Ushuhuda: Mama mtoto wangu anaendelea vizuri baada ya kuwekewa mashine ya kuzalisha mvuke kwenye mfumo wa hewa ndani ya hospitali moja mjini Dar

Dr please read this and from now onwards please take all precautions. Life is so beautiful and precious.

SpO2 ni ngapi ?Asije develop hypoxia na mwanao akabaki yatima bure.
 
Kwa hiyo tuanzie hapa oksijeni yenye mvuke ki local ni kujivukiza basi atapona
 
Poleni sana mkuu...
Mungu wetu wenye huruma na upendo, atawafanyia wepesi katika jaribu hili na wakati mgumu mnao pitia.
Mimi na filia yangu tutawaweka kwenye maombi leo kabla hatujalala.
 
Mkuu Hali Kama ya mkeo imenikuta hapa nakohoa kikohozi kikavu juzi nilizidiwa wakanipa dozi ya malaria nikamaliza Jana nilitaka kudondoka bafuni.Nikawa napumua kwa shida kilichonisaidia Leo nimedamka kukimbia Kama km kadhaa kifua kmefunguka lakini hali si Hali.
 
Halafu Watanzania tunadanganywa hakuna COVID19 Nchini!
Kipindi hiki vifo vyao covid 19 vimekuwa vingi na wagonjwa wameongezeka. Kuna family friend moja nyumba nzima waliolazwa na sasa wanaendelea matibabu nyumbani kwao na hakina anayeruhusiwa kuingia
 
Wahi hospitali Mkuu ukapate uhakika.
 
ᥴꪮꪜ꠸ᦔ ᧒ၦ ꠸ᦓ ᥅ꫀꪖꪶ!
 
Mashine za mvuke hiyo ni Nebulizer na inatumika ku relieve mtu aliyebanwa na kifua hasa wenye Asthmatic Attack, jaribu kufatilia upya ni nini kinamsumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…