Ushindi wa Uhuru Kenyatta watambuliwa na Mahakama. Kenyatta kuapishwa tarehe 28 Novemba

Ushindi wa Uhuru Kenyatta watambuliwa na Mahakama. Kenyatta kuapishwa tarehe 28 Novemba

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Naleta taarifa zaidi... Fuatilia CItizen TV

Mahakama ya Juu imesema ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta ni halali

Majaji sita wote walitupilia mbali mapingamizi yaliyopinga ushindi wake kwenye uchaguzi wa marudio

Mapingamizi hayo yalifunguliwa na aliyekuwa mbunge wa Kilome Harun Mwau na wanaharakati wawili jonjo Mue and Khalif Khalifa

Mapingamizi hayo yalisikilizwa kwa pamoja lakini wapingamizi waliruhusiwa kuwasilisha hoja zao binafsi

Kati ya hoja walizotoa kwenye mapingamizi hayo ni tume kushindwa kuwapitisha wagombea wa urais upya, kujitoa kwa Raila Odinga na wapiga kura kwenye majimbo 25 kushindwa kushiriki kwenye uchaguzi huo

Rais Kenyatta sasa anatarajiwa kuapishwa Jumanne wiki ijayo.

Jaji Mkuu David Maraga amesema majaji kwa kauli moja wameamua kwamba kesi zote mbili hazina msingi.




Wananchi walivyoitikia



===========================================

President Uhuru Kenyatta’s win in the October 26 repeat presidential election has been upheld.

In a unanimous decision, the six-judge bench of the Supreme Court dismissed the petitions challenging the election of President Uhuru Kenyatta in the repeat poll.
Two petitions — one by former Kilome Member of Parliament Harun Mwau and the other by activists Njonjo Mue and Khalif Khalifa — were filed seeking the nullification of President Uhuru Kenyatta’s victory for the second time in three months.

The two petitions were consolidated and heard together, but each party was allowed to submit issues raised in their petitions separately.

Among the issues the petitioners cited as grounds for annulment of the October 26 election was failure by the electoral commission to conduct fresh nominations, withdrawal by National Super Alliance (NASA) flag bearer Raila Odinga and failure by voters in 25 constituencies to take part in the election.
 
kwahiyo mlijua watabatilisha tena? ili iweje? jaji mwenyewe moyoni baada ya yale maamuzi sijui alikua anawaza nini make yaliyotokea juzi kwenye mapokezi ni shida.
 
Back
Top Bottom