Cicero
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,924
- 3,074
My thoughts.
Sio siri kwamba Magufuli na Kenyatta are not exactly best friends.
Tutegemee mivutano ya kibiashara kati ya heavyweights hizi mbili za EAC kuendelea. Zuia hiki nizuie kile.
Rumor has it Magu alimsupport Raila. If true, lazima Kenyatta atakuwa na kinyongo kwa JPM.
Anywhos.....CHADEMA tumieni urafiki wenu na Uhuru vizuri unaweza kuwasadia 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio siri kwamba Magufuli na Kenyatta are not exactly best friends.
Tutegemee mivutano ya kibiashara kati ya heavyweights hizi mbili za EAC kuendelea. Zuia hiki nizuie kile.
Rumor has it Magu alimsupport Raila. If true, lazima Kenyatta atakuwa na kinyongo kwa JPM.
Anywhos.....CHADEMA tumieni urafiki wenu na Uhuru vizuri unaweza kuwasadia 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app