kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,349
- 3,745
Mimi umeniuma sababu kura za uraisi za alyeshinda ni za maeneo machache ya nchi. Kitaifa kwa umoja wa kitaifa sio afya sana.naongelea actual votes za uraisi sio za magavana nk
Tumia akili na wacha kueneza uongo.
Uhuru alishinda Raila katika county 26.
Raila alishinda Uhuru katika county 21.
Uhuru alifikisha 25% of votes katika county 35.
Raila alifikisha 25% of votes katika county 29.