Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Sikiliza huyo mwenzio akipewa akielimishwa
Angalia mapapa wako sijui sangara walikuwa Vatican wakijadili almost mwezi mzima wamekuja na solution wakubali ushoga.Uzi ulikuwa na flow mzuri hadi wewe ulipoingia na kuanza kuchafua.
Hivi huwaga hujistukii hii Tania yako ya kuleta violence na kuquote watu maneno ya hovyo? Alafu unapenda kutaja neno shoga karibia kila comment,Kuna kitu hakipo sawa kwako.
Kama waislamu wangekuwa wanaeneza dini kwa staili yako wewe hii ya kihuni,I swear wasingepata mtu hata mmoja.Angalia mapapa wako sijui sangara walikuwa Vatican wakijadili almost mwezi mzima wamekuja na solution wakubali ushoga.
We jiandae kuolewa ! Soma mada imeanzia wapi usiwe unakurupuka.
Kumbe yanakuuma ndo ninavyotka uchukie !Kama waislamu wangekuwa wanaeneza dini kwa staili yako wewe hii ya kihuni,I swear wasingepata mtu hata mmoja.
Wewe ni muhuni uliyejificha katika kivuli cha dini. Unapaswa ujitafakari Sana.
Accumen acha kuhadaa umma, unaleta debates za miaka 6 mpaka 11 iliyopita!! Habari ya mjini sikuhizi ni uongo na inconsistence iliyopo kwenye Quran na Hadith. Christian Prince ni waislam wenyewe humpigia na Hizo clips ni latest. Vile vile search kwenye YouTube speaker’s corner-UK uone waislam wanavyoshindwa midahaloView attachment 2546826View attachment 2546827
Sijasearch kwamba nan kashinda nimeandika Best religious debate in the world...Wakristo walishinda against atheist pekee.
Debate zote kama wamefanya 100 basi 90 wameshinda waislamu na 10 draw...😂😂
View attachment 2546826View attachment 2546827
Sijasearch kwamba nan kashinda nimeandika Best religious debate in the world...Wakristo walishinda against atheist pekee.
Debate zote kama wamefanya 100 basi 90 wameshinda waislamu na 10 draw...😂😂
Hamna kitu kwamba hajiamini hata Mimi namtoa knock out ...haonyeshi uhalisia wale hawezi kwenda public 😂😂😂akutane na Muslim scholars yaani wale kwa wewe zakri naik humjui?Accumen acha kuhadaa umma, unaleta debates za miaka 6 mpaka 11 iliyopita!! Habari ya mjini sikuhizi ni uongo na inconsistence iliyopo kwenye Quran na Hadith. Christian Prince ni waislam wenyewe humpigia na Hizo clips ni latest. Vile vile search kwenye YouTube speaker’s corner-UK uone waislam wanavyoshindwa midahalo
Atheist ndo ukristo? Mbona unaleta video hata wewe huju?
Mimi nakuhesabu Kama mtoto tu anayeanza kubalehe. Kijana anyebalehe Huwa anakuwa na Moto/mbwembwe nyingi Sana,ila kadili muda unavyoenda anajipata. Kuna wakati utafika utazisoma hizi comments unazotukana watu kwa Kisha utajiona hukuwa na akili. Binafsi nakuchukulia Kama katoto fulani,maana unasomeka Kama premature.Kumbe yanakuuma ndo ninavyotka uchukie !
Ndo dawa iwaingie shenzi kabisa.
Ajitokeze ili mumuue, umesahau mulivyomtafuta Salman Rushidie mpaka mkafanikiwa kumtia ukilema wa macho kule USA?!!Hamna kitu kwamba hajiamini hata Mimi namtoa knock out ...haonyeshi uhalisia wale hawezi kwenda public 😂😂😂akutane na Muslim scholars yaani wale kwa wewe zakri naik humjui?
Why anajificha na anafuta comments za waislamu kweny channel yake ... Totally hajui na ni actor alete video yupo public ..
Anafuatwa na watu washamba wachache zipo debata kubwa hata Bongo na hta kidunia sijwahi kuona mkristo akishinda mpaka naingia kaburi sitokuja kuona .
Kajamaa ni YouTubers kanajua wakristo wengi ni washamba wanafuata mkumbk basi kanawashikia akili
Ajitokeze ili mumuue, umesahau mulivyomtafuta Salman Rushidie mpaka mkafanikiwa kumtia ukilema wa macho kule USA?!!
Satoh Hirosh njoo uone hukuHawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga miripiko waitwe magaidi.
View attachment 2545861
View attachment 2545864
Kwahiyo huyu bwana Ibn Abu Sufyan alisema uongo hakuyaona haya au sababu ni ukweli ndio anakataliwa alichokisema???Kwenye ulimwengu wa hadith sio muawia tu yeyote yule hadith yake kama haiendani na quran na haija sahihishwa na wanawazuoni wa kiislam hiyo fake
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi nimeuliza kuhusu ushoga na na hii adithi ya Mu'waiya ibn Abu Sufyan adithi idadi:16,245????Maana mdau kasema wakrsto ndio mashoga na mimi nikataka ufafanuzi hii adithi???Nelson huyo jamaa asilubabaishe. Siku hizi mambo yote yako mtandaoni. Ona hapa Allah nifuraha yake watu wakitenda dhambi, ili tu wamuombe msamaha
Sasa msomi kwahiyo Mu'waiya Ibn Abu Sufyan alisema uongo na kumsingizia muhamad kwenye hii adithi idadi:16,245??????Maana tulikua tunajadili kuhusu ushoga msomi mmoja akasema ni wakrsto tu na mimi nikamuomba tujadili hii adithi idadi na maneno ya Mu'waiya ibn Abu Sufyan.Nimesoma ila mpaka niende uarabuni maana vitu vya gugo huwezi kuelewa ,vipi wewe umeenda Saudia Arabia na kujua kuhusu hiyo attachment ?
Uturuki imekuja juzi msomi miaka ya 1900,s baada ya ottoman era ila jamii za hao watu walikuepo kitambo huko asia ya kati.Usitegemee google au Wikipedia vyombo vya wazungu kujua ukweli.Kakae na waturuki au watu wa jamii ya asia ya kati wakujuze historia yao msomiUnapenda kweli kuongea stori za Vijiweni.
Turkic inaanzia Uturuki Aka Eurasia, ipo mpaka wa Europe na Asia pale katika Turkic people 165,000,000 ambao wapo Duniani Takriban nusu 75,000,000 wao uturuki, Kutokea pale ikasambaa huko Asia ya kati mpaka Ughuyr.
View attachment 2546427
Evidence mbalimbali na scientific research zinaonesha Turkic people ni Diverse Ethnic group haikuanzia Asia pekee (Mongolia na China) kama wengi wanavyodhani.
Hizi baadhi ya Evidence.
"Moreover, Turks do not all physically look alike. They never did. The Turks of Turkey are famous for their range of physical types. Given the Turks’ ancient Inner Asian origins, it is easy to imagine that they once presented a uniform Mongoloid appearance. Such traits seem to be more characteristic in the eastern Turkic world; however, uniformity of type can never have prevailed there either. Archeological evidence indicates that Indo-Europeans, or certainly Europoid physical types, inhabited the oases of the Tarim basin and even parts of Mongolia in ancient times. In the Tarim basin, persistence of these former inhabitants’ genes among the modern Uyghurs is both observable and scientifically demonstrable.32 Early Chinese sources describe the Kirghiz as blue-eyed and blond or red-haired. The genesis of Turkic ethnic groups from earliest times occurred in confederations of diverse peoples. As if to prove the point, the earliest surviving texts in Turkic languages are studded with terms from other languages." (Findley 2005)
Some DNA tests point to the Iranian connections of the Ashina and Ashide,133 highlighting further that the Turks as a whole ‘were made up of heterogeneous and somatically dissimilar populations’.134 Geographically, the accounts cover the regions of Inner Mongolia, Gansu, Xinjiang, the Yenisei zone and the Altay, regions with Turkic, Indo-European (Iranian [Saka] and Tokharian), Yeniseic, Uralic and other populations. Wusun elements, like most steppe polities of an ethno-linguistic mix, may have also played a substratal role." (Golden peter 2018)
Source msomi unatafuta wahusika unaona hali halisi kwa jambo husika.Huwezi kuwazungumzia turks na mambo yao kama hujawahi kukaa na jamii ya turks na kujua mambo na historia yao.Hizo reference ni mapendekezi tu ya individuals.Njia nzuri ya kuijua dunia ni kusafiri sehemu mbalimbali dunianiWikipedia sio source, ila source unazipata wikipedia, kila kinachoandikwa kina reference, unazipata, usipoona reference ndio unaweza kucriticise.
Sasa utakubaliana na mimi moguls walipofika bara hindi waliwakuta wahindi na hawakua jamii ndogo ndogo.Tutafute muhindi atuelezee vizuri hapa historia ya bara hindi.Ndio nafahamu, Baada ya kuvamia wakasilimu na kuwa waisilamu, endelea.
Kwahiyo kwa kua Ibn Suyfan katika hii adithi idadi:16,245 kazungumza haya ndio unakataa maneno ya huyu Mu'waiya au humujui ?????????Ngoja nitafute sheikh mwanazuoni anisaidie hapa msomi maana hii adithi imenishtua kweli kweli.Una maanisha hapa duniani waislamu hawaijui hii adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibn Abu Sufyan????????😂😂😂Hakuna atakaye kujibu tofauti.
Uzuri ataona ni hadithi mpya kabisa zile common zinajulikana kila kona .
Akikujibu njoo Tena kwangu hata Dm
Nitasoma mkuu hizo crusade war,s lakini pia na wewe usome islamnazation war bara arabu na asia ya kati na afrika.Mimi naona hakuna tofauti.Au nakosea mkuuKasome American crusade war then uje hapa ...Hata hapa Africa mauaji kibao kama ya kimbali kasome kwa undani utajua dini yako.