Ushuhuda kutoka kwa Shehe Omari Mnyeshani

Bado simulizi la Kafara lililofanyika Lindi.
Hilo lilikuwa kubwa kupita lile la Bagamoyo.

Ni simulizi la kutisha sana.
Nitaliweka hapa muda sio Mrefu.

Tukae mkao wa kula.

Safari ya Lindi ilianza huku msoma Dua akiwa anatembea kwa kushikiliwa na wakati mwingine kubebwa mzegamzega.

Ni kwamba anatembea huku anasoma Dua ya Shetani. Anatembea na Kuzimia njia Mzima na kubebwa.

Itaendelea.
 
Wakati zindiko la Bagamoyo lilifanywa na Wachawi Vigogo Saba tu. Yaani (7)

Zindiko la Lindi lilijumuisha Wachawi Nguli mia moja(100) wa kutoka karibu kila mkoa.
Na wasaidizi (40)

Safari ya kuelekea Lini ilifanyika Kichawi. Yaani kwa msaada wa Majini.

Nini kilifanyika huko Lindi.
Itaendelea

Je Mshana.Jr, alikuwepo? Itaendelea.,
 
Watanzania tuungane kumlilia Mungu atuokoe na watoto wetu.

Shetani ameshika usukani
 
Mmoja alidhamiria kufunga goli dakika ya 89:59, wpmwingine aliingia bungeni akatoa hoja earphone zipigwe marufuku kwakuwa zinasababisha uziwi kwa watumiaji
Mama Salma Kikwete hawajawahi kuwa nazo kwa kumakinika ingawa alikjwa mwalimu shule ya msingi
 
Mkuu
Najua unajua kwa nini umeweka huu utetezi wako makini hapa.

Babeli inaenda kuanguka. Mtatumia njia saba kutawanyika
 
Mkuu
Najua unajua kwa nini umeweka huu utetezi wako
Sitetei yeyote wala jambo lolote.

Ila, hilo ni bandiko huru unaweza na una haki kulitafsiri vyovyote utakavyo na ikawa ni sawa.
 
Inaelekea huu upole wa WaTz ni kazi ya nguvu za giza! Yaani hadi chaguo la Mungu wamelishinda? Je huyo mtu ccm? Naona wanaifaidisha ccm tu na wezi wake.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Ni Kweli, si bure. Watanzania wanatumikishwa bila wao kujua. Wamepigwa upofu wa kifikra na kuwa kama "mazezeta" japo si mazezeta
 
Reactions: Auz
Ukishaliweka unishtue, tafadhali🙏
 
Ooh pwani wavivu hawataki kulima ardhi tele ina rutuba nenda kalime wewe Tena unapewa shamba Bure Kisha ulete mrejesho.
Pana kikundi walitumia milioni hamsini heka mia kulima uvuta wakavuna debe tatu.
Bora hao hata walivuna debe 3, kuna waliosahau kama hata walinunua mashamba huko
 
Maeneo yote waliyofanya matambiko nchini hayana maendeleo.
Bagamoyo, Lindi, Tanga, Tabora na Kigoma
Mbona Kilimanjaro walipandisha mwenge kileleni siku ya uhuru na maendeleo yapo au ndio nuru ya mwenge inaangazia wachaga wanaiona hela?

Arusha napo azimio na mnara wake uliopo kati kati ya bara la Afrika na bado watu wanatoboa kimaendeleo.

Au tuseme haya matukio mawili sio matambiko ila hayo matukio mengine ndio matambiko. Tukisema hivyo huoni kama tutakuwa tunajitetea tu juu ya uvivu wa watu wa hayo maeneo mengine?.

Haya mambo yapo ila umasikini ni matokeo ya uvivu tu.
 
Point! Tupe muongozo. Tunaanzaje?
Ikiwezekana kwa uchache wetu tukaazimia kuwa kila siku ya ijumaa, au jumamosi au jumapili au jumatatu tujiweke wakfu kutokula siku nzima na kuiombea nchi yetu. Ipo siku haya yatakoma
 
Ikiwezekana kwa uchache wetu tukaazimia kuwa kila siku ya ijumaa, au jumamosi au jumapili au jumatatu tujiweke wakfu kutokula siku nzima na kuiombea nchi yetu. Ipo siku haya yatakoma
Point. Lazima kuchukua hatua. Kutegemea mabadiliko bila kufanya chochote ni sawa na kutarajia kuvuna maembe kwenye mti wa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…