"Ushimen" hivi ndivyo nimeamua kusheherekea siku yangu ya kuzaliwa

Asante kwa ushauri mzuri sana mkuu...[emoji120]
Lakini kwa lile la jana, ebu lisikufanye unichukie tafadhali....
 
Enjoy your birthday mkuu,katika watu peace humu ndani mmoja wapo ni wewe ,keep it up
Asante sana mkuu...
Walau nimepata positive comments for the first time...[emoji12] [emoji12]
 
Happy birthday bro.
Mungu akujaalie maisha marefu.
Bythaway una bati hapo nichukue fegi??
Asante mkuu, bati sina maana nyumba yetu ndio kwanza imefika kwenye lenta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…