Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Sikiliza huyo mwenzio akipewa akielimishwa


Sijasearch kwamba nan kashinda nimeandika Best religious debate in the world...Wakristo walishinda against atheist pekee.


Debate zote kama wamefanya 100 basi 90 wameshinda waislamu na 10 draw...😂😂
 
Uzi ulikuwa na flow mzuri hadi wewe ulipoingia na kuanza kuchafua.

Hivi huwaga hujistukii hii Tania yako ya kuleta violence na kuquote watu maneno ya hovyo? Alafu unapenda kutaja neno shoga karibia kila comment,Kuna kitu hakipo sawa kwako.
Angalia mapapa wako sijui sangara walikuwa Vatican wakijadili almost mwezi mzima wamekuja na solution wakubali ushoga.

We jiandae kuolewa ! Soma mada imeanzia wapi usiwe unakurupuka.
 
Angalia mapapa wako sijui sangara walikuwa Vatican wakijadili almost mwezi mzima wamekuja na solution wakubali ushoga.

We jiandae kuolewa ! Soma mada imeanzia wapi usiwe unakurupuka.
Kama waislamu wangekuwa wanaeneza dini kwa staili yako wewe hii ya kihuni,I swear wasingepata mtu hata mmoja.

Wewe ni muhuni uliyejificha katika kivuli cha dini. Unapaswa ujitafakari Sana.
 
Kama waislamu wangekuwa wanaeneza dini kwa staili yako wewe hii ya kihuni,I swear wasingepata mtu hata mmoja.

Wewe ni muhuni uliyejificha katika kivuli cha dini. Unapaswa ujitafakari Sana.
Kumbe yanakuuma ndo ninavyotka uchukie !
Ndo dawa iwaingie shenzi kabisa.
 
Accumen acha kuhadaa umma, unaleta debates za miaka 6 mpaka 11 iliyopita!! Habari ya mjini sikuhizi ni uongo na inconsistence iliyopo kwenye Quran na Hadith. Christian Prince ni waislam wenyewe humpigia na Hizo clips ni latest. Vile vile search kwenye YouTube speaker’s corner-UK uone waislam wanavyoshindwa midahalo
 
Hamna kitu kwamba hajiamini hata Mimi namtoa knock out ...haonyeshi uhalisia wale hawezi kwenda public 😂😂😂akutane na Muslim scholars yaani wale kwa wewe zakri naik humjui?


Why anajificha na anafuta comments za waislamu kweny channel yake ... Totally hajui na ni actor alete video yupo public ..

Anafuatwa na watu washamba wachache zipo debata kubwa hata Bongo na hta kidunia sijwahi kuona mkristo akishinda mpaka naingia kaburi sitokuja kuona .



Kajamaa ni YouTubers kanajua wakristo wengi ni washamba wanafuata mkumbk basi kanawashikia akili
 
Kumbe yanakuuma ndo ninavyotka uchukie !
Ndo dawa iwaingie shenzi kabisa.
Mimi nakuhesabu Kama mtoto tu anayeanza kubalehe. Kijana anyebalehe Huwa anakuwa na Moto/mbwembwe nyingi Sana,ila kadili muda unavyoenda anajipata. Kuna wakati utafika utazisoma hizi comments unazotukana watu kwa Kisha utajiona hukuwa na akili. Binafsi nakuchukulia Kama katoto fulani,maana unasomeka Kama premature.
Binafsi nawaheshimu waislamu wengi tu,mtaani na humu ndani Kama adriz na kisai(zuri)

Nakuombea neema siku moja uache lugha za matusi na ujibizane hoja kwa hoja.
 
Ajitokeze ili mumuue, umesahau mulivyomtafuta Salman Rushidie mpaka mkafanikiwa kumtia ukilema wa macho kule USA?!!
 
Ajitokeze ili mumuue, umesahau mulivyomtafuta Salman Rushidie mpaka mkafanikiwa kumtia ukilema wa macho kule USA?!!


Hii ndo kitu anaogopa wanataka kuzuia hili watu wanajitambua na kuingia kweny uislamu kwa sana ila hatoweza.
 
Nelson huyo jamaa asilubabaishe. Siku hizi mambo yote yako mtandaoni. Ona hapa Allah nifuraha yake watu wakitenda dhambi, ili tu wamuombe msamaha
Mimi nimeuliza kuhusu ushoga na na hii adithi ya Mu'waiya ibn Abu Sufyan adithi idadi:16,245????Maana mdau kasema wakrsto ndio mashoga na mimi nikataka ufafanuzi hii adithi???
 
Nimesoma ila mpaka niende uarabuni maana vitu vya gugo huwezi kuelewa ,vipi wewe umeenda Saudia Arabia na kujua kuhusu hiyo attachment ?
Sasa msomi kwahiyo Mu'waiya Ibn Abu Sufyan alisema uongo na kumsingizia muhamad kwenye hii adithi idadi:16,245??????Maana tulikua tunajadili kuhusu ushoga msomi mmoja akasema ni wakrsto tu na mimi nikamuomba tujadili hii adithi idadi na maneno ya Mu'waiya ibn Abu Sufyan.
 
Uturuki imekuja juzi msomi miaka ya 1900,s baada ya ottoman era ila jamii za hao watu walikuepo kitambo huko asia ya kati.Usitegemee google au Wikipedia vyombo vya wazungu kujua ukweli.Kakae na waturuki au watu wa jamii ya asia ya kati wakujuze historia yao msomi
 
Wikipedia sio source, ila source unazipata wikipedia, kila kinachoandikwa kina reference, unazipata, usipoona reference ndio unaweza kucriticise.
Source msomi unatafuta wahusika unaona hali halisi kwa jambo husika.Huwezi kuwazungumzia turks na mambo yao kama hujawahi kukaa na jamii ya turks na kujua mambo na historia yao.Hizo reference ni mapendekezi tu ya individuals.Njia nzuri ya kuijua dunia ni kusafiri sehemu mbalimbali duniani
 
😂😂😂Hakuna atakaye kujibu tofauti.

Uzuri ataona ni hadithi mpya kabisa zile common zinajulikana kila kona .

Akikujibu njoo Tena kwangu hata Dm
Kwahiyo kwa kua Ibn Suyfan katika hii adithi idadi:16,245 kazungumza haya ndio unakataa maneno ya huyu Mu'waiya au humujui ?????????Ngoja nitafute sheikh mwanazuoni anisaidie hapa msomi maana hii adithi imenishtua kweli kweli.Una maanisha hapa duniani waislamu hawaijui hii adithi idadi:16,245 ya Mu'waiya Ibn Abu Sufyan????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…