Asante kwa ushauri mzuri sana mkuu...[emoji120]Una 39 nw..bt kiuhalisia husound hyo miaka .unasound kama 23yrs!oa sasa ili uwe na mawazo fulan postive ...mazuri mazuri...!acha utoto..sio upunguze hapana acha kbs age hyo kuna wenzako wana watoto wakubwa !maana nami umenipita mbali tu .Happy bdy ushimen
Hopefully umeshawahidoh[emoji28]
Asante sana mkuu...[emoji120]Hongera kwa kuongeza mwaka mwingine....... Mungu akupe hitaji la moyo wako.....
Happy birthday
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri mzuri sana mkuu...[emoji120]
Lakini kwa lile la jana, ebu lisikufanye unichukie tafadhali....
Asante sana mkuu...Kuna picha yako unaiweka kwenye threads recently kila nikikutana nayo natamani nikulipue anyway Happy Birthday Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hopefully umeshawahi
Kama ni hivyo ndiyo ilikuwa maana yangu
Kwamba wote sisi ni wasafiri
Mzima lakini? ??
Daah.Happy birthday handsome wa JF![emoji1][emoji1][emoji1]
Kumbuka lakini hii ni JFUna 39 nw..bt kiuhalisia husound hyo miaka .unasound kama 23yrs!oa sasa ili uwe na mawazo fulan postive ...mazuri mazuri...!acha utoto..sio upunguze hapana acha kbs age hyo kuna wenzako wana watoto wakubwa !maana nami umenipita mbali tu .Happy bdy ushimen
Indeed mkuumzima mkuu..naamini nawe...ni msafiri..
Indeed mkuu
Mimi ni msafiri lakini sio diofu
Usijali uwe na AmaniKwanza naomba nitangulize samahani mkuu....[emoji120]
Ukweli sijawahi kuwa na sababu ya msingi, zaidi nimekua mtu wa kupenda maskhara pekee
Sio safari ya kufa mkuuNikweli mkuu, lakini hakuna mtu mwenye anatamani kutangulia...tehteehh