Ushuhuda kutoka kwa Shehe Omari Mnyeshani

Uchawi unafanyika sana tena mwingine ni wa nia za ovyo kiasi ya kwamba ukiambiwa utashangaa, lakini always kuna nguvu fulani ya asili huwa inaleta ukinzani. Na wachawi wanaelewa kwamba uchawi hauwezi kutawala dunia kwa asilimia 100
Mkuu, kuna uchawi wa nia njema? Mimi nijuavyo uchawi ni uovu, ni ubaya.
 
Wanaweza fanya tambiko la kuzuia ufisadi serikalini? Na kuongeza uwajibikaji?


Au kwenye kuleta maendeleo uchawi hauwezi?
 
Part 14 inaelezea chimbuko la mbio za mwenge Tanzania na part 15 inaelezea tambiko likilofanyika Lindi mwaka 1990
 

Attachments

  • PART14_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    42.9 MB
  • PART15_MWENYEKITI_WA_WACHAWI_TZ__SHEKHE_ALIEOKOKA_NILIUA_MKE_NA_KUISHI_NAE_TENA_UCHAWI__NIMESO...mp4
    43.5 MB
1. Umewasingizia hao watu. Hao ni Lindi kweli kweli. Mama kwete unaona yupo vizuri. Are you serious? Are you normal?
Mama Kikwete yupo vizuri mkuu. Vinginevyo, asingeolewa na Mzee Kikwete.

Isitoshe, hilo tambiko lilifanyika mwaka 1990 hivyo halikumwathiri yeye. Waliaoathirika ni wale waliozaliwa baada ya hilo tambiko.
 
Hizi story utazisikia sana kwenye vijiwe vya walokole!
Hapo wanapumbazwa watu ili wauziwe mafuta, na maji!
Shenzy typ!@#$%@#$
 
Mkuu, kuna uchawi wa nia njema? Mimi nijuavyo uchawi ni uovu, ni ubaya.
Katika falsafa ya uchawi hakuna nia njema wala mbaya duniani, kila nia ni ina makusudi na manufaa kwa mwenye nia. Ndomana wachawi hawamwamini mtu hata wao hawaaminiani
 
Anasema vitu ambavyo tayari vipo hasa hilo la waziri mkuu. Hakuna cha ziada alichosema;
 
Hii nchi kuwa na maendeleo ni hadi livunjwe kafara la umasikini.
Umasikini ni kafara la uhuru.
Ili tupate mkoloni aondoke ni lazma tuwe masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…