Ushindi wa UPDP Zambia wachina wana hali mbaya

Tax avoidance vs Tax evasion.
 
Wachina ni kama wanaigeria, wapo kila mahali...
 
Kwani hawalipi kodi?kwani wamempokonya mtu hela? Kwani hawaajiri waZambia?kwani wananyanyasa raia wa Zambia?

Afrika hatutakuja kuendelea
Naweza kusema huwajui wachina na hujawahi kufanya nao kazi ,
Wanaajiri na wanalipa kodi, ila ni moja ya watu washenzi wasio na utu, dhulmat na vyote visivyokubalika.
 
Naweza kusema huwajui wachina na hujawahi kufanya nao kazi ,
Wanaajiri na wanalipa kodi, ila ni moja ya watu washenzi wasio na utu, dhulmat na vyote visivyokubalika.
Nawajua vizuri, na nina rafiki wa jinsia ke alishawahi kudhalilishwa ..hilo ni suala lingine ...
 
Safi sana hawa jamaa ni watu wabaya sana na wana chuki za kutisha kwa Waafrika. FUKUZA wote hao manina zao.
ukipita barabara ya Tunduma Nakonde kuelekea Lusaka utakutana na wachina waliojazana Zambia wakiishi kama raia wa kawaida
opposition walisema watashughulika na hawa watu walioletwa na serikali ya PF.

Africa tuna kazi sana kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…