Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabsa aiseee tumechokaafadhali angalau mambo yarudi kama kawaida
Haa haa haqHii wiki mbaya sana kwa Lumumba, pigo jingine kwa wana Lumumba wakati rafiki yao Mugabe akisubiri kuning'inizwa kichwa rafiki yao mwingine Raila kaangukia pua.
Tena siyo kidogoWakenya wangemchagua raila wangepitia tunayopitia huku kwetu tz
Kwa hiyo wapinzani wa Kenya wanavyouwawa kwa risasi wapinzani wa Tanzania wanashangilia.... itachukua miaka mingi upinzani wa Tanzania kujitambua.!Hii wiki mbaya sana kwa Lumumba, pigo jingine kwa wana Lumumba wakati rafiki yao Mugabe akisubiri kuning'inizwa kichwa rafiki yao mwingine Raila kaangukia pua.
Japo natumai umesoma kwamba ilikua maamuzi ya majaji wote kwa mpigo....'unanimous decision' hivyo sio Maraga tu.
basi pia nao majaji wamekula matapishi yao. maana matokeo ya uchaguzi wa mwanzo ni wenyewe walipinga. kwa kasoro karibu zile zile wanakubali matokeo ya uchaguzi.
Wapinzani wa Kenya ni marafiki wa serikali ya Tanzania.Kwa hiyo wapinzani wa Kenya wanavyouwawa kwa risasi wapinzani wa Tanzania wanashangilia.... itachukua miaka mingi upinzani wa Tanzania kujitambua.!