umeandika pumba, Vipanga ndio viongozi wako, vipanga ndio wako TRA, Vipanga ndio wapo TBS, Vipanga ndio wapo EWURA, Vipanga ndio wanaokutoza kodi, vipanga ndio wako ofisi ya Rais, vipanga ndio walimu vyuoni, vipanga ndio wanaokutibu ukiumwa. Futeni hizo pumba zenu.