Ushirikina Uwanja wa Taifa Usiku huu kuelekea Derby ya Kariakoo

Ushirikina Uwanja wa Taifa Usiku huu kuelekea Derby ya Kariakoo

Nimepita hapa Uwanja wa Taifa kuna kundi la watu linazozana kumbe ni Makomandoo wa Yanga na Simba wamekuja kulinda Uwanja ili kuzuia vitendo vya kishirikina,hizi timu kwa Tanzania imekuwa zaidi ya imani za dini kiasi kwamba kila upande unatumia nguvu nyingi ambazo wangewekeza kwenye mechi za kimataifa timu hizi zingekuwa zinafika hadi fainali.

Ukizaliwa Tz lazima uwe upande mmoja kama si Yanga basi utakuwa Simba mtu akikwambia hana timu kati ya hizi anakudanganya.Basi acha tuendelee kuziabudu tu na porojo za kina Hajji Manara na Dismas Ten.
NA WEWE KAMA SIO MUHUSIKAAA UMETOKANA NAOO WAPIII AISEE ..UKOJUU
 
ndo maana hata hatuendelei kwenye soka.tukitaka kifika kama brazili wafe wote mpaka tff
 
Nimepita hapa Uwanja wa Taifa kuna kundi la watu linazozana kumbe ni Makomandoo wa Yanga na Simba wamekuja kulinda Uwanja ili kuzuia vitendo vya kishirikina,hizi timu kwa Tanzania imekuwa zaidi ya imani za dini kiasi kwamba kila upande unatumia nguvu nyingi ambazo wangewekeza kwenye mechi za kimataifa timu hizi zingekuwa zinafika hadi fainali.

Ukizaliwa Tz lazima uwe upande mmoja kama si Yanga basi utakuwa Simba mtu akikwambia hana timu kati ya hizi anakudanganya.Basi acha tuendelee kuziabudu tu na porojo za kina Hajji Manara na Dismas Ten.
D10 co mropokaji km albino wao yle!
 
Tupo vizuri; tunajulika mpaka nje ya nchi kwa ushirikina ktk soka. [emoji116][emoji116]
View attachment 759768
Hili timu la kichawi,nasikia wanajisifia wameleta mvua
FB_IMG_1524941924218.jpg
 
Binafsi siamini ktk ushirikina, ila kama watu ninaowasimamia/ nilio nao wanauamini, NITAUTUMIA kucheza na saikolojia yao eidha in a positive way au in a negative way!
 
kuna sehemu kigoma inaitwa kibondo hilo chimbo muulize baba mwenye nyumba mstaafu alikuwa akienda kigoma lazima akalale hicho kijiji maana pale ni makutano ya uchawi Mshana Jr
We kiazi acha kupoteza umma Kibondo ni wilaya kubwa tu kigoma sio kijiji kama unavolopoka humuuu,,, na hakuna uchawi wowote paleee,,,, zwazwa mkubwa wew
 
huku kwetu ushuwani kuna watu hawajui Simba na Yanga..maongezi yao ni golf tu
 
Nimepita hapa Uwanja wa Taifa kuna kundi la watu linazozana kumbe ni Makomandoo wa Yanga na Simba wamekuja kulinda Uwanja ili kuzuia vitendo vya kishirikina,hizi timu kwa Tanzania imekuwa zaidi ya imani za dini kiasi kwamba kila upande unatumia nguvu nyingi ambazo wangewekeza kwenye mechi za kimataifa timu hizi zingekuwa zinafika hadi fainali.

Ukizaliwa Tz lazima uwe upande mmoja kama si Yanga basi utakuwa Simba mtu akikwambia hana timu kati ya hizi anakudanganya.Basi acha tuendelee kuziabudu tu na porojo za kina Hajji Manara na Dismas Ten.

Mkuu toka lin Ten akawa na porojo?

Mwenye porojo ni huyo ndugu yenu Manara.
 
Back
Top Bottom