Ushoga: Benki ya Dunia yasitisha mkopo kwa Uganda

Ni kama wanajilaumu kwa nini walisambaza ukristo badala ya kusambaza ushoga !!
 
Hao wazungu wenyewe wanajua sasa hivi kuna vilaza watupu Afrika ndio maana wanafanya hivyo. Na kuna watu wamewakaribisha huko kwenye nchi zao sasa hivi wanawasaidia kunadi hizi nadharia zao za maisha.
 
nchi za afrika wawe na msimamo wa kutoyumbishwa hata china na urusi wanaweza kua washirika wazuri tu. tuachane na western na waondoe makampuni yao afrika.tatizo naloona ni unafiki uliopo miongoni mwetu.
Huo ushauri wako nao sio. Wewe unadhani hao wachina na warusi ndio hawana masharti, ni vile tu hawako kwenye nafasi ya kulazimisha yale wanayotaka. Ila hata wao wakipata hiyo nafasi watafanya hivyo. Hata waafrika nao wakipata nafasi watataka kulazimisha mambo yao, ni asili tu ya binadamu. Suala la msingi ni kujitegemea, ikitokea kuna ushirika heshima inakuwepo.

Ni sawa tu na maisha tunayoishi na familia zetu. Huwezi kuwa unategemea misaada kutoka kwa mtu fulani kwa kila kitu katika maisha yako halafu utegemee kuheshimika. Hiyo haipo.
 
Mbona watu wanauawa kwenye vita dhidi ya ugaidi lakini hawajaongelea haki za binadamu wameona ushoga tu nisemetu ukweli marekani itakuja kuanguka vibaya sana nadhani nitakuasipo hai lakini mwisho wake umekaribia ghadhabu ya mungu itawashukia
Taifa la Mungu hilo wewe. Ushasahau?
 

umeamua kuwa shoga fanya ushoga wako na wenzio[wapo wengi sana] ila ukinifuata mimi nitakwambia IM STRAIGHT,whats wrong with that?

hivi nikuulize,kwani sasa hivi hamna mashoga?wapo kibao na wengine mnaishi nao majumbani kwenu,mitaani kwenu etc as long as ushoga wao wanaufanyia kwa wenzao let them be who they wanna be.
 
When slavery worked in the advantage of all slave owners/whites/population in the US, a brave man called Abraham Lincoln stood up to congress,the senate and declared the black man equal! Think about it... He did not have to do it...
Wewe unalinganisha ushoga na utumwa wa mtu mweusi?!! Utumwa kwani unaruhusiwa kwenye biblia au dini yeyote?!!
 

Una substance au quotation ya hiyo sheria au unajisemea kwa ku assume tu?
 
JF kuna michelemichele mingi sana inaishi ulaya na US nyie mibwabwa endeleeni kukung'utwa msije na mifano hafifu eti tulilazimishwa vyama vingi; nchi za magharibi lazima kwenye demokrasia kuna kukubali na kukataa kama tulikubali vyama vingi hili hatulitaki kuna nchi mashoga wanauliwa huwasikii wakisema kitu. Kila nchi ina haki ya kulinda mila na utamaduni wake.
 
#Mh .YOWERI_KAGUTA_MSEVENI wala hao wasikutishe kama ni ushoga wafanyie kwao huko lakini sio huku Afrika.
 

Acha kujadili mada kijinga namna hiyo, Ukristo unahusiswaje na hii mada? Kuhusu mambo ya ushoga Bible imeweka wazi kuwa wafiraji/wafirwaji ni watu wa motoni, hayo mengine ni matakwa ya watu binafsi hayahusiani na Ukristo.
 
Nini msimamo wa AU dhidi ya hawa washenzi wa IMF?
Napendekeza nchi zote za Afrika zitoe sheria ya kupinga ushoga na adhabu ya atakayepatikana iwe Kifo!
 
Huko ulaya na marekani naona wote wanapenda sana ushoga na ubasha.
Hawajijui lakini wanajianngamizs
 
Nini msimamo wa AU dhidi ya hawa washenzi wa IMF?
Napendekeza nchi zote za Afrika zitoe sheria ya kupinga ushoga na adhabu ya atakayepatikana iwe Kifo!

Mkuu unavyoiongelea AFRICA wewe ni mgeni kwenye BARA hili,,! Wenyewe wanaoenea vijicho kiongozi Mwenzao akipendwa na Wazungu ss wasema leo waungane kupinga! Ndg una MOYO mgumu sana!
 
ndio uone hao watu wa mataifa ya mbele si watu wa kuwachekea. ug endeleeni na msimamo wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…