you're prayer doesn't help u! coz she did for her duterntainmentI pray that she does not come to your inbox!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you're prayer doesn't help u! coz she did for her duterntainmentI pray that she does not come to your inbox!
Mh ni kweli?Atakuwa 'amemfumania' mume wake 'akipumuliwa' na mwanaume mwenzake.
Hata sikubishii. Ulichoandika uta decode mwenyewe. Lolyou're prayer doesn't help u! coz she did for her duterntainment
Kuachana/kutengana imeshindikana kutokana na nini? Basi muishi nyumba moja ila kila mtu kivyake kama suala ni kulea watoto na kuwekeana siri.Nawasalimu sana ndugu wana JF.
Kwakweli lengo la ndoa ni kuishi pamoja kwa uaminifu na upendo na kulea familia pamoja.
Nafaham humu kuna watu wenye calibre tofauti na uwezo wa hali ya juu kupambanua mambo kutokana na experience...
Naomba experience yenu, je ilikua rahisi kuanza upya? Kwenda mahakamani kutoa talaka rasmi imeshindikana kabisa..ninachotaka ni kutengana kwa muda napo imeshindikana..hapo more than three children kwenye ndoa wapo involved, ten years na wengine below .simchukii kabisa mume lakini forgiving and forgetting what happened nashindwa kabisa..imani haipo Yarabi tena...nimekata tamaa kabisa...
Imefikia kipindi natafuta kazi mikoani ili nipone moyo...jamani wenzangu mliwezaje...sijashare na ndugu yangu hata mmoja....nikiwaeleza kila kitu watamchukia na they will never forgive him...
Nimeamua kumstiri mume wangu..sijaandika kila kitu ila baadhi yenu ni wanaume ila mngeumia sana na kutoa chozi...ndoa yetu ni ya serikali...naomba experience yenu especially kwa nyie mliokua na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya..
Kwamba mke kagonga mdogo wako hadi katia mimba ama ishu ni nini?Kwakweli kuelezea kila kilichotekea nitareaveal identity za watu...ila kikubwa ni usaliti uliovuka mipaka..na yaliyotokana na usaliti ndio mazito zaidi...naombeni msaaada juu ua uzoefu wenu...mimi na mume wangu hatuwezi kurudi kama mwanzo...
Daaah au kapita na ndgu wa kissfmBasi tueleze sisi usiotujua kabisa.,
Japo kwa mafumbo na kuficha ID halisi na maeneo halisi..ili mradi ushushe mzigo.,
Kwani kampa mimba mamamkwe?.lol...kuna mdau kauliza hapo
Neno zuri hilo,liwafikie mabaharia wenzangu wote wa nchi kavuUsimuache mume kisa anegegeda mtu .
Msome mtu anaitwa iddy makengo fb utagundua tatizo lako ni dogoKwakweli kuelezea kila kilichotekea nitareaveal identity za watu...ila kikubwa ni usaliti uliovuka mipaka..na yaliyotokana na usaliti ndio mazito zaidi...naombeni msaaada juu ua uzoefu wenu...mimi na mume wangu hatuwezi kurudi kama mwanzo...
Ametutisha sana...alaf miss Joanah hyo avatar inalalamika sanaKabla hajahadithia nimeanza kuogopa
Sikunyengine. Unasajili ID mpya alaf unaandika mwandiko tofaut na ID yako then unafunguka yote kwa kuhadithis kama RFK ako,ndio kakuambia anapitia hayo majanga....ungepata ushauri murua kbs....Nawasalimu sana ndugu wana JF.
Kwakweli lengo la ndoa ni kuishi pamoja kwa uaminifu na upendo na kulea familia pamoja.
Nafaham humu kuna watu wenye calibre tofauti na uwezo wa hali ya juu kupambanua mambo kutokana na experience...
Naomba experience yenu, je ilikua rahisi kuanza upya? Kwenda mahakamani kutoa talaka rasmi imeshindikana kabisa..ninachotaka ni kutengana kwa muda napo imeshindikana..hapo more than three children kwenye ndoa wapo involved, ten years na wengine below .simchukii kabisa mume lakini forgiving and forgetting what happened nashindwa kabisa..imani haipo Yarabi tena...nimekata tamaa kabisa...
Imefikia kipindi natafuta kazi mikoani ili nipone moyo...jamani wenzangu mliwezaje...sijashare na ndugu yangu hata mmoja....nikiwaeleza kila kitu watamchukia na they will never forgive him...
Nimeamua kumstiri mume wangu..sijaandika kila kitu ila baadhi yenu ni wanaume ila mngeumia sana na kutoa chozi...ndoa yetu ni ya serikali...naomba experience yenu especially kwa nyie mliokua na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya..
Umesemwa ,umesingiziwa kosa usilofanya,na UMESHINDWA KUJITETEA....Inalalamika kuhusu nini?hebu nifahamishe niiambie iache lawama
Yes.... Hapa Ni pagumu. Tena pagumu hasa.Amesema yeye ni graduate hana kazi, so hiyo option ya kuondoka na watoto haiwezekani.