Ushindi wa UPDP Zambia wachina wana hali mbaya

Ushindi wa UPDP Zambia wachina wana hali mbaya

Mchina sio mzungu hadi uwape vigezo vinavyofanana. Mchina halipi kodi na akilipa amekwepa nyingi tayari, viwanda vyao vingi havina tija kubwa kwa nchi na hizo ajira unazozungumza ni ndoto kupata ajira ya kueleweka kwao.

Kifupi ni wachina ni kupe tu, wapinzani wakishinda wafanye kweli kuwatimua tu.
Ah kubabeki 😆😆😆,,hakuna mtu anakwepa kodi kama mzungu ,atatafuta expenses zozote aonekane anakula hasara,,,
 
Ah kubabeki 😆😆😆,,hakuna mtu anakwepa kodi kama mzungu ,atatafuta expenses zozote aonekane anakula hasara,,,
Hakuna ubishi kwamba mzungu anakwepa kodi ila uwekezaji wa mzungu huwa una manufaa moja kwa moja kwenye uchumi sababu anawekeza pesa nyingi,kodi analipa kubwa na wafanyakazi wanakuwa na maslahi mazuri. Kuna nchi kibao walizowekeza wazungu kama Hongkong, Singapore, Botswana na hata Nigeria wanaona matunda yake. Kwa Tanzania hapa wachina wana kesi nyingi za kukwepa kodi na kwa hili hawaonewi sababu hata viwanda vyao wamevificha. Kwa wazungu ukitoa wafaransa wengine wako poa.

Mkiwa na mipango mizuri jumlisha uwekezaji wa mzungu mnatoboa mbona ila sio hawa wachina ambao wanawekeza kwenye yeboyebo na kufanya kazi za machinga au kuwa vinyozi.

Kingine wachina ni watu wasio na maadili. wanakula chochote , wanakohoa popote na wanatema mate popote kifupi siwapendi kwa mengi.
 
Hakuna ubishi kwamba mzungu anakwepa kodi ila uwekezaji wa mzungu huwa una manufaa moja kwa moja kwenye uchumi sababu anawekeza pesa nyingi,kodi analipa kubwa na wafanyakazi wanakuwa na maslahi mazuri. Kuna nchi kibao walizowekeza wazungu kama Hongkong, Singapore, Botswana na hata Nigeria wanaona matunda yake. Kwa Tanzania hapa wachina wana kesi nyingi za kukwepa kodi na kwa hili hawaonewi sababu hata viwanda vyao wamevificha. Kwa wazungu ukitoa wafaransa wengine wako poa.

Mkiwa na mipango mizuri jumlisha uwekezaji wa mzungu mnatoboa mbona ila sio hawa wachina ambao wanawekeza kwenye yeboyebo na kufanya kazi za machinga au kuwa vinyozi.

Kingine wachina ni watu wasio na maadili. wanakula chochote , wanakohoa popote na wanatema mate popote kifupi siwapendi kwa mengi.
Kweli mkuu wavimba macho ni wajinga sana yaani kufanya kazi na mchina ni kukumbatia umasikini mpka kaburini mzungu ana unafuu mara elfu tena atakuibia ila atakuonyesha ubinadamu ila sio mchina,wahindi,na mwarabu aisee hawa jamaa ni balaa kufanya nao kazi au biashara!
 
Sijafuatilia siasa za Zambia kabisa lakini natamani siku moja Africa kuwe na vyama pinzani vyenye kulenga katika kutatua matatizo ya watu kweli

Sio kama hizi zetu za wachumia tumbo
Chadema wamewashinda Kila kitu Tanzania mpaka mmeamuwa kuwapambanisha na dola Kama Kila chaguzi mnawaibia kura huo upinzani unaoutaka wewe unatoka wapi? Your days ccm are numbered Zambia wameweza kwanini sisi tushindwe kuliondoa liccm lenu? Tunajua ccm kuiondoa ni mpaka damu imwagike.
 
Miafrika tulivyojazana kwenye nchi za watu Ulaya na kuzaliana huko kwao leo ndio tunajipa jeuri ya kubagua watu, yaani vyama vingine vya upinzani havina sera kabisa zaidi ya ubaguzi, inasikitisha sana kwamba hawa ndio wanaelekea kuongoza Zambia.
 
Chadema wamewashinda Kila kitu Tanzania mpaka mmeamuwa kuwapambanisha na dola Kama Kila chaguzi mnawaibia kura huo upinzani unaoutaka wewe unatoka wapi? Your days ccm are numbered Zambia wameweza kwanini sisi tushindwe kuliondoa liccm lenu? Tunajua ccm kuiondoa ni mpaka damu imwagike.
Wanachojua hao jamaa Ni mwenyekiti wao wa chama kumtumia Sabaya kuteka,basiii.
 
Wapinzani huwa wanakuja na ahadi kedekede wataishia kuteua kaka dada shangazi mkwe hawala kuwa balozi sijui waziri nk Tuangalie Malawi na hapa nyumbani.

Wanasiasa wa Africa ni zaidi ya cancer.

Africa arudi mkoloni tutakuwa salama sio hizi chaguzi za kupoteza pesa za walipa kodi
Yap!... wanasiasa wa Africa hawana jipya kwa raia wao...

....labda vijana waliozaliwa kuanzia late 80's mpaka early 90's waje kuwa marais huenda wakafanya vyema.
 
Sijafuatilia siasa za Zambia kabisa lakini natamani siku moja Africa kuwe na vyama pinzani vyenye kulenga katika kutatua matatizo ya watu kweli

Sio kama hizi zetu za wachumia tumbo
Mmewakabidhi nchi mkaona ni wachumia tumbo?
 
Mmewakabidhi nchi mkaona ni wachumia tumbo?

Tuakabidhi nchi hawa wasiojua hata wametoka wapi na wanaenda wapi? Tuwe serious kwenye siasa, hii ni jamhuri ya muungano wa Tanzania na sio vikoba wala upatu

CHADEMA 2005 - 2014
20210724_195112.jpg
images (9).jpeg
 
Miafrika tulivyojazana kwenye nchi za watu Ulaya na kuzaliana huko kwao leo ndio tunajipa jeuri ya kubagua watu, yaani vyama vingine vya upinzani havina sera kabisa zaidi ya ubaguzi, inasikitisha sana kwamba hawa ndio wanaelekea kuongoza Zambia.
Pale wanapaswa tu kuwataka waishi na kufanya kazi kwa kufuata utaratibu,kama waliingia kihalali kuwatimua ni kuwaonea, ila mchina ni mwekezaji wa hovyo mno,bora mkenya mara kumi.
 
Wapinzani huwa wanakuja na ahadi kedekede wataishia kuteua kaka dada shangazi mkwe hawala kuwa balozi sijui waziri nk Tuangalie Malawi na hapa nyumbani.

Wanasiasa wa Africa ni zaidi ya cancer.

Africa arudi mkoloni tutakuwa salama sio hizi chaguzi za kupoteza pesa za walipa kodi
Uko na hoja nzuri Sana dada suluhu ni kutengeneza mifumo, taasisi,sheria na sera bora ambazo zitasimamia na kutenganisha mahusiano kati ya maslahi binafsi na maslahi ya umma. Lazima tujifunze kwa historia na wenzetu walisonga mbele. Kihistoria tunaona vyama vya ukombozi vilikua na sera nzuri sana lakini tulipopata uhuru ziliingiliwa na maslahi binafsi kuwa vigogo wa hivi vyama wakwanza kuweka mifumo ya kuwafaidisha wao huku wananchi wakiendeleza kuteseka na matatizo yaleyale, kwa wenzetu waliosonga mbele mfumo, sera na sheria na taasisi haziingiliwi na watu ila zenyewe ndio zinazosimamia watu kwa iyo utakuta hata Kama ni Raisi anafuata mfumo akienda tofauti anawajibika kama mtu mwingine yoyote yule
 
ukipita barabara ya Tunduma Nakonde kuelekea Lusaka utakutana na wachina waliojazana Zambia wakiishi kama raia wa kawaida
opposition walisema watashughulika na hawa watu walioletwa na serikali ya PF.

Africa tuna kazi sana kwa kweli
We umewahi kukaa/ishi Zambia au na wewe unaridia rudia propaganda za media za magharibi kuhusu ujio wa Wachina barani Afrika!!

Mbona Zambia kuna Wazungu wengi ambao ni commercial farmers, Wahindi chungu mzima wafanya biashara na viwanda,Wasomali wanao jishughulisha na biashara ya usafirishaji na Mahoteli - why pick on Chinese, nani ambae hajui mchango mkubwa was Wachina katika kufufua Uchumi wa Zambia pamoja na kuwajengea viwanda, infrastructure za kisasa kabisa, kufufua migodi ya shaba katika mikoa ya copperbelt - migodi hiyo ilikuwa imekufa kabisa. Leo hii kweli kuna Mzambia mwenye akili timamu anaweza kuanza kuwasema vibaya Wachina??
 
Pale wanapaswa tu kuwataka waishi na kufanya kazi kwa kufuata utaratibu,kama waliingia kihalali kuwatimua ni kuwaonea, ila mchina ni mwekezaji wa hovyo mno,bora mkenya mara kumi.

Umenena vyema kwenye kufuata sheria za nchi husika, haipaswi kumbagua mtu kisa asili yake, ikumbukwe kwa huyo kuwa muwekezaji wa hovyo wa kulaumiwa ni mamlaka husika, maana sheria zipo zinazopaswa kudhibiti aina gani ya uwekezaji, na asiyeweza kuzifuata anageuza kurudi kwao, kuna kipindi nilitaka nifungue kampuni huko kwenu Tanzania, aise masharti niliyokumbana nayo kama mgeni, ilibidi niishie mbali na kugeuza kurudi kwetu, maana mnazo sheria zinazolinda na kuhakikisha kila anayejiita muwekezaji lazima awekeze kitu cha kweli sio ubabaishaji, hivyo niliheshimu hizo sheria na kugeuza, na ndio maana nasema mamlaka husika wakifanya kazi zao ipasavyo, hautawaona hao wawekezaji wa hovyo.
 
Ah kubabeki 😆😆😆,,hakuna mtu anakwepa kodi kama mzungu ,atatafuta expenses zozote aonekane anakula hasara,,,
Nkumbushe kwamba former US President one Donald Trump wanataka kumburuza mahakamani kutokana na kukwepa kulipa kodi stahiki - kumbuka Trump ni Milkionea na mfanya biashara mashuhuri nchini Merikani lakini anakwepa kulipa kodi stahiki, msifikiri Wazungu ni malahika.
 
Back
Top Bottom