Kite Munganga
Platinum Member
- Nov 19, 2006
- 1,773
- 952
Huyu bwana ni mzuri wa kutengeneza tatizo na kulitatua ili apate umaarufu zaidi. Sitashangaa nikisika Dr Abasi akisema “Mheshimiwa rais Dk John Pombe Magufuli amewasamehe wote waliojaza fomu kimakosa”.
Je, rais akifanya hivyo atakuwa katimiza wajibu wa sheria ya Uchaguzi? Kwa kifupi na kiungwana Pascal anajaribu kuzungumzia uwepo wa Tume huru na Katiba mpya kitu ambacho hakuna Rais mstaafu au aliyeko madarakani anayetaka CCM imfie mikononi mwake. pascal