Ushuhuda: Kila mtu aeleze Bangi Ilivyomsaidia


Wow!
Umeoa!?
 
Majani ya Bangi ni mboga nzuri sana .Kule kwetu nyanda za juu kusini kuna maeneo inatumika kama kitoweo.!
 

Hahahahahaha
 
Nilipiga kipindi nasoma mbeya university of science and technology nikitaka kwenda administration kumuona jamaa anaitwa kayuki napiga kwanza sasa hivi nimeokoka nampenda mungu
 
Afande Sele aliniambia yeye bangi inamsaidia kuvua nguo na kuvuta pumbu hadharani ila kama havuti hajisikii kufanya hivyo. Pia anadai, yeye akipiga bangi tu dushelele lake linasimama na kumdai apige besheni stejini live.
 
"Hiyo Mibangiii mnayooo vutaa ni stimu za kulandukaaa, Kamaa sio fani yako kwa kweeli utaaaumbukaaa!"
 
Lumumba wanakaz sana ndo maana unatemaga mashudu tu

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Mimi ilinisaidia kupata matatizo makubwa. MF kukamatwa na polisi, kukaa sell siku kadhaa,kuwafanya ndugu zangu kupoteza muda wao muhimu na kuanza kufuatilia masuala yangu yasiyo na tija,kupoteza heshima mtaani,kuwatengenezea picha mbaya sana walezi wangu katika jamii iliyowazunguka, kuwa use less kwa kiasi kikubwa n.k. Bangi haisaidii watu bali inawaharibu watu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nakumbuka nlikua nakunywa viroba nlipokua shule yan ilikua nikiingia kujisomea vitu vinakaa bila hata tabu..

Xo kwa upande wangu nlifaifika na viroba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…