Mkuu Freema Agyeman, hii hoja yangu sio hoja ya kiimani kuhitaji kuamini au kutoamini, as if hili ni jambo la kiimani, la kufikirika tuu, kusema JPM hawezi kuzuia upinzani kushiriki siasa kwa sababu ni kinyume cha sheria ya vyama vingi, hivyo unakiri ni watendaji wake ndio wanaominya demokrasia hivyo yeye ndie awakemee?!. Please usitake tufungue the pandora box la demokrasia yetu, its a like a can of worms, ukiisha open, you can control, kwa kuanzia tuu katiba ndio iliyoruhusu mikutano ya kisiasa, unamjua aliyezuia ni nani?, kwa sheria ipi?, kwa mamlaka gani?. Kwa taarifa tuu, JPM anaweza kufanya kila kitu!, akiamua kuruhusu huu nchezo wa siasa uchezwe fair, anaweza. Sisi sio mafarisayo tunganganie taratibu, sheria na kanuni.
P.