Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
😁😁Jogoo hafi kwa utitiri dogo.
Hizo ndo changamoto za mujini.
Karibu tena Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Jogoo hafi kwa utitiri dogo.
Hizo ndo changamoto za mujini.
Karibu tena Dar
Ha ha ha Sinza 1 iyooo...Hahahahahaha nikikanyaga baa yoyote ya sinza huwa nafaidi kwa macho tu.
😂 😂 mbona kama swali la mtego ili ?Kiwango ni ngapi ndio inakuwa ina hali nzuri?
ujaelewa nini hapo mkuu, Jiongeze Kama mtu mzima na timamu piaKwahyo Unataka Tujue Kuwa Na Wewe Ni Mzinzi Au? Story Inatufundisha Nin?
Si anatumiaga Noah[emoji16][emoji16]Afande ana Jina la Waziri Mkuu Wa Sasa...ha ha ha maaamiiyeee
Pole mkuu " no ritirit no surrender "Nilikuja Dar kwenye biashara fulani, mida ya jioni nikatafuta bodaboda nikamueleza sehemu ambayo ninaweza kwenda kupumzika na kupunguza msongo, akaniambia kuna sehemu Sinza panaitwa Kona Bar pamesheheni kila aina ya burudani hata kama biashara hazi kwenda vyema naweza kujifariji.
Tukaelekea mpaka Kona Bar aiseee niliona idadi kubwa sana ya warembo wakiwa katika hali ya ujasiriamiili, nilikaa nje kwa muda nikiwa napata chakula na kinywaji. Alipita dada mmoja nikashindwa kujizuia, nikamwita baada ya salamu hakutaka maneno mengi Bali alinipa bei ya huduma anazotoa, muda mfupi 20000 kulala 40000, nilienda naye kwa huduma ya muda mfupi akanionyesha gesti ambayo gharama zake ni shilingi elfu tano kwa muda mfupi, na nikakuta kuna msururu wa watu wanaingia na kutoka.
Tukapewa chumba Chetu tukaingia wakati naanza kufungua zipu nikasikia makelele chumba cha pili kama mtu alikuwa anapigwa nikashtuka kidogo, ndio nikagundua walikuwa ni Askari. Sikuweza kuendelea kufanya chochote, mlango wetu uligongwa kwa nguvu nikafungua akatokea mtu mwenye Miraba minne aliyevaa sare za Askari mwenye cheo cha mbavu tatu.
Nilifungwa pingu nikapelekwa kwenye gari aina ya Noah ambapo huko nikakuta kuna Askari pamoja wazinzi wengine wengi wamekamatwa. Cha kusikitisha ni kuwa kila mtu alikuwa amekamatwa na ushahidi yaani mwanaume na mwanamke ila mimi nilikuwa pekee yangu nikagundua Askari yule baada ya kunikabidhi kwenye Noah alirudi chumbani “kumalizana” na dada yule.
Baada ya muda tulianza kuelekea kituo cha polisi ambacho nilikitambua kwa jina la Mabatini, jamaa mmoja aliyevaa kiraia alisema tunaenda kupigwa picha kisha zinawekwa kwenye mitandao kauli hii ilizua vurugu kubwa na ukumbuke wanaume tulikuwa tumefungwa pingu, tulifika kituoni Majira ya saa kumi alfajiri ambapo hatukushushwa kwenye gari bali Askari yule aliyetukamata mwenye mbavu tatu ambaye nilimtambua kwa jina linalofanana na la Waziri Mkuu wa sasa alituambia kuwa tutoe laki kila mmoja, tuliweza kujitetea kila mmoja na uwezo wake wa ushawishi tukaachiwa ila wanawake wooote hatukujua walienda wapi.
Mwisho
Siku nyingine afanyaje ili ale mzigo bila usumbufu ?
Kweli.hahahhahahaa kwa kweli, sio kwa 40,000 , aisee, hata bure sitombi
Hivi Ni Ya Kijivu ama Nyeusi?!!!😁😁
Eh huo ulinzi wote wa kazi gani?Nakupa siri ya kazi hapa..
usilale guest au lodge uliyochaguliwa na mwanamke asiye mkeo..
ukilala na mwanamke usiyemjua hakikisha funguo unajua wewe ulipoziweka..
usiokoteokote mwanamke ukampeleka kwako.
Uwe makini na Camera ya uliyelala naye..
Ukimwaga maji yako hakikisha yako salama..(dunia ina mengi hii vijana mkue sasa).
KUCHEPUKA NI GHARAMA UKITAKA UNAFUU NI RISK SANA, OTHERWISE CHAGUA UMPENDAYE MFUNGE PINGU MTAFUNANE MTAKAVYO, CHUMBANI, SEBULENI, JIKONI, BAFUNI, MZINGATIE LISHE BORA TU..
Acha usheembee Wee,biashara ya ngono iko miilini mwa watu..matangazo ya nn?!!!Huyu anatangaza biashara ya ngono hyo maeneo aloyataja.
Hahaha mezea mzeeeHivi Ni Ya Kijivu ama Nyeusi?!!![emoji16][emoji16]
Kwa Hiyo Waliooa Hawanunui?!!!Eh huo ulinzi wote wa kazi gani?
Kumbe wanaonunua hii ndiyo adha wanakumbana nayo?
Kweli bora tuoe.
Mzee mushi kapauza aliye nunua nayo anaendeleaA
Acha usheembee Wee,biashara ya ngono iko miilini mwa watu..matangazo ya nn?!!!
Corner Bar,Ambiance Ziko Toka Tuko Wadogo Hadi Leo tubaba!!
Tayari Na Nmeshushia Na Maji😁😁