Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Mtajichanganya sana, hatimaye mnakuta ukweli uko kwenye Biblia; na ndyo maana Yule Shekhe kasima Vijana wanaacha Uislamu Kama Sunami. Pia Ona kule Irani wale watoto wa kike walivyowakataa Maayatolah
Wapi kwa hyo kanjsa linasapot ushoga nawe unalisapot huwezi kupinga huko German?

Unamkumbuka kimaro aliposema vijana wa kikristo wengi sio waaminifu ?

Ukweli upi na Issa tunasoma ipo sura na sio Mungu ni nabii !

Wapi hata kweny biblia kasema yeye ni Mungu? Sisi tunajua mitume wote duniani
 
Mtajichanganya sana, hatimaye mnakuta ukweli uko kwenye Biblia; na ndyo maana Yule Shekhe kasima Vijana wanaacha Uislamu Kama Sunami. Pia Ona kule Irani wale watoto wa kike walivyowakataa Maayatolah
 

Attachments

  • 321175633_1185710265373021_6119411479759798516_n.mp4
    4 MB
Nelson huyo jamaa asilubabaishe. Siku hizi mambo yote yako mtandaoni. Ona hapa Allah nifuraha yake watu wakitenda dhambi, ili tu wamuombe msamaha

Huyo alla ni shetani 100% sema kajificha kwenye humo.
 
Ni kweli kabila la Lohingya linatia huruma sana, kwa madhira wanayofanyiwa na Serikali ya Burma. Ila kumbuka tena Baba Mwajuma kuwa Yao ni Wabudha. They don’t have CHRIST the Prince of Peace. Sasa wamekutana na Waislam ambao nao hawana Christ. Usije ukamiambia suala la Israel vs Palestinian. Kwani Wayahudi hawana Christ. Maskini Christian Palestinians are pursecuted by Israel and their fellow muslim Palestinians
Wakristo gani wa Palestine wanaokua prosecuted na waislamu, Nyie jamaa aisee mpo brainwashed Sana.

Wakristo wa Palestine wengi wapo sambamba na waislamu kutetea nchi yao.

Pia hakuna dini Duniani ambayo imeua watu wengi kushinda Wakristo, sijajua hiyo Amani unayoiongelea ni ipi.

Mliua watu Jerusalem Nyie Kuna maeneo damu zikawa zinafika kwenye magoti, hizo propaganda zenu kadanganyeni wasiojua.
 
Sasa utakubaliana na mimi moguls walipofika bara hindi waliwakuta wahindi na hawakua jamii ndogo ndogo.Tutafute muhindi atuelezee vizuri hapa historia ya bara hindi.
Why utafute mhindi wakati historia yote ipo online na inajulikana? Yani unamove Magoli kwa kitu kidogo hivi?
 
Source msomi unatafuta wahusika unaona hali halisi kwa jambo husika.Huwezi kuwazungumzia turks na mambo yao kama hujawahi kukaa na jamii ya turks na kujua mambo na historia yao.Hizo reference ni mapendekezi tu ya individuals.Njia nzuri ya kuijua dunia ni kusafiri sehemu mbalimbali duniani
Kila kitu ukijibiwa kwa hoja unakataa hoja na kusema sio sahihi sababu umeishi nao.

Nimekuuliza swali juu umeongelea ushoga, wewe ni Shoga? Ulikaa nao mashoga? Habari zote Duniani zinazotajwa umezi experience wewe
 
Wakristo gani wa Palestine wanaokua prosecuted na waislamu, Nyie jamaa aisee mpo brainwashed Sana.

Wakristo wa Palestine wengi wapo sambamba na waislamu kutetea nchi yao.

Pia hakuna dini Duniani ambayo imeua watu wengi kushinda Wakristo, sijajua hiyo Amani unayoiongelea ni ipi.

Mliua watu Jerusalem Nyie Kuna maeneo damu zikawa zinafika kwenye magoti, hizo propaganda zenu kadanganyeni wasiojua.
 
Zanzibar hapo tu ukila wakati wa mfungo unachapwa bakora. Kwanini uende mbali kuwasema wahindu?
Hawa jamaa waache tu wafanye shingo zao ngumu Dunia inasonga mbele kwa haraka sana. Saudi Arabia wenyewe wamestituka. Ona hapa Penye video
 
Sasa msomi kwahiyo Mu'waiya Ibn Abu Sufyan alisema uongo na kumsingizia muhamad kwenye hii adithi idadi:16,245??????Maana tulikua tunajadili kuhusu ushoga msomi mmoja akasema ni wakrsto tu na mimi nikamuomba tujadili hii adithi idadi na maneno ya Mu'waiya ibn Abu Sufyan.
Nakuambia nenda uarabuni huku mitandaoni utakuta chai mbona bado mbishi unaendeleza huu mjadala wakati case tayari closed ?

Wewe si msafiri unaexposure ya mataifa mbalimbali na unaamini kuwa kujua kitu mpaka udike eneo la tukio sasa unataka vipi nikujibu wakati mimi niko Buza ? naenda Saudi Arabia utapata majibu.

Angekuwa mtu mwingine ningemjibu kwa upana huu mjadala ila kwa vile wewe unatumia ngapi ya kwenda sehemu husika basi usijiangaishe sitokujibu mpaka niende Saudia Arabia kama na wewe unataka kujua naenda huko #CaseClosed
 

Hii sio source mkuu, hata mimi inaweza record video kama hii. Lete source Padre tena wa Palestine akielezea hizo prosecution.

Vijana wa Kitanzania mnaangamia na hawa wa tafuta ads YouTube.
 
Islam wao ni violence always,Christians ifike muda tusiwe tumekaa tu, kumuachia MUNGU,tunamchosha bure tu,inatakiwa nasisi tuwaenyeshe hawa
Kupigana kwasababu ya Mungu katika ukristo ni dhambi kama ushoga. Mkristo ukiwa unapigana kwasababu ngumi kwasababu ya mungu utafikia Motoni. Ila muislam anafikia peponi kwasababu mungu wake kamuagiza ampiganie.
 
Huko India kuna sehemu ukiwa umebeba nyama ya ng'ombe wanalala na wewe mbele kwa mbele, ni kama vile ubebe kitimoto Saudia au Iran. Dini ni ulevi mbaya sana.
 
Nipo mtwara, nagaidi kwa imani yao ya kiislamu inaongoza kwa kuua watu. Hii haihitaji uelezwe kiundani sababu hata vyombo vya usalama vya Tz vimekiri kuwepo kwa huo ushenzi wa watu kutaka nchi iwe ya kiislamu.
Umesema magaidi halafu unawataja waislam tena
Kwani ni wapi waliposema gaidi ni muislam?
Nini maana ya ugaidi?
Je ugaidi ni sawa na uislam?
Kwa hiyo wanaoua watu huko mtwara ni magaidi au waislam?
 
Mimi nimeuliza kuhusu ushoga na na hii adithi ya Mu'waiya ibn Abu Sufyan adithi idadi:16,245????Maana mdau kasema wakrsto ndio mashoga na mimi nikataka ufafanuzi hii adithi???
Hiyo hadith umeitoa wapi? Au umeokota mtandaoni kwa wenzako wazee wa uzushi? Kwenye kitabu gani cha hadith zilizokusanywa?
 
Hiyo hadith umeitoa wapi? Au umeokota mtandaoni kwa wenzako wazee wa uzushi? Kwenye kitabu gani cha hadith zilizokusanywa?
Unajua hawa wanakuja na quotation za hadithi za ajabu halafu wanajidai ati source yake 'Sahih Bukhari' na wengine.

Wengine wanakuja na text ya kiarabu wamecopy kutoka any source ambayo hata haihusu issue ile, wanakuja kupaste hapa halafu wanaandika source.

Lengo lao ni kuonyesha ati mambo hayo yamo kwenye uislamu, sijui labda wanafundishwa kuandika uzushi huo kwa makusudi.
 
Unajua hawa wanakuja na quotation za hadithi za ajabu halafu wanajidai ati source yake 'Sahih Bukhari' na wengine.

Wengine wanakuja na text ya kiarabu wamecopy kutoka any source ambayo hata haihusu issue ile, wanakuja kupaste hapa halafu wanaandika source.

Lengo lao ni kuonyesha ati mambo hayo yamo kwenye uislamu, sijui labda wanafundishwa kuandika uzushi huo kwa makusudi.
Wanaokota vitu ovyo mtandaoni. Ujue hawa wengi kama mazezeta wakiambiwa kitu wanachukua kama kilivyo bila kufanya uchunguzi.
Wamagharibi pamoja na propaganda zao kila siku, uislamu unakua kwa kasi kwenye nchi zao.
Wanalazimisha vitu hivi kwenye uislamu ili wahalalishe agenda zao.
 
Back
Top Bottom