Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

Kama unaona unaqeza pata malaika mpige chini uone utakavyokutana na shetani na huku tunakuvizia single mama tunajua mjitokaga kuumizwa no kama kumsukuma mlevi papuchi mnakuwa mayo mfuko wa shati
 
Mkuu inaniuma sana nampenda sana mama watoto wangu ,,ni mtu ambaye kiukweli bila kupepesa macho ni mtu makini sana.Ni mtu mwenye akili sana ya maisha.
 
Tulikua hatuelewani katika simu mpaka akani block basi ikafika kipindi tukakutana home kwetu kwa wazazi,, nikajua ni sehemu sahihi ya kumaliza matatizo yetu.Usiku tumelala simu yake inapigwa na mwanaume mmoja nikamuuliza ni nani huyo akanijibu jeuli,,nikavumilia siku ya tatu simu ikapigwa tena nikawanayo mimi kupokea anakata,.Basi mda si mrefu wife anarudi anaulizia simu yake namuuliza kwanini huyu jamaa anakupigia simu mara kwa mara akanijibu jeuri,,kweli nilisimama nikamtandika vilivyo mpaka akalazwa basi ndugu zangu wakamuhudumia siku yatatu akawa poa tukakaa kikao tukasameheana tukawa poa tu.Tumekaa kidogo akarudi dar siku iliyofuata ndio kanitumia text kali sana hataki hata kuniona [emoji23][emoji23][emoji23]kila mtu aishi kivyake iliniuna na inaniuma sana,,ila kila nikimtazama mwanangu napata nguvu sana
 
Kwa haraka haraka hapo mwanaume atakuwa Muslim,
mke mkristu,
tazizo itakuwa wivu uliyopitiliza na kutopeana UHURU,
si rahisi ila jitaidi sana kutuliza akili nausikae peke yako na ikiwezekana tafuta wanandoa unawo wajua na si waropokaji wanaweza kukufariji na kukupa mawazo mazuri,
Nb ogopa mshauri asiolewa au waliyoziacha ndoa zao!
 
Umefanya maamuzi sahihi, jifanye mjinga utayashinda!
 
Dah mkuu pole kwa maswaiba mazito sana, usijali tulia jipange endelea na mishe zako kama kawaida time will tell bro mwache aende lakini najua mwisho wa siku mafuta ujitenga na maji uyo ataangaika mwisho wa siku atakuja kujuta uko aendako, nina imani uko alipokwenda yatamshinda tu atakuwa amedanganywa na muuni mmoja tu asiyejielewa kikubwa omba mungu atafanya wepesi
 
Jamaa analea watoto?
 
Kuna wanawake Wana viburi ..yaani anahangaikia talaka mwenyewe Kama vile ni deal kubwa flani...sasa hapo unafanyaje?unambembeleza msiachane au?
 
Hii ni kweli asilimia 100....ilinitokea mimi...nikatafakari nikaona kwamba hao watoto watatukosa wazazi wote wawili kama tukiendelea kuishi pamoja....sasa tumeachana na naendelea kuwalea watoto wakiwa kwa mama yao..na tunawasiliana Kama kawaida na huwa anawaleta kwangu mwenyewe...na siku za sikukuu tutakuwa pamoja
 
Huo mda wa kujifunza hisia za binadamu mwingine Sina badala nijipe Raha na furaha niwe namsoma hisia yeye ni kitabu, Bora tu akafanye umalaya wake huko na sio Mimi kujihangaisha kumfuraisha mtu
feminist kwenye damu
 
mkiwa nyuma ya keyboard bana [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Bora alivokiacha wewe ni jeuri, ukiona mtu anapigiwa simu na mchepuko ujue ushawishi umeisha sasa na wewe hukutumia busara unadunda, mkikaa pamoja si ndio kuuana kabisa
 
viumbe waliotokana na HAWA mwalimu wao hajulikami
wewe kumtumia hela zote hizo hazikufaa kitu, alishakutana na zaidi ya pesa akaridhishwa kimwili JIACHIE BAKI NA MTOTO utapatawa kukufaa.
Kuna jirani yangu ana Duka kubwa na Bar lakini mkewe katorokea kwa msela na tumefika POLISI Dawati la Jinsia bado mkewe kamkataa, mke anachokitaka anakijua na pesa iwepo
 
Ahsante kaka ndio maisha
 
Kuachana na cocaine/heroine, ni maumivu magumu kuliko hata kuachana na mke/mme, ila unaanza tu upya sasa hivi natumia ganja tu maisha yanakwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…