Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Msomi unajua maana ya kuuliza????Mimi nimekuuliza kuhusu adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibin Abu Sufyan hujanijibu ndugu yangu
Kasome American crusade war then uje hapa ...Hata hapa Africa mauaji kibao kama ya kimbali kasome kwa undani utajua dini yako.
 
Umenikwepa msomi Nimekuuliza kwahiyo waislamu hawaitambui adithi idadi:16,245 aliyosema Mu'waiya Ibin Abu Sufyan????
Hadithi dhaifu maana haipo imetungwa Haina uthibitisho na htuisomo ipo katika hadithi dhaifu zilizochujwa ...still haifuati Qur an totally porojo
 
Tulikua tunazungumzia ushoga ulisema umeletwa na wakrsto Indonesia na mimi nikakuomba unisomee adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibin Abu Sufyan
Indonesia haujwahi kufika ..Most gays-friendly countries in the world
G_L-2.jpg
 
Hadithi dhaifu maana haipo imetungwa Haina uthibitisho na htuisomo ipo katika hadithi dhaifu zilizochujwa ...still haifuati Qur an totally porojo
Kuna sheikh yoyote humu JF atusaidie kusema adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibn Suyfan inasemaje msomi???
 
Kuna sheikh yoyote humu JF atusaidie kusema adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibn Suyfan inasemaje msomi???
Sio sahili ...kaulize dunia nzima .

Yaani kupitia elimu ya uislamu sio kukariri kitu kama sio sahihi kwa haraka tu najua hiki sio sahihi.
 
ila mhindi ni mbaguzi sana, uwa anajiona kama kizazi teule apa duniani wakati ata vyoo wanashindwa kujenga kama wabongo, ila mwarabu nae ni noma apo wamekutana wabaguzi tupu wakibaguana.

mwalimu nyerere alisema dini moja ikimpiga mwingine atabaki yey mwenyewe lakin baadae bado kwenye iyo iyo dini moja yataibuka makundi.. hao wote wanaubaguzi mbaya sana. waache wakomae kivyaovyao
 
Nitafutie sheikh msomi wa dini ya kiislamu nimuulize kama haya maneno ya Mu'waiya ibn abu sufyan ya adithi idadi:16,245 ni ya kweli au uongo.Sawa msomi afu tuendelee na mjadala wa ushoga
Sio sahili ...kaulize dunia nzima .

Yaani kupitia elimu ya uislamu sio kukariri kitu kama sio sahihi kwa haraka tu najua hiki sio sahihi.
 
Nilichokusahiisha ni kua haianzii uturuki bali inaanzia asia ya kati kabla hata miliki ya Ottoman empire kuwepo na baadae taifa la uturuki kuzaliwa baada ya mapinduzi ya kijeshi msomi.Au hujui histori ta asia ya kati msomi??
Unapenda kweli kuongea stori za Vijiweni.

Turkic inaanzia Uturuki Aka Eurasia, ipo mpaka wa Europe na Asia pale katika Turkic people 165,000,000 ambao wapo Duniani Takriban nusu 75,000,000 wao uturuki, Kutokea pale ikasambaa huko Asia ya kati mpaka Ughuyr.

Map_of_Independent_Turkic_countries.svg.png



Evidence mbalimbali na scientific research zinaonesha Turkic people ni Diverse Ethnic group haikuanzia Asia pekee (Mongolia na China) kama wengi wanavyodhani.

Hizi baadhi ya Evidence.


"Moreover, Turks do not all physically look alike. They never did. The Turks of Turkey are famous for their range of physical types. Given the Turks’ ancient Inner Asian origins, it is easy to imagine that they once presented a uniform Mongoloid appearance. Such traits seem to be more characteristic in the eastern Turkic world; however, uniformity of type can never have prevailed there either. Archeological evidence indicates that Indo-Europeans, or certainly Europoid physical types, inhabited the oases of the Tarim basin and even parts of Mongolia in ancient times. In the Tarim basin, persistence of these former inhabitants’ genes among the modern Uyghurs is both observable and scientifically demonstrable.32 Early Chinese sources describe the Kirghiz as blue-eyed and blond or red-haired. The genesis of Turkic ethnic groups from earliest times occurred in confederations of diverse peoples. As if to prove the point, the earliest surviving texts in Turkic languages are studded with terms from other languages." (Findley 2005)

Some DNA tests point to the Iranian connections of the Ashina and Ashide,133 highlighting further that the Turks as a whole ‘were made up of heterogeneous and somatically dissimilar populations’.134 Geographically, the accounts cover the regions of Inner Mongolia, Gansu, Xinjiang, the Yenisei zone and the Altay, regions with Turkic, Indo-European (Iranian [Saka] and Tokharian), Yeniseic, Uralic and other populations. Wusun elements, like most steppe polities of an ethno-linguistic mix, may have also played a substratal role." (Golden peter 2018)
 
Nitafutie sheikh msomi wa dini ya kiislamu nimuulize kama haya maneno ya Mu'waiya ibn abu sufyan ya adithi idadi:16,245 ni ya kweli au uongo.Sawa msomi afu tuendelee na mjadala wa ushoga
😂😂😂Hakuna atakaye kujibu tofauti.

Uzuri ataona ni hadithi mpya kabisa zile common zinajulikana kila kona .

Akikujibu njoo Tena kwangu hata Dm
 
Back
Top Bottom