Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
- Thread starter
- #141
Bila shaka chief, ingawa mengi uliyo yabainisha hapo juu mimi siyajui kwasababu sijawahi kujipima kama watu wanavyo nitazama.Nafsi yako imejaa upendo. Najua ni asili yenu lakini wewe ni zaidi maana hauna tabia ya kujikweza.
Natamani nikutane nawe physically, una umri mdogo lakini una mambo mkubwa.
Heshima yako shemeji [emoji120][emoji120]
Nitakutafuta, nipokeee...
Tena nakukaribisha sana Dodoma, na ninaamini ukianza ujasiliamali mapema... Naamini baada ya miaka michache utakuja kuwa jabali kama nilivyo mimi hapa Dodoma, nashkuru Mungu silali njaa na vijana wanakwenda shule na hata K-Vant inapatikana...teh[emoji23]