Ushirikina ni kitu kinachochangia sana watu kuogopa kurudi vijijini kwao kipindi cha likizo

Ushirikina ni kitu kinachochangia sana watu kuogopa kurudi vijijini kwao kipindi cha likizo

Kweli kbs mkuu, huku kwetu Songea wana mambo ya ajabu sana, sisi tulimzika baba yetu mpendwa 2016, mwaka 2017 tukaenda kujengea kaburi lakini baada ya hapo ndio imekua nitolee yaani. Wao ndio wanawezana ila sisi tuliokulia mjini tunahofia maana afadhali basi hata kama ndugu yako ni mwanga basi wangekuwa wanakulinda lakini wao ndio wanakunyoosha daah!
Mimi kwetu ni huko huko lkn dingi ajawai kutupeleka tumekuwa watoto wa dar tuu
 
Kweli kabisa kwetu songea toka niende 2015 sijaenda tena natamani niwe naenda lkn naogopa mambo ya kishirikina vijana hawajishughulishi wao kulewa na wengine kurithi mikoba wakiwa wadogo.Nimemic sana home ila nikiwaza niliyokua nikiyaona na kusikia naogopa kurudi
Songea Sio mkoa wa Ruvuma? Hivi ni makabila gani yanapatikana huko?

Wewe ni mtu zaidi ya wa 20 kutoka huko ambao hamtaki kabisa kurudi kwenu, Mbagala wamejaa sana ila kwao kama wamehama. Kuna jamaa alienda mwaka jana baada ya miaka 15 alikuta kupo vile vile.
 
Back
Top Bottom