Ushuhuda: Kusomesha mtoto shule ya kiingereza yenye walimu wa Zambia/Malawi /Kenya /Uganda kuna afadhali zaidi kuliko walimu wa hapa kwetu

Wakati wenzetu Japani China na nchi za Asia zinajali Maarifa zaidi sisi tumekomaa na kiingereza cha kuangalizia movies...

Kama mtoto anasoma kwa kingereza lakini anashindwa kufafanua kwa jamii ambayo haijasoma kwa kile alichokisomea basi elimu yetu haina maana...
 
First inakuwa fast
Work inakuwa wak
Girl inakuwa gal

Grammar iko njema sema matamshi yao huwa siyapendi nimefanya nao kazi sana.

Wafundisha kiingereza kilichoathiriwa na mother tongue zao, hawajui chochote kuhusu IPA.
 
Embu tuambie shule anayosoma mwanao ?
 
Ziko wapi hizo shule zenye walimu wakenya, waganda... wakutosha
Ni kuhusu asili ya walimu wanaofundisha kwemye shule za English Medium hapa nchini, ni bora upeleke mtoto shule ambayo walimu wake wametokea nchi tajwa kuliko walimu wenye asili ya hapa kwetu.
Uko mkoa gani?
 
Huu ujinga wa ki ngereza mtauacha lini?
Hao wazambia mbona ni hohehahe tu kama watanzania, wamalawi ndio usiseme yani ni choka tu.
Africa imejaa bogus peoples ila sio wewe mkuu.
Nilifikiri utaniambia labda mtoto anajua ms office, ana speed ya kuchapa ya hatari, anajua kusurf na kujitafutia mambo yake, anajua some basic of graphics design, anaweza kutengeneza katoons, anajua kutumia google map vizuri, anajua kutumia webquest,podcast, simulation.
kufanya troubleshooting collapsed softwares ndogo ndogo.
Anaweza kutumia app za kujifunzia hisabati,chinese, english nk
Anaweza ku set na ku reset android/ios phone, computer nk anaweza ku download na ku upload vitu mtandaoni, anaweza kutofautisha blog,wesite,forum nk ,
Anatimbua basic electronics devices.
Anaweza ku analyse sifa za udongo na namna unavyoathiri mazao,
anaweza kupanga lishe bora, anaweza ku manage timetable yake ya kila siku na kujitofautisha na wa kayumba bila kusimamiwa ?
Mambo mengi mengi hao watoto hawajui zaidi ya hicho kingereza.
Jaribuni kuangalia humo mitandaoni watoto wa wenzetu wanaojitambua wanafanya nini, wanaweza nini sio utopolo huu mnao unadi kila kukicha.
Watoto wenu hao hawawezi chochote cha maana ktk ulimwengu wa teknolojia.
Kuna shule moja huwa naitembelea yani nabaki tu kujiuliza na kuwashangaa wazazi malimbukeni jinsi ambavyo wanawapotezea muda watoto wao. Ile shule ni gereza la kuongea kingereza hamna cha zaidi kinachomyofautisha na mtoto wa kayumba ikiwemo uchafu lakini shule inakuwa ya 5 kiwilaya.
Kumbuka hizo shule zinatumia mtaala uleule wa kayumba usioendana na zama za sayansi na teknolojia .
 
Kabisaa.,kuna jamaa hapa nlikua nawaelzea mechanism ya electromagnetic waves kwa kiswahili,wallahi ilifika mda hadi mi mwenyewe muelezeaji nkawa naona manyota nyota kutafsiri
 
Elimu yetu ingekuwa hivi nadhan wachina marekan wangekuja kujifunza kwetu

Sasa hi ndio tunaiita competence based education na wanasiasa hawataki hata kusikia kuhusu hii maana tukifanikiwa TU ndio bas tena ujinga was kuburuzwa utakuwa umekoma




Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
First inakuwa fast
Work inakuwa wak
Girl inakuwa gal

Grammar iko njema sema matamshi yao huwa siyapendi nimefanya nao kazi sana.

Wafundisha kiingereza kilichoathiriwa na mother tongue zao, hawajui chochote kuhusu IPA.
Sasa utakilinganisha na cha kwetu ?! .

Tena bora hata hicho English, Hesabu ni balaa kwa nchi nzima !
 
Cha ajabu wenye lugha yao hawana/hawasomi hilo somo utumwa bado ni mwingi
 
Kiingereza ni kiswahili cha dunia kubali ukatae.
Kiswahili chako ukivuka nje ya mipaka ya Tanzania, hakina maana na hakina msaada.
Hilo sikukatalii mkuu, lakini kuwa fluent kwenye hii lugha ni zaidi ya kusoma darasani.
 
Hii elimi yetu ya kukariri mnoooo..Nakumbuka wakati nasoma A level nilikuwa napitia past paper moja nikakutana na swali ambalo lilikuwa HALIELEWEKI hivyo halijibiki.Nikasema nimpelekee jamaa mmoja ambaye ndio walikuwa miongoni mwa watu wanaofanya vizuri,jamaa akasoma mara moja tu akanipa jibu,lile jibu lake lilikuwa linaeleweka lakini nikisoma swali naona kabisa halieleweki Nikawa naonesha kutoridhika kwangu basi jamaa akaniambia hilo swali lipo kwenye kitabu kinaitwa BS na jibu lake,akaniambia mpaka ukurasa ambao hilo swali lipo,nikaenda kwenye BS kweli nikalikuta na swali lilikuwa linaeleweka sanaa,ndio nikagundua yule aliye type mtihani alikosea hivyo akapoteza maana ya swali lakini kilichonishtua ni mwenzangu kukariri swali kiasi kwamba lilikosewa na kupoteza maana lakini alishindwa kugundua kabisaaa.
 
Shule kama hizi bongo sidhani kama zipo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo wa kwako anasoma shule gani(jina) na iko wapi
 
Sio Siri, kiingereza kinatubabaisha sana, angalia mtu ngazi ya uprofesa, lakini bado kinampiga chenga. Mzee wetu hayati Mkapa alikipatia wapi?
 
You can find me in the club, bottle full of bub
Look, mami, I got the X, if you into takin' drugs
I'm into havin' sex I, ain't into makin' love
So come give me a hug, if you into getting rubbed....

Haaa haaa ticha akawapiga show
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…