Poor justification ya madudu eti kavunjwa ego sijui nini, Yani mtu unatembea na baamedi kisa umeambiwa na kitambi, tena ukute kitandani alikuwa hamridjishi mkewe Sasa anahangaika na baamedi ku prove watu failures, ningekuwa mkewe tena namtaftia ma baamedi wengi ka hyo ni solutionUkisema mumeo hapendi communication mimi naweza kukushauri kupitia hiyo hiyo kauli yako Moja..
You mess with his ego.Kama kuna kitu kinavunja ndoa mapema nakufanya sisi wanaume tuanze kufanya matukio ya kutosha bila kujali hili wala lile ni kucheza na ego zetu...
Mi naweza kukushauri wewe kidogo tu ujue wapi ukikosea na kwanini mwanaume kaja kuwa wa ajabu ajabu ingawa siwezi jua km alikuwa hivyo toka mwanzo
Kauli na matendo kuna kauli ukiongea mbele ya mwanaume inaweza kumuuma sana to the point mpk ukavunja ndoa yako kabla ya kuvunjika rasmi cha ajabu ni wanaume wachache sana Wapo tyr kusema wapi ego zao zilikuwa attacked utaona anakupiga matukio hakujali tena anafanya vitu ambavyo mwanzo alikuwa hawezi kufanya,HATAKI muliongelee sababu hata akikuelezea anahisi utadharau kitu anachokwambia utaona ni gubu lake tu
Nakupa mfano hai,kuna jamaa yangu mmoja alikuwa mtu poa sn mixer kuweka familia yake kwenye DP sasa ndoa ikamkubali akanenepa sana akawa na bonge la kitambi sasa siku tumeenda kula kwake akawa hajashiba akaomba mkewe amuongezee chakula,mkewe akalopoka we nae unapenda kula sana chakula chote kile ndo mana unatumbo km Mimba cheki wenzako hujisikii vby mume wangu???
Mimi bwana namjua mshikaji vzr sababu ni mtu wangu km hata hajaoa na navyomjua jamaa hawezi utani ni mwepesi wa kujaa sumu.Kwa ile kauli mbele yetu moja kwa moja,nilijua jamaa kaumia sana tena sana basi chakula kikaja akala vijiko kadhaa akasema najisikia nimeshiba...
From that day,jamaa alibadilika kbs akawa mlevi mbwa,anatembea na mabaamedi sasa akilewa alikuwa anarudi kauli moja hivi mke wangu anasema mimi natumbo kama mimba,nimemfanyia vingapi yule mwanamke mimi..
Sasa imagine watu wanataka kusuluhishwa
Mwanamke atasema mume wangu kabadilika kawa malaya,mlevi ananitukana hajali familia.
Mwanaume hata sema kitu sababu ana grudge utasikia nitajirekebisha ila moyoni anasema huyu mbwa ananiambia mimi na tumbo km mimba plus akituchek rafikiz ake ni kama tunamkumbusha kauli yake mkewe kwamba ona wenzako...KAMWE hawezi kusema kauli hiyo ndo imembadilisha ila in fact ni kauli hiyo ambayo mwanamke pengine aliongea kwa masihara tu
Wanaume tuna ego issue ukiona ugomvi mwanaume hataki muuzungunzie,mwanamke kumbuka tu kauli gani ukiongea na tendo gani ukitenda ambalo kwakujua au kutokujua ulikugusa ego..
Mwanaume anakuwa na hasira na wewe lkn hawezi kukwambia ulipokosea sababu utahisi labda ni upuuzi lkn moyoni anawaka moto sasa unataka mwanaume aseme nimekuwa malaya sijali familia sababu mke wangu aliniambia mbele ya marafiki zangu nina tumbo km mimba????nosense hawezi katuuuuu atakubali yameisha mkiondoka matukio tu
Wanawake utawasikia ‘upo lafu km huna hela’ ‘yaani wewe umezubaa kweli’ ‘cheki wanaume wenzako wanavyopambana’ ‘kama hujui kuchagua zawadi bora unipe hela nikanunue mwenyewe’ ‘we nae wanakuchezea sababu umezubaa sana’ ‘cheki alivyomuoga’ ‘umelegealegea sana na wewe’
Ndugu yangu hizo hapo juu zilivyo za kijinga hivyo hivyo ukizirudia rudia kwa mwnaume ambaye ana big ego niamini mimi unaweza kuvunja ndoa,Niamini mimi sababu ni mwanaume najua .
I tip my head kwa hii comment!Ukisema mumeo hapendi communication mimi naweza kukushauri kupitia hiyo hiyo kauli yako Moja..
You mess with his ego.Kama kuna kitu kinavunja ndoa mapema nakufanya sisi wanaume tuanze kufanya matukio ya kutosha bila kujali hili wala lile ni kucheza na ego zetu...
Mi naweza kukushauri wewe kidogo tu ujue wapi ukikosea na kwanini mwanaume kaja kuwa wa ajabu ajabu ingawa siwezi jua km alikuwa hivyo toka mwanzo
Kauli na matendo kuna kauli ukiongea mbele ya mwanaume inaweza kumuuma sana to the point mpk ukavunja ndoa yako kabla ya kuvunjika rasmi cha ajabu ni wanaume wachache sana Wapo tyr kusema wapi ego zao zilikuwa attacked utaona anakupiga matukio hakujali tena anafanya vitu ambavyo mwanzo alikuwa hawezi kufanya,HATAKI muliongelee sababu hata akikuelezea anahisi utadharau kitu anachokwambia utaona ni gubu lake tu
Nakupa mfano hai,kuna jamaa yangu mmoja alikuwa mtu poa sn mixer kuweka familia yake kwenye DP sasa ndoa ikamkubali akanenepa sana akawa na bonge la kitambi sasa siku tumeenda kula kwake akawa hajashiba akaomba mkewe amuongezee chakula,mkewe akalopoka we nae unapenda kula sana chakula chote kile ndo mana unatumbo km Mimba cheki wenzako hujisikii vby mume wangu???
Mimi bwana namjua mshikaji vzr sababu ni mtu wangu km hata hajaoa na navyomjua jamaa hawezi utani ni mwepesi wa kujaa sumu.Kwa ile kauli mbele yetu moja kwa moja,nilijua jamaa kaumia sana tena sana basi chakula kikaja akala vijiko kadhaa akasema najisikia nimeshiba...
From that day,jamaa alibadilika kbs akawa mlevi mbwa,anatembea na mabaamedi sasa akilewa alikuwa anarudi kauli moja hivi mke wangu anasema mimi natumbo kama mimba,nimemfanyia vingapi yule mwanamke mimi..
Sasa imagine watu wanataka kusuluhishwa
Mwanamke atasema mume wangu kabadilika kawa malaya,mlevi ananitukana hajali familia.
Mwanaume hata sema kitu sababu ana grudge utasikia nitajirekebisha ila moyoni anasema huyu mbwa ananiambia mimi na tumbo km mimba plus akituchek rafikiz ake ni kama tunamkumbusha kauli yake mkewe kwamba ona wenzako...KAMWE hawezi kusema kauli hiyo ndo imembadilisha ila in fact ni kauli hiyo ambayo mwanamke pengine aliongea kwa masihara tu
Wanaume tuna ego issue ukiona ugomvi mwanaume hataki muuzungunzie,mwanamke kumbuka tu kauli gani ukiongea na tendo gani ukitenda ambalo kwakujua au kutokujua ulikugusa ego..
Mwanaume anakuwa na hasira na wewe lkn hawezi kukwambia ulipokosea sababu utahisi labda ni upuuzi lkn moyoni anawaka moto sasa unataka mwanaume aseme nimekuwa malaya sijali familia sababu mke wangu aliniambia mbele ya marafiki zangu nina tumbo km mimba????nosense hawezi katuuuuu atakubali yameisha mkiondoka matukio tu
Wanawake utawasikia ‘upo lafu km huna hela’ ‘yaani wewe umezubaa kweli’ ‘cheki wanaume wenzako wanavyopambana’ ‘kama hujui kuchagua zawadi bora unipe hela nikanunue mwenyewe’ ‘we nae wanakuchezea sababu umezubaa sana’ ‘cheki alivyomuoga’ ‘umelegealegea sana na wewe’
Ndugu yangu hizo hapo juu zilivyo za kijinga hivyo hivyo ukizirudia rudia kwa mwnaume ambaye ana big ego niamini mimi unaweza kuvunja ndoa,Niamini mimi sababu ni mwanaume najua .
Hii ni our position kama Men...Poor justification ya madudu eti kavunjwa ego sijui nini, Yani mtu unatembea na baamedi kisa umeambiwa na kitambi, tena ukute kitandani alikuwa hamridjishi mkewe Sasa anahangaika na baamedi ku prove watu failures, ningekuwa mkewe tena namtaftia ma baamedi wengi ka hyo ni solution
Natamani utufafanulie neno EGO, Wanaume tuna EGO, hapa unamaanisha nini hasa kwa lugha nyepesi tuweze kukuelewa.
Asante.
Safi...natumaini utakuwa balozi mzuri kwa wenzioNaishi kwa amani kabisa, raha mustarehe baada ya kuacha haka ka tabia kabaya😀
Poor justification ya madudu eti kavunjwa ego sijui nini, Yani mtu unatembea na baamedi kisa umeambiwa na kitambi, tena ukute kitandani alikuwa hamridjishi mkewe Sasa anahangaika na baamedi ku prove watu failures, ningekuwa mkewe tena namtaftia ma baamedi wengi ka hyo ni solution
Labda Ka kachepuka na mdogo all au Dada yako.Kwakweli kuelezea kila kilichotekea nitareaveal identity za watu...ila kikubwa ni usaliti uliovuka mipaka..na yaliyotokana na usaliti ndio mazito zaidi...naombeni msaaada juu ua uzoefu wenu...mimi na mume wangu hatuwezi kurudi kama mwanzo...
Upo sahihi kabisa...mwanamke kujarbu kummiliki mumewe ni kujiumiza tu...hii ni sawa na sikio kutaka kumiliki/kuzidi kichwa jambo ambalo haliwezekani abadani..Kwa umri nilionao.... Nimekuja kugundua.... Ukijaribu kummiliki Mwamamume.... Utaumia sana kihisia, kimwili, kisaikolojia, kimatendo, kifikra.... Utaumia Kila Kona. Utakuwa mtu wa mawazo na kununa muda wote. Nimeacha kabisa hii TABIA.
Kwanini usiomgee jambo ukakaa kimya I do believe umalaya ni tabia ya mtu tu na Wala haisabanishwi na mapungufu ya mtu coz it's ur body and not mine eti simply mtu kasema Jambo flani hutaki unaanza kuzoa kila mwanamke bila kujali health status Mimi naona unayefanya hvo ndio unatatizo, fanya ngono vile una hamu na sio vile hujapenda Jambo flani huo ni utopolo wa kiwango Cha standard gauge aisee let's learn to be accountable for our actions, that why I always say ukifika sehemu umemchoka mtu Bora useme kuliko ku fake in front of society ur okay kumbe Kuna vitu vina ku kill inside kimya kimya, better solve ur problemHahahahahaa nadhani umeelewaa sasa kwanini wanaume hawatakagi muyaongelee mahusiano pale yanapokuwa yamevurugika
Ni kwasababu hiyo hiyo atakachoongea utaona upuuzi na sio sababu ya msingi kufanya anayofanya wakati kichwani kwake yeye anaona ni sababu za msingi...
Umereply vzr sana ume prove nilichoandika ugomvi mkubwa kati ya mwanaume na mwanamke siku zote ukiwaweka chini utaona mwanamke anaonewa tu ndo mana wnaume kamwe hawaongeagi kwenye kusuluhisha.Utaona mwanamke anaonekana kaonewa wakati mwanaume anaendeleza tabia za ajabu...
Kama wewe ni mwanamke ni kazi kuwajua wanaume km unawa judge.its easy to judge and difficult to understand.Nimekupa hints to jinsi wanaume wanavyowaza cheki ulivyopanic..[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hyo position ya uanaume kwanini huwa ni Africa tu hata Jambo likitokea Mimi kichwa, to me kosa ni kosa awe wa kike au wa kiume, pia Mimi siwezi kuwa na wivu na mtoto wa mwanamke mwenzangu tuliyekutana utu uzimani nitake kumu miliki sijui wivu honestly sina huo mda kabisa na vitu anavofamya mtu mzima kwa utashi wake au starehe zake siwezi question au ni feel jealous ni yeye, Kama vile Mimi nisivopenda kuingiliwa Uhuru wangu, maamuzi yangu nami sipendi ku control mtu. So hata mpenzi afanye I'm okay as long as he is happy na anafanya kitu roho unapenda why should I feel jealous kinachotesa watu wengi ni kufikiria mtu flani atanipa furaha bila yeye my life will be meaningless, so hapo lazima uumie, and expectations from people always hurtHii ni our position kama Men...
How would you feel " Mtu wako akikwambia uzuri na kuvutiwa kwa marafiki zako ama wanawake wenzako, vile anavyo koshwa nao ukiji linganisha nao hata 0.0 huwafikii, nadhani ukisema kwako ni sawa utakuwa na "psychological issues" cause mwanamke ana wivu kwa Mume wake "hii hata eve alikuwa cursed" ila sisi tupo territorial na tuna demand alot of respect katika territory zetu...
"fair comment sina mbaya nawe Cariha"
kama ni kweli unateseka na jamaa hajali na ndiye anakupa mateso tena makusudi, achana naye mpenzi. ya nini kufia kwa limtu kisa ndoaNawasalimu sana ndugu wana JF.
Kwakweli lengo la ndoa ni kuishi pamoja kwa uaminifu na upendo na kulea familia pamoja.
Nafaham humu kuna watu wenye calibre tofauti na uwezo wa hali ya juu kupambanua mambo kutokana na experience...
Naomba experience yenu, je ilikua rahisi kuanza upya? Kwenda mahakamani kutoa talaka rasmi imeshindikana kabisa..ninachotaka ni kutengana kwa muda napo imeshindikana..hapo more than three children kwenye ndoa wapo involved, ten years na wengine below .simchukii kabisa mume lakini forgiving and forgetting what happened nashindwa kabisa..imani haipo Yarabi tena...nimekata tamaa kabisa.
Imefikia kipindi natafuta kazi mikoani ili nipone moyo...jamani wenzangu mliwezaje...sijashare na ndugu yangu hata mmoja....nikiwaeleza kila kitu watamchukia na they will never forgive him.
Nimeamua kumstiri mume wangu..sijaandika kila kitu ila baadhi yenu ni wanaume ila mngeumia sana na kutoa chozi...ndoa yetu ni ya serikali...naomba experience yenu especially kwa nyie mliokua na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya
una walakini 😂 mkuu wewe noooma, huna hata wivuHyo position ya uanaume kwanini huwa ni Africa tu hata Jambo likitokea Mimi kichwa, to me kosa ni kosa awe wa kike au wa kiume, pia Mimi siwezi kuwa na wivu na mtoto wa mwanamke mwenzangu tuliyekutana utu uzimani nitake kumu miliki sijui wivu honestly sina huo mda kabisa na vitu anavofamya mtu mzima kwa utashi wake au starehe zake siwezi question au ni feel jealous ni yeye, Kama vile Mimi nisivopenda kuingiliwa Uhuru wangu, maamuzi yangu nami sipendi ku control mtu. So hata mpenzi afanye I'm okay as long as he is happy na anafanya kitu roho unapenda why should I feel jealous kinachotesa watu wengi ni kufikiria mtu flani atanipa furaha bila yeye my life will be meaningless, so hapo lazima uumie, and expectations from people always hurt
Nashukuru ndugu kwa mchango wako...ila image ambayo nimepaint kwa ndugu zangu watashangaa sana..na wanamuamini na kumuheshimu mnooo.. Sasa nikiwaambia hayyo kesho na keshokutwa sijui watamtazama vp usoni...hajawahi kulalamika kwa ndugu zangu kuhusu mapungufu yangu na mimi ni mwanadamu siko perfect...
Sina uwalakini, nimesoma vitabu vingi vimenisaidia akili yangu na ninaishi kwa Raha na amani, I'm less even judgemental to other's vitu vinatutesa kwa vile jinsi tunafikiriauna walakini [emoji23] mkuu wewe noooma, huna hata wivu
Kwanini usiomgee jambo ukakaa kimya I do believe umalaya ni tabia ya mtu tu na Wala haisabanishwi na mapungufu ya mtu coz it's ur body and not mine eti simply mtu kasema Jambo flani hutaki unaanza kuzoa kila mwanamke bila kujali health status Mimi naona unayefanya hvo ndio unatatizo, fanya ngono vile una hamu na sio vile hujapenda Jambo flani huo ni utopolo wa kiwango Cha standard gauge aisee let's learn to be accountable for our actions, that why I always say ukifika sehemu umemchoka mtu Bora useme kuliko ku fake in front of society ur okay kumbe Kuna vitu vina ku kill inside kimya kimya, better solve ur problem
@Karucee nifundishe kingreza walau kidogo dadaangu, manake looh.....hii ngeli yako siyo ya TZ banaTrust is like a broken glass. Once broken it cannot be the same again. But that does not mean that forgiveness cannot play it's part. People change... If he is cooperative you can go to therapy don't give up just yet.
Khaaaa!!Najitolea mwenyewe.