Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Nimekupa majibu hutaki basi sema ni Aya ipi?🤣Kasome American crusade war then uje hapa ...Hata hapa Africa mauaji kibao kama ya kimbali kasome kwa undani utajua dini yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupa majibu hutaki basi sema ni Aya ipi?🤣Kasome American crusade war then uje hapa ...Hata hapa Africa mauaji kibao kama ya kimbali kasome kwa undani utajua dini yako.
Kasome American crusade war then uje hapa ...Hata hapa Africa mauaji kibao kama ya kimbali kasome kwa undani utajua dini yako.
Umenikwepa msomi Nimekuuliza kwahiyo waislamu hawaitambui adithi idadi:16,245 aliyosema Mu'waiya Ibin Abu Sufyan????Nimekupa majibu hutaki basi sema ni Aya ipi?🤣
Kwa hiyo kuwa ni muawia ndio hadith haiwi dhaifu tumia akili basiKweli waislamu hawamjui Mu'waiya ibin Abu Sufyan????Au wewe ndio humjui msomi????
Zilete izo hadithi sasa kumbe huzijui una hakika gani ?Msomi unajua maana ya kuuliza????Mimi nimekuuliza kuhusu adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibin Abu Sufyan hujanijibu ndugu yangu
Hadithi dhaifu maana haipo imetungwa Haina uthibitisho na htuisomo ipo katika hadithi dhaifu zilizochujwa ...still haifuati Qur an totally porojoUmenikwepa msomi Nimekuuliza kwahiyo waislamu hawaitambui adithi idadi:16,245 aliyosema Mu'waiya Ibin Abu Sufyan????
Tulikua tunazungumzia ushoga ulisema umeletwa na wakrsto Indonesia na mimi nikakuomba unisomee adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibin Abu SufyanNipo hapa masaa 24 sijawahi kukimbia hata siku moja
Indonesia haujwahi kufika ..Most gays-friendly countries in the worldTulikua tunazungumzia ushoga ulisema umeletwa na wakrsto Indonesia na mimi nikakuomba unisomee adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibin Abu Sufyan
Kua specific imesahihishwa lini hiyo hadith na waislamTulikua tunazungumzia ushoga ulisema umeletwa na wakrsto Indonesia na mimi nikakuomba unisomee adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibin Abu Sufyan
Kuna sheikh yoyote humu JF atusaidie kusema adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibn Suyfan inasemaje msomi???Hadithi dhaifu maana haipo imetungwa Haina uthibitisho na htuisomo ipo katika hadithi dhaifu zilizochujwa ...still haifuati Qur an totally porojo
Ebu mwambie! Maana anajua uislamu ni kukariri tuKua specific imesahihishwa lini hiyo hadith na waislam
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio sahili ...kaulize dunia nzima .Kuna sheikh yoyote humu JF atusaidie kusema adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibn Suyfan inasemaje msomi???
Kua specific imesahihishwa lini hiyo hadith na waislam
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio sahili ...kaulize dunia nzima .
Yaani kupitia elimu ya uislamu sio kukariri kitu kama sio sahihi kwa haraka tu najua hiki sio sahihi.
Kwenye ulimwengu wa hadith sio muawia tu yeyote yule hadith yake kama haiendani na quran na haija sahihishwa na wanawazuoni wa kiislam hiyo fakeWaislamu wapi sasa msomi wanaisahiisha???Au Mu'wayia ibn Abu Sufyan hakua muislamu msomi???
Unapenda kweli kuongea stori za Vijiweni.Nilichokusahiisha ni kua haianzii uturuki bali inaanzia asia ya kati kabla hata miliki ya Ottoman empire kuwepo na baadae taifa la uturuki kuzaliwa baada ya mapinduzi ya kijeshi msomi.Au hujui histori ta asia ya kati msomi??
Wikipedia sio source, ila source unazipata wikipedia, kila kinachoandikwa kina reference, unazipata, usipoona reference ndio unaweza kucriticise.Msomi na wewe unaiamini hii Wikipedia chombo cha wazungu kutoa data????
Ndio nafahamu, Baada ya kuvamia wakasilimu na kuwa waisilamu, endelea.Sasa walivamia bara hindi na bara arabu mpaka Baghdad na wakaweka himaya zao na walipigana sana na wafalme wa kihindi na makhalifa wa kiarabu.Najua unajua hilo msomi.
😂😂😂Hakuna atakaye kujibu tofauti.Nitafutie sheikh msomi wa dini ya kiislamu nimuulize kama haya maneno ya Mu'waiya ibn abu sufyan ya adithi idadi:16,245 ni ya kweli au uongo.Sawa msomi afu tuendelee na mjadala wa ushoga