Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

Find ur own happiness siku ukijifunza kujipa furaha mwenyewe na milango mingine mikubwa itafumguka, ukiona mahali furaha vituko vimezidi pianeni space and move on with life. Mimi principle yangu maishani furaha yangu na peace of mind ni muhimu kuliko chochote coz we live once, so ukiogopa kusepa kisa jamii huku unaumia wewe waweza kufa uache watoto wako yatima, pia nowdays ndoa sio quarantine Bora kujiimarisha kiuchumi, wewe ungekuwa uko vizuri usingewaza Mara mbili kunyanyuka na kuanza life
 
Ukisema mumeo hapendi communication mimi naweza kukushauri kupitia hiyo hiyo kauli yako Moja..

You mess with his ego.Kama kuna kitu kinavunja ndoa mapema nakufanya sisi wanaume tuanze kufanya matukio ya kutosha bila kujali hili wala lile ni kucheza na ego zetu...

Mi naweza kukushauri wewe kidogo tu ujue wapi ukikosea na kwanini mwanaume kaja kuwa wa ajabu ajabu ingawa siwezi jua km alikuwa hivyo toka mwanzo


Kauli na matendo kuna kauli ukiongea mbele ya mwanaume inaweza kumuuma sana to the point mpk ukavunja ndoa yako kabla ya kuvunjika rasmi cha ajabu ni wanaume wachache sana Wapo tyr kusema wapi ego zao zilikuwa attacked utaona anakupiga matukio hakujali tena anafanya vitu ambavyo mwanzo alikuwa hawezi kufanya,HATAKI muliongelee sababu hata akikuelezea anahisi utadharau kitu anachokwambia utaona ni gubu lake tu


Nakupa mfano hai,kuna jamaa yangu mmoja alikuwa mtu poa sn mixer kuweka familia yake kwenye DP sasa ndoa ikamkubali akanenepa sana akawa na bonge la kitambi sasa siku tumeenda kula kwake akawa hajashiba akaomba mkewe amuongezee chakula,mkewe akalopoka we nae unapenda kula sana chakula chote kile ndo mana unatumbo km Mimba cheki wenzako hujisikii vby mume wangu???

Mimi bwana namjua mshikaji vzr sababu ni mtu wangu km hata hajaoa na navyomjua jamaa hawezi utani ni mwepesi wa kujaa sumu.Kwa ile kauli mbele yetu moja kwa moja,nilijua jamaa kaumia sana tena sana basi chakula kikaja akala vijiko kadhaa akasema najisikia nimeshiba...

From that day,jamaa alibadilika kbs akawa mlevi mbwa,anatembea na mabaamedi sasa akilewa alikuwa anarudi kauli moja hivi mke wangu anasema mimi natumbo kama mimba,nimemfanyia vingapi yule mwanamke mimi..

Sasa imagine watu wanataka kusuluhishwa

Mwanamke atasema mume wangu kabadilika kawa malaya,mlevi ananitukana hajali familia.

Mwanaume hata sema kitu sababu ana grudge utasikia nitajirekebisha ila moyoni anasema huyu mbwa ananiambia mimi na tumbo km mimba plus akituchek rafikiz ake ni kama tunamkumbusha kauli yake mkewe kwamba ona wenzako...KAMWE hawezi kusema kauli hiyo ndo imembadilisha ila in fact ni kauli hiyo ambayo mwanamke pengine aliongea kwa masihara tu

Wanaume tuna ego issue ukiona ugomvi mwanaume hataki muuzungunzie,mwanamke kumbuka tu kauli gani ukiongea na tendo gani ukitenda ambalo kwakujua au kutokujua ulikugusa ego..

Mwanaume anakuwa na hasira na wewe lkn hawezi kukwambia ulipokosea sababu utahisi labda ni upuuzi lkn moyoni anawaka moto sasa unataka mwanaume aseme nimekuwa malaya sijali familia sababu mke wangu aliniambia mbele ya marafiki zangu nina tumbo km mimba????nosense hawezi katuuuuu atakubali yameisha mkiondoka matukio tu

Wanawake utawasikia ‘upo lafu km huna hela’ ‘yaani wewe umezubaa kweli’ ‘cheki wanaume wenzako wanavyopambana’ ‘kama hujui kuchagua zawadi bora unipe hela nikanunue mwenyewe’ ‘we nae wanakuchezea sababu umezubaa sana’ ‘cheki alivyomuoga’ ‘umelegealegea sana na wewe’

Ndugu yangu hizo hapo juu zilivyo za kijinga hivyo hivyo ukizirudia rudia kwa mwnaume ambaye ana big ego niamini mimi unaweza kuvunja ndoa,Niamini mimi sababu ni mwanaume najua .
Poor justification ya madudu eti kavunjwa ego sijui nini, Yani mtu unatembea na baamedi kisa umeambiwa na kitambi, tena ukute kitandani alikuwa hamridjishi mkewe Sasa anahangaika na baamedi ku prove watu failures, ningekuwa mkewe tena namtaftia ma baamedi wengi ka hyo ni solution
 
Ukisema mumeo hapendi communication mimi naweza kukushauri kupitia hiyo hiyo kauli yako Moja..

You mess with his ego.Kama kuna kitu kinavunja ndoa mapema nakufanya sisi wanaume tuanze kufanya matukio ya kutosha bila kujali hili wala lile ni kucheza na ego zetu...

Mi naweza kukushauri wewe kidogo tu ujue wapi ukikosea na kwanini mwanaume kaja kuwa wa ajabu ajabu ingawa siwezi jua km alikuwa hivyo toka mwanzo


Kauli na matendo kuna kauli ukiongea mbele ya mwanaume inaweza kumuuma sana to the point mpk ukavunja ndoa yako kabla ya kuvunjika rasmi cha ajabu ni wanaume wachache sana Wapo tyr kusema wapi ego zao zilikuwa attacked utaona anakupiga matukio hakujali tena anafanya vitu ambavyo mwanzo alikuwa hawezi kufanya,HATAKI muliongelee sababu hata akikuelezea anahisi utadharau kitu anachokwambia utaona ni gubu lake tu


Nakupa mfano hai,kuna jamaa yangu mmoja alikuwa mtu poa sn mixer kuweka familia yake kwenye DP sasa ndoa ikamkubali akanenepa sana akawa na bonge la kitambi sasa siku tumeenda kula kwake akawa hajashiba akaomba mkewe amuongezee chakula,mkewe akalopoka we nae unapenda kula sana chakula chote kile ndo mana unatumbo km Mimba cheki wenzako hujisikii vby mume wangu???

Mimi bwana namjua mshikaji vzr sababu ni mtu wangu km hata hajaoa na navyomjua jamaa hawezi utani ni mwepesi wa kujaa sumu.Kwa ile kauli mbele yetu moja kwa moja,nilijua jamaa kaumia sana tena sana basi chakula kikaja akala vijiko kadhaa akasema najisikia nimeshiba...

From that day,jamaa alibadilika kbs akawa mlevi mbwa,anatembea na mabaamedi sasa akilewa alikuwa anarudi kauli moja hivi mke wangu anasema mimi natumbo kama mimba,nimemfanyia vingapi yule mwanamke mimi..

Sasa imagine watu wanataka kusuluhishwa

Mwanamke atasema mume wangu kabadilika kawa malaya,mlevi ananitukana hajali familia.

Mwanaume hata sema kitu sababu ana grudge utasikia nitajirekebisha ila moyoni anasema huyu mbwa ananiambia mimi na tumbo km mimba plus akituchek rafikiz ake ni kama tunamkumbusha kauli yake mkewe kwamba ona wenzako...KAMWE hawezi kusema kauli hiyo ndo imembadilisha ila in fact ni kauli hiyo ambayo mwanamke pengine aliongea kwa masihara tu

Wanaume tuna ego issue ukiona ugomvi mwanaume hataki muuzungunzie,mwanamke kumbuka tu kauli gani ukiongea na tendo gani ukitenda ambalo kwakujua au kutokujua ulikugusa ego..

Mwanaume anakuwa na hasira na wewe lkn hawezi kukwambia ulipokosea sababu utahisi labda ni upuuzi lkn moyoni anawaka moto sasa unataka mwanaume aseme nimekuwa malaya sijali familia sababu mke wangu aliniambia mbele ya marafiki zangu nina tumbo km mimba????nosense hawezi katuuuuu atakubali yameisha mkiondoka matukio tu

Wanawake utawasikia ‘upo lafu km huna hela’ ‘yaani wewe umezubaa kweli’ ‘cheki wanaume wenzako wanavyopambana’ ‘kama hujui kuchagua zawadi bora unipe hela nikanunue mwenyewe’ ‘we nae wanakuchezea sababu umezubaa sana’ ‘cheki alivyomuoga’ ‘umelegealegea sana na wewe’

Ndugu yangu hizo hapo juu zilivyo za kijinga hivyo hivyo ukizirudia rudia kwa mwnaume ambaye ana big ego niamini mimi unaweza kuvunja ndoa,Niamini mimi sababu ni mwanaume najua .
I tip my head kwa hii comment!
 
Poor justification ya madudu eti kavunjwa ego sijui nini, Yani mtu unatembea na baamedi kisa umeambiwa na kitambi, tena ukute kitandani alikuwa hamridjishi mkewe Sasa anahangaika na baamedi ku prove watu failures, ningekuwa mkewe tena namtaftia ma baamedi wengi ka hyo ni solution
Hii ni our position kama Men...
How would you feel " Mtu wako akikwambia uzuri na kuvutiwa kwa marafiki zako ama wanawake wenzako, vile anavyo koshwa nao ukiji linganisha nao hata 0.0 huwafikii, nadhani ukisema kwako ni sawa utakuwa na "psychological issues" cause mwanamke ana wivu kwa Mume wake "hii hata eve alikuwa cursed" ila sisi tupo territorial na tuna demand alot of respect katika territory zetu...
"fair comment sina mbaya nawe Cariha"
 
Natamani utufafanulie neno EGO, Wanaume tuna EGO, hapa unamaanisha nini hasa kwa lugha nyepesi tuweze kukuelewa.

Asante.

Ego ni vile ambavyo unaamini wewe ndo ulivyo sasa ikitokea mtu kakwambia tofauti inakuuma sana...
Mfano mtu aamini yeye mzuri halafu umwambie wewe ni mbovu balaa

Sasa wanaume tunakulinda sana thamani yetu tuliyojiwekea kichwani tunajiona hii ndo yetu bila hiyo sisi hatujakamilika ukitokea umeponda hiyo thamani yetu basi uwaga tunaumizwa sana...
 
Poor justification ya madudu eti kavunjwa ego sijui nini, Yani mtu unatembea na baamedi kisa umeambiwa na kitambi, tena ukute kitandani alikuwa hamridjishi mkewe Sasa anahangaika na baamedi ku prove watu failures, ningekuwa mkewe tena namtaftia ma baamedi wengi ka hyo ni solution

Hahahahahaa nadhani umeelewaa sasa kwanini wanaume hawatakagi muyaongelee mahusiano pale yanapokuwa yamevurugika

Ni kwasababu hiyo hiyo atakachoongea utaona upuuzi na sio sababu ya msingi kufanya anayofanya wakati kichwani kwake yeye anaona ni sababu za msingi...

Umereply vzr sana ume prove nilichoandika ugomvi mkubwa kati ya mwanaume na mwanamke siku zote ukiwaweka chini utaona mwanamke anaonewa tu ndo mana wnaume kamwe hawaongeagi kwenye kusuluhisha.Utaona mwanamke anaonekana kaonewa wakati mwanaume anaendeleza tabia za ajabu...

Kama wewe ni mwanamke ni kazi kuwajua wanaume km unawa judge.its easy to judge and difficult to understand.Nimekupa hints to jinsi wanaume wanavyowaza cheki ulivyopanic..[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Kwakweli kuelezea kila kilichotekea nitareaveal identity za watu...ila kikubwa ni usaliti uliovuka mipaka..na yaliyotokana na usaliti ndio mazito zaidi...naombeni msaaada juu ua uzoefu wenu...mimi na mume wangu hatuwezi kurudi kama mwanzo...
Labda Ka kachepuka na mdogo all au Dada yako.
Lakini kama amekuheshemu na kutafuta mchepuko ambao sio ndugu yako, sioni tatizo.
Labda nikuulize, ulipokua chuo hukuwahi chepuka na mume wa mtu?
 
Kwa umri nilionao.... Nimekuja kugundua.... Ukijaribu kummiliki Mwamamume.... Utaumia sana kihisia, kimwili, kisaikolojia, kimatendo, kifikra.... Utaumia Kila Kona. Utakuwa mtu wa mawazo na kununa muda wote. Nimeacha kabisa hii TABIA.
Upo sahihi kabisa...mwanamke kujarbu kummiliki mumewe ni kujiumiza tu...hii ni sawa na sikio kutaka kumiliki/kuzidi kichwa jambo ambalo haliwezekani abadani..

Ila mwanaume kummiliki mwanamke ni jambo jepesi sana ndo Mana wakaruhusiwa wawaoe ata 4....ni sawa na kichwa kumiliki masikio,macho,pua na mdomo...
 
Hahahahahaa nadhani umeelewaa sasa kwanini wanaume hawatakagi muyaongelee mahusiano pale yanapokuwa yamevurugika

Ni kwasababu hiyo hiyo atakachoongea utaona upuuzi na sio sababu ya msingi kufanya anayofanya wakati kichwani kwake yeye anaona ni sababu za msingi...

Umereply vzr sana ume prove nilichoandika ugomvi mkubwa kati ya mwanaume na mwanamke siku zote ukiwaweka chini utaona mwanamke anaonewa tu ndo mana wnaume kamwe hawaongeagi kwenye kusuluhisha.Utaona mwanamke anaonekana kaonewa wakati mwanaume anaendeleza tabia za ajabu...

Kama wewe ni mwanamke ni kazi kuwajua wanaume km unawa judge.its easy to judge and difficult to understand.Nimekupa hints to jinsi wanaume wanavyowaza cheki ulivyopanic..[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwanini usiomgee jambo ukakaa kimya I do believe umalaya ni tabia ya mtu tu na Wala haisabanishwi na mapungufu ya mtu coz it's ur body and not mine eti simply mtu kasema Jambo flani hutaki unaanza kuzoa kila mwanamke bila kujali health status Mimi naona unayefanya hvo ndio unatatizo, fanya ngono vile una hamu na sio vile hujapenda Jambo flani huo ni utopolo wa kiwango Cha standard gauge aisee let's learn to be accountable for our actions, that why I always say ukifika sehemu umemchoka mtu Bora useme kuliko ku fake in front of society ur okay kumbe Kuna vitu vina ku kill inside kimya kimya, better solve ur problem
 
yani tatizo ulilonalo wewe ndo tatizo liko kwa wanawake wengi kwenye ndoa, kwanza kutaka marafiki, jamii na ndugu zako wakuone umeolewa na perfect guy, kumbe ndani maumivu matupu, kiasi kwamba yakikufika huna wa kumwambia kwa kuogopa kuharibu image na kuona aibu mana ukiwaza unachoongeaga kuhusu huyo mume na yanayotokea hujui hata jinsi ya kuanza ku change stori, pili kupwete alimradi mume ana kipato basi hujishugulishi kiasi kwamba mwisho wa siku yakikushinda huna pakunzia unabaki kufia ndani, unawaza naenda kwa nani na watoto 3 au 4. Na mwisho ni kuvumilia visivyovumika kwa kujidanganya eti he will change, kama alifanya mara ya kwanza ukasamehe na hakubadillika dont dare to dream eti atakuja kubadilika, na hii tabia ya kusikiliza ya watu eti wanaume wote ni cheaters hivyo its ok kufumba macho na kuishi kama huoni, mwisho wa siku ukimwi huo, takwimu zinaonyesha kila mwaka watu karibia elfu 70 huambukizwa ukimwi tanzania, mnazani haya maambukiza yanakuja vipi? watu wengine wanasema eti be there forthe sake of ur children, jamani watoto wanaoishi nyumba ambayo wazazi hawana amani kila siku magomvi wanaathirika sana kisaikolojia, kama ni wakike basi ukae ukijua unamuandaa kuona kwamba ndoa ni kuvumilia mateso na yeye ataishi kuolewa na mwanaume wa tabia za ajabu na kuishi maisha kama yako, wakiume nae akikua ata mtreat mkewe vibaya mana ndo mafunzo aliyoyapata kwa baba yake.
 
Hii ni our position kama Men...
How would you feel " Mtu wako akikwambia uzuri na kuvutiwa kwa marafiki zako ama wanawake wenzako, vile anavyo koshwa nao ukiji linganisha nao hata 0.0 huwafikii, nadhani ukisema kwako ni sawa utakuwa na "psychological issues" cause mwanamke ana wivu kwa Mume wake "hii hata eve alikuwa cursed" ila sisi tupo territorial na tuna demand alot of respect katika territory zetu...
"fair comment sina mbaya nawe Cariha"
Hyo position ya uanaume kwanini huwa ni Africa tu hata Jambo likitokea Mimi kichwa, to me kosa ni kosa awe wa kike au wa kiume, pia Mimi siwezi kuwa na wivu na mtoto wa mwanamke mwenzangu tuliyekutana utu uzimani nitake kumu miliki sijui wivu honestly sina huo mda kabisa na vitu anavofamya mtu mzima kwa utashi wake au starehe zake siwezi question au ni feel jealous ni yeye, Kama vile Mimi nisivopenda kuingiliwa Uhuru wangu, maamuzi yangu nami sipendi ku control mtu. So hata mpenzi afanye I'm okay as long as he is happy na anafanya kitu roho unapenda why should I feel jealous kinachotesa watu wengi ni kufikiria mtu flani atanipa furaha bila yeye my life will be meaningless, so hapo lazima uumie, and expectations from people always hurt
 
Nawasalimu sana ndugu wana JF.

Kwakweli lengo la ndoa ni kuishi pamoja kwa uaminifu na upendo na kulea familia pamoja.

Nafaham humu kuna watu wenye calibre tofauti na uwezo wa hali ya juu kupambanua mambo kutokana na experience...

Naomba experience yenu, je ilikua rahisi kuanza upya? Kwenda mahakamani kutoa talaka rasmi imeshindikana kabisa..ninachotaka ni kutengana kwa muda napo imeshindikana..hapo more than three children kwenye ndoa wapo involved, ten years na wengine below .simchukii kabisa mume lakini forgiving and forgetting what happened nashindwa kabisa..imani haipo Yarabi tena...nimekata tamaa kabisa.

Imefikia kipindi natafuta kazi mikoani ili nipone moyo...jamani wenzangu mliwezaje...sijashare na ndugu yangu hata mmoja....nikiwaeleza kila kitu watamchukia na they will never forgive him.

Nimeamua kumstiri mume wangu..sijaandika kila kitu ila baadhi yenu ni wanaume ila mngeumia sana na kutoa chozi...ndoa yetu ni ya serikali...naomba experience yenu especially kwa nyie mliokua na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya
kama ni kweli unateseka na jamaa hajali na ndiye anakupa mateso tena makusudi, achana naye mpenzi. ya nini kufia kwa limtu kisa ndoa
ila kuna vitu vinavumilika. bahati mbaya hujasema ulichofanyiwa tungekwambia hicho vumilia au chomoka
 
Hyo position ya uanaume kwanini huwa ni Africa tu hata Jambo likitokea Mimi kichwa, to me kosa ni kosa awe wa kike au wa kiume, pia Mimi siwezi kuwa na wivu na mtoto wa mwanamke mwenzangu tuliyekutana utu uzimani nitake kumu miliki sijui wivu honestly sina huo mda kabisa na vitu anavofamya mtu mzima kwa utashi wake au starehe zake siwezi question au ni feel jealous ni yeye, Kama vile Mimi nisivopenda kuingiliwa Uhuru wangu, maamuzi yangu nami sipendi ku control mtu. So hata mpenzi afanye I'm okay as long as he is happy na anafanya kitu roho unapenda why should I feel jealous kinachotesa watu wengi ni kufikiria mtu flani atanipa furaha bila yeye my life will be meaningless, so hapo lazima uumie, and expectations from people always hurt
una walakini 😂 mkuu wewe noooma, huna hata wivu
 
Hiyo image ni ipi uliyowajengea ndugu zako? Hizi perfectionism ndizo zinatuua kimyakimya siku ukisema mabaya yake hutoeleweka utaishiwa kuambiwa vumilia ndio ndoa zilivyo
Nashukuru ndugu kwa mchango wako...ila image ambayo nimepaint kwa ndugu zangu watashangaa sana..na wanamuamini na kumuheshimu mnooo.. Sasa nikiwaambia hayyo kesho na keshokutwa sijui watamtazama vp usoni...hajawahi kulalamika kwa ndugu zangu kuhusu mapungufu yangu na mimi ni mwanadamu siko perfect...
 
Kwanini usiomgee jambo ukakaa kimya I do believe umalaya ni tabia ya mtu tu na Wala haisabanishwi na mapungufu ya mtu coz it's ur body and not mine eti simply mtu kasema Jambo flani hutaki unaanza kuzoa kila mwanamke bila kujali health status Mimi naona unayefanya hvo ndio unatatizo, fanya ngono vile una hamu na sio vile hujapenda Jambo flani huo ni utopolo wa kiwango Cha standard gauge aisee let's learn to be accountable for our actions, that why I always say ukifika sehemu umemchoka mtu Bora useme kuliko ku fake in front of society ur okay kumbe Kuna vitu vina ku kill inside kimya kimya, better solve ur problem

Tatizo lako unasoma comment zangu lkn upo faster ku reply na sio kunielewa.

Nimesema kwenye kila ndoa linapotokea lakutokea mara nyingi tunasemaga wanaume ndo wenye makosa ninkwasababu makosa yetu sisi yanaonekana very clear nachosema hapa ni kwamba nyie mnakoseaga vitu ambavyo kwenu na kwa mtazamo wenu mnaonaga vdg sana na in such uwaga ni vdg ILA kwenye mtazamo wa kiume uwaga sio vdg kbs

Elewa hili kwanza ndo utaweza kuishi na mwanaume kwa amani...kosa unaloona dogo na kitu cha kijinga hiko ndo kikubwa kwetu....

Na mwanamke mwenye busara ni yule anaweza kukubali kakosea.Sijui hata kama mnajuaga km mnakosea lkn maana naona ni km wote mmeumbwa na hako kaudhaifu
Kuhusu ngono na wanaume inabidi ujue ngono ni njia kubwa mwanaume anayotumia kuondoa stress moyoni hivyo ndo atakapokimbilia akiwa na majonzi moyoni km ambavyo nyie mnakuwa busy kuzungumzia ndoa zenu na shoga zenu kama njia ya kuondoa stress basi sisi tunatumia ngono km njia ya kuondoa stress...
 
Trust is like a broken glass. Once broken it cannot be the same again. But that does not mean that forgiveness cannot play it's part. People change... If he is cooperative you can go to therapy don't give up just yet.
@Karucee nifundishe kingreza walau kidogo dadaangu, manake looh.....hii ngeli yako siyo ya TZ bana
 
Back
Top Bottom