THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Habari!
Kichwa cha thread kinatosha kabisa sitaki kueleza zaidi ila Makolo mna shida sana.
Nyie wakat mnashinda kuna siku mliona mtu anaandika humu nyuzi kusema mnabebwa?
Ila shida hua ni pale Yanga akiaanza kushinda tu goli nyingi.
Kama nasema uongo Jamii forum nipigen Ban... kuanzia jana hadi saiv page ya mbele ya jamii sport imejaa thread za lawama tu kama mke mkubwa aliepatiwa Nyumba ndogo.
Mods nisaidien kuzitag hapa Chini kama ushahidi.
Next stop October 19.
Goodmorning 🇵🇹
Kichwa cha thread kinatosha kabisa sitaki kueleza zaidi ila Makolo mna shida sana.
Nyie wakat mnashinda kuna siku mliona mtu anaandika humu nyuzi kusema mnabebwa?
Ila shida hua ni pale Yanga akiaanza kushinda tu goli nyingi.
Kama nasema uongo Jamii forum nipigen Ban... kuanzia jana hadi saiv page ya mbele ya jamii sport imejaa thread za lawama tu kama mke mkubwa aliepatiwa Nyumba ndogo.
Mods nisaidien kuzitag hapa Chini kama ushahidi.
Next stop October 19.
Goodmorning 🇵🇹