Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Ushenzi unaofanywa na wahindu kwa Waislamu India ni wa kupitiliza

Zanzibar hapo tu ukila wakati wa mfungo unachapwa bakora. Kwanini uende mbali kuwasema wahindu?

Zanzibar ni nchi ya Kiislamu, Ni nidhamu kwa wageni kufata taratibu ya sehemu uliokwenda. Hao unaowana niwazawa kabisa kwenye hiyo miji na wanafanyiwa mambo kama hayo.
 
Wacha wanyooshwe tu hawa watu unamuuzia kiwanja anakua jirani wako anaanza timbwili hakuna kufuga nguruwe blaaah blaah nyingi
 
Hawa jamaa wamekua wakifanya matendo ya kinyama mika na miaka na wanaendelea bila hofu yoyote.
Hii ni hali ilivyokuwa mitaani kipindi cha sikukuu zao za Holi majuzi.
Halafu Watu wakipiga miripiko waitwe magaidi.
View attachment 2545861

View attachment 2545864
Shida watu wanasahau kabla ya kuwa wahindu, waislamu, wakristo, wayahudi, au dini yoyote ile...wanatakiwa wakumbuke kuwa binadamu kwanza.
 
Wakati Saddam ni Raisi Iraq wakrtisto walikuwa wanateswa?

Hii ni Voa
Christians in Iraq enjoyed protection and near-equal rights with Iraq's Muslim majority under Saddam but were among the first groups targeted amid the breakdown in security and sectarian bloodbath that prevailed for years after the 2003 U.S.-led invasion that overthrew him

Wakristo Maelfu ya Miaka wapo hapo Iraq na Marais wa Iraq waliwapa Haki zao kama binadmu wengine, hata yule Waziri wa propaganda wa Sadam Bwana Tariq Aziz alikua ni mkristo,

Then Marekani akaenda pale akawapelekea Demokrasia Ghafla Wakristo wanapigwa vita, Coincidence? Divide and Rule.


Pia hayo makundi yanayoitwa islamist yanaua zaidi waisilamu, ndio Wakristo wanapata shida Iraq ila waisilamu wanapata shida zaidi, na yote haya kayaleta USA na makundi yake pandikizi.

Same story Syria na Nchi nyengine za Middle East Wakristo waliishi maisha mazuri tu na hata waisilamu walipopata shida hawa Wakristo walishirikiana bega kwa bega hata ikiwemo kumwaga damu pamoja kutetea maeneo yao, ila yote haya yakakomeshwa na Vita ambavyo havina Mbele Wala Nyuma.
Sema mafundisho ya dini yako kuanzia madrasa yamejazwa chuki. Usiisingizie America .

Ni udhaifu wa kutoona mapungufu yako na kusingizia mwingine asiyehusika. Rudi kwenye mafundisho mnayowakaririsha watoto.
 
Sema mafundisho ya dini yako kuanzia madrasa yamejazwa chuki. Usiisingizie America .

Ni udhaifu wa kutoona mapungufu yako na kusingizia mwingine asiyehusika. Rudi kwenye mafundisho mnayowakaririsha watoto.
Sasa mkuu miaka yooote hiyo ambayo walikua wanaishi kwa Amani mafundisho ya Madrasa hayakuwepo? Why mafundisho ya Madrasa yaanze exactly alivyovamia marekani?

Uisilamu haujaanza Leo wala Jana.
 
Dah hii video nyengine, Dogo anaefanya kazi kwenye resta za first food akinyanyaswa.
 
Nakuambia nenda uarabuni huku mitandaoni utakuta chai mbona bado mbishi unaendeleza huu mjadala wakati case tayari closed ?

Wewe si msafiri unaexposure ya mataifa mbalimbali na unaamini kuwa kujua kitu mpaka udike eneo la tukio sasa unataka vipi nikujibu wakati mimi niko Buza ? naenda Saudi Arabia utapata majibu.

Angekuwa mtu mwingine ningemjibu kwa upana huu mjadala ila kwa vile wewe unatumia ngapi ya kwenda sehemu husika basi usijiangaishe sitokujibu mpaka niende Saudia Arabia kama na wewe unataka kujua naenda huko #CaseClosed
Kwahiyo mkuu Mu'waiya ibn Abu Sufyan wewe humujui????Na adithi idadi:16,245 huifahamu???
 
Kila kitu ukijibiwa kwa hoja unakataa hoja na kusema sio sahihi sababu umeishi nao.

Nimekuuliza swali juu umeongelea ushoga, wewe ni Shoga? Ulikaa nao mashoga? Habari zote Duniani zinazotajwa umezi experience wewe
Kuhusu ushoga mkuu ebu tuangalie adithi idadi:16,245 ya mu'waiya ibn abu Sufyan
 
Hautopata majibu tofauti ng'o kwanza ataona kama ni mpya kwa vile hadithi dhaifu hazisomwi ..

Niko pale
Ngoja nitafute sheikh anipe maana ya hilo neno adithi dhaifu na anifafanulie hii adithi idadi:16,246 ya mu'waiya ibn abu sufyan.
 
Hakuna kweny uislamu ndo maana Shari nchi zinatumia sharia ni marufuku na huwezi kukuta huo ujinga ila wananchi wanafanya kwa Siri Tena wengi.

Uislamu umepinga kabisa na hukumu yake ni kali..
Vipi kuhusu adithi idadi:16,246 mu'waiya ibn abu sufyan?????
 
Back
Top Bottom