Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Maisha huwa yanapinduka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nashare experience tu,kipanga uchwara mfukoni vumbi tupu.umeandika ushuzumeandika pumba, Vipanga ndio viongozi wako, vipanga ndio wako TRA, Vipanga ndio wapo TBS, Vipanga ndio wapo EWURA, Vipanga ndio wanaokutoza kodi, vipanga ndio wako ofisi ya Rais, vipanga ndio walimu vyuoni, vipanga ndio wanaokutibu ukiumwa. Futeni hizo pumba zenu.
Upo dunia ya wapi wewe dada!?kazi za siku hizi ni connection sio hayo makaratasi.umeandika pumba, Vipanga ndio viongozi wako, vipanga ndio wako TRA, Vipanga ndio wapo TBS, Vipanga ndio wapo EWURA, Vipanga ndio wanaokutoza kodi, vipanga ndio wako ofisi ya Rais, vipanga ndio walimu vyuoni, vipanga ndio wanaokutibu ukiumwa. Futeni hizo pumba zenu.
Hela huijui wewe, unaweza kumuajili kaka yako kabisa kiumri bado ukaonekana mkubwa kuliko yeye na akakupa heshima zote ukaka au hadi uhaba.Wewe ni mjinga hata kudanganya hujui!
IQ yako ndogo sana! Mtu mliyesoma naye darasa moja obviously atakuwa age mate wako!
Sasa ulivyom-address na huyo rafiki yako alivyom- address kijana wake wa kazi kwako obviously hakuna uhalisia wowote! Hizi ni story za vil.aza kutungia vil.aza wenzao.
kwani ww umeuliza kuhusu vipanga au connection.Upo dunia ya wapi wewe dada!?kazi za siku hizi ni connection sio hayo makaratasi.