Ushimen: Leo nilivyo piga show ya kibabe

Atakwambia ugali hauna chumvi naongeza kidogo[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15] ugali na chumvi wapi na wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mmoja aliwahi kusema eti "ugali unanata kwenye mkono.
Sasa mbaya zaidi akawa anautikisa na kuukung'uta mkono kana kwamba amechomwa na mwiba kama sio kushika haha kubwa...mbaf zake sana [emoji23][emoji23]
 
Sana,hii ndio type ya wanaume wanawake wengi tunapenda...sio ubabe ubabe
Lakini siku nikiutwika huwa hakuna rangi yenye anaachaga kuiona chini ya jua...[emoji23][emoji23][emoji23]
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ungempa uma na kisu Mkuu 🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Kuna mmoja aliwahi kusema eti "ugali unanata kwenye mkono.
Sasa mbaya zaidi akawa anautikisa na kuukung'uta mkono kana kwamba amechomwa na mwiba kama sio kushika haha kubwa...mbaf zake sana [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…