Kujiandaa na uzee ni pamoja na kuwatafutia vijana MAMA mzuri pia.Na overconfidence pia ni mbaya mkuu! Ndiyo nnachokiona kwako😉
unaweza ukapambana sana ukapata chenchi ila ukikosea hapa napo hiyo fainali uzeeni hutoki ....😁
Tuache tafadhali ndugu ....