wanaotafuta utawala wao kwa wao ...Huwezi kuwaelewa piga mahesabu isreal wanavyoua wapalestina ila kitu haipo kidunia kwamba Kuna janga hilo watu wapo kimya ila ngoja itokee zamu yao .

Mfano mwingine waislamu walikuwa wanauliwa china mpaka Messi mwenyewe akapaza sauti ila hata wewe inawezekana hata hujui maana media kubwa hawawezi kutangza. Kabisa.
 
Ngoja nikuambia hapo Asia ni watu wanaotafuta utawala wao kwa wao ...Huwezi kuwaelewa piga mahesabu isreal wanavyoua wapalestina ila kitu haipo kidunia kwamba Kuna janga hilo watu wapo kimya ila ngoja itokee zamu yao .

Mfano mwingine waislamu walikuwa wanauliwa china mpaka Messi mwenyewe akapaza sauti ila hata wewe inawezekana hata hujui maana media kubwa hawawezi kutangza. Kabisa.
Kwa haya mnayosema nakiri kuwa wengi hatujui kile halisi kinachoendelea huko Asia. Access tulizo nazo zinatufanya tupate habari za upande mmoja...
 
piga mahesabu isreal wanavyoua wapalestina ila kitu haipo kidunia kwamba Kuna janga hilo watu wapo kimya ila ngoja itokee zamu yao .
Koran ilisema Israel ikawauwe wote , ilikuwaje wakawabakiza
 
Mbusu jiwe sikupi nenda kasome kwanza

Au leta hapa Koran inasema msali sala Tano kwa siku [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Sisi ndio tunaoswali tumepitisha wewe mpingaji pumbavu ulete ushahidi wako hapa ili ueleweke

Na wake wenzio wa papa na ole wako usipoleta utakua mke wa papa halisi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom