Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 1,271
- 1,604
Bado hujaonesha ushoga wa MarekaniSasa ni wazi. Nchi za Ulaya na Marekani wana nia rasmi ya kueneza USHOGA dunia nzima. Sina lugha nyepesi zaidi ya kusema huu ni USHENZI ambao duni huru haiwezi kuukubali. Hakuna dini inaruhusu suala la ushoga, si Uislamu au Ukriso.
Wameamua kuifnya Qatar kuwa mfano wa kulazimisha ushenzi wao. Nawapongeza Qatar kwa kutataa katakata kuruhusi hali hiyo isiyo ya kistaarabu.
Na hawa watu hawana haya, wanalinganisha hili la ushoga na haki za binadamu. Hata ninapoandikai hili naomba wanyeshewe mvua ya moto.
Soma mada na uielewe.
Vijana wetu wanapolazimishwa kuona hawa wazungu washenzi mashoga wakijinadi mchana kweupe, ulitaka watu wakae kimya?
Je huko misikitini huwa wanaangalia vya marekani?Hakikisheni vijana wenu hawaangali vituo vya Ulaya na Marekani, pia hakikisheni vijana wenu hawaangalia Kombe la dunia na ligi za Ulaya.
Nakataa Dunia inamwelekeo mzuri tu Kuwa SHOGA ni CHOICE kama kuwa MWIZI acheni kudeka learn to ignore bullshits.DUNIA INAELEKEA PABAYA MNO.
Kwa hiyo kama ni uhuru wao na wa kwako kwa nini wajitangaze.LGBTQ community sio mashoga tu mleta mada tambua hilo kwanza...humo kuna wasagaji..transgender n.k
Elewa pia na movements zao..ni kutaka uhuru na amani waishi maisha waliyo yachagua bila chuki..husda..kunyanyapaliwa..kutengwa ama kuuawa.
Ndio lengo lao kuu..hakuna mtu wanayemlazimisha ajiunge nao...fanya yako na wao wa fanye yao kwa raha zao na maisha yaendelee.
#MaendeleoHayanaChama
Kama wewe ni shoga usitutangaxie, baki chumbani kwako.Nakataa Dunia inamwelekeo mzuri tu Kuwa SHOGA ni CHOICE kama kuwa MWIZI acheni kudeka learn to ignore bullshits.
Huu ushenzi tuautangaza ili vizazi vijavyo viukatae.Nyinyi mnaokaa na kuandika ushenzi huu kila uchao ndo mnaoutangaza.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
huna akili 100%.Unaposema wana nia yakueneza kwani tunashikiwa fimbo kalazimishwa kufanya huo ujinga?.
Wazee wa kupumliwa visogoni bhana, kuna watu humu hawaelewi hata hiyo rainbow issue, nyie mnaokaa mkiandika hizi mambo mnatutia mashaka huenda mko na agenda ya siri..Huu ushenzi tuautangaza ili vizazi vijavyo viukatae.
Ninyi mnaobaki kuunga mkono kimya kimya mnajisetiri tu.
Mkuu umetaja mnini kama ulivyo yaani bila kupindisha maneno safii😂Mkundu wa mwingine, hajalazimishwa
Katoa kwa kupenda
Kwanini niumie?
Sisi kazi yetu ni kuwaambia watu madhara yake kimwili na kiroho,afu uchaguzi ni wa mtu.
Mambo yenyewe watu wanafanya sirini
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ulifundishwa kupumuliwa na babaako ndiyo mlivyo.Wazee wa kupumliwa visogoni bhana, kuna watu humu hawaelewi hata hiyo rainbow issue, nyie mnaokaa mkiandika hizi mambo mnatutia mashaka huenda mko na agenda ya siri..
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
ushoga ni dhambi, wafiraji na wafirwaji wote wasipobadilika wataenda motoni. however, mwarabu hana ujasiri wa kukemea ushoga, kwasababu sio kitu kigeni kwake. truth be told.Sasa ni wazi. Nchi za Ulaya na Marekani wana nia rasmi ya kueneza USHOGA dunia nzima. Sina lugha nyepesi zaidi ya kusema huu ni USHENZI ambao duni huru haiwezi kuukubali. Hakuna dini inaruhusu suala la ushoga, si Uislamu au Ukriso.
Wameamua kuifnya Qatar kuwa mfano wa kulazimisha ushenzi wao. Nawapongeza Qatar kwa kutataa katakata kuruhusi hali hiyo isiyo ya kistaarabu.
Na hawa watu hawana haya, wanalinganisha hili la ushoga na haki za binadamu. Hata ninapoandikai hili naomba wanyeshewe mvua ya moto.
Hehe..aisifiae mvua imemnyea.Ulifundishwa kupumuliwa na babaako ndiyo mlivyo.
Jitangaze tu upate kuolewa babaako apate mahari.
Ushazalishwa wangapi?