Ushuhuda: Mambo ya aibu niliyowahi kufanya maishani, malezi na maisha yangu hadi leo!

Ushuhuda: Mambo ya aibu niliyowahi kufanya maishani, malezi na maisha yangu hadi leo!

Mwanangu alivyokuwa na miaka 4 nilimchapa sana, baada ya hapo nikajuta na kuumia hadi kupelekea kulia sana. Nikamuomba msamaha na tangu siku hiyo sijamchapa tena. Bahati nzuri hakumbuki
Unamuomba mtoto msamaha!!!wewe siyo MZAZI huyo mtoto lazima awe na malezi ya hovyo.
 
Ulianza ufirauni ukiwa bado mdogo sana....Mimi miaka hiyo nilikuwa nakasirika nikiambiwa dem flani ni MCHUMBA wangu....eti la tatu unadhini kama ni kweli kwa sasa wewe ni Lejendari wa Mapendhi!!!!

Hiyo ya MZAZI kuwa mkali nimewahi kushuhudia mama flani akimchoma mikono mwanaye wa kuzaa kwa kosa la kuiba hela....miaka ya nyuma wakinamama walikuwa wanatisha kwa kutoa vipigo takatifu na adabu inakuwepo,tofauti na leo watoto hawana nidhamu kwa wazazi kabisa inasikitisha sana.
 
Mtoto wa kiume unaosha vyombo ????

Hiyo familia yenu haikuwa na Baba ???

Au kwenu Mama ndiyo alikuwa Baba na baba alikuwa mama???

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi imeandikwa mtoto wa kiume asioshe vyombo?
MZAZI anaye walea wanae kwa kuwafundisha kazi zote za nyumbani yuko sahihi....faida YAKE ni kubwa sana maishani.
Unatakiwa ujue kupika,kuosha vyombo,kufua,kupiga deki n.k unapoishi peke yako nani atakufanyia hizo kazi kama siyo wewe mwenyewe.
 
Mwanangu alivyokuwa na miaka 4 nilimchapa sana, baada ya hapo nikajuta na kuumia hadi kupelekea kulia sana. Nikamuomba msamaha na tangu siku hiyo sijamchapa tena. Bahati nzuri hakumbuki
We kweli mzungu[emoji16][emoji16] unamuomba mtoto msamaha, sijawahi kuona wazazi wananiomba msamaha labda nilivyo mkubwa hivi ndio mzazi akigundua alinikosea anaomba msamaha napo wa kishkaji tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni utamaduni za wamakonde tu na vikabila vingine vidogo vidogo vya huko pembeni pembeni mwa nchi.

Mtoto wa kiume anapaswa kufundishwa mambo Global siyo ya kuchafuka masizi jikoni ukaanza dagaa na kuchemsha mchicha tu sijui kuosha mabeseni na masefuria !!!!!!???

Mtoto wa kiume aliyefundishwa mambo ya kiume hawezi struggle simply anaishi peke yake tu .
Wapi imeandikwa mtoto wa kiume asioshe vyombo?
MZAZI anaye walea wanae kwa kuwafundisha kazi zote za nyumbani yuko sahihi....faida YAKE ni kubwa sana maishani.
Unatakiwa ujue kupika,kuosha vyombo,kufua,kupiga deki n.k unapoishi peke yako nani atakufanyia hizo kazi kama siyo wewe mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto wa kiume hafundishwi kupika na kuosha vyombo tu tuwe serious kidogo.

Mtoto wa kiume lazima afundishwe kuishi katika kila aina ya maisha na aendelee kuulinda uanaume wake.

Kuishi pekee yake hakumzuii kuhudumiwa na wanawake kwa hayo mambo madogo madogo ya kuoshewa vyombo sijui kutandikiwa kitanda tu.

Kama ni mmakonde huwezi kuelewa hoja yangu.
Nyie ndio watoto wenu wakitengana na familia huwa wanaishia kula magengeni na kuishi hotelini maana hata kuosha vyombo wanashindwa na kutandika kitanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ni utamaduni za wamakonde tu na vikabila vingine vidogo vidogo vya huko pembeni pembeni mwa nchi.

Mtoto wa kiume anapaswa kufundishwa mambo Global siyo ya kuchafuka masizi jikoni ukaanza dagaa na kuchemsha mchicha tu sijui kuosha mabeseni na masefuria !!!!!!???

Mtoto wa kiume aliyefundishwa mambo ya kiume hawezi struggle simply anaishi peke yake tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umekulia mazingira yako yaliyokunyima nafasi ya kujifunza kazi za nyumbani...sio mmakonde tu hata MTU yeyote anatakiwa kujua kazi za kuosha vyombo,kufua,kupika...mfano mama yako ametoka atarudi jioni na wewe umebaki na faza misosi IPO na kuna vyombo vichafu hamtakula wala kuosha vyombo mpaka mama arudi na hapo kwenu hamna mtoto wa kike!!! Kwa wewe itakuwa ngumu vipi kwa aliyezoea hizo kazi?
 
Sijui kwa nini mimi nimeamini hiki kisa, hii ni kesi ya kujeruhiwa nafsi(nafsi iliyoumizwa) ukali wa mama ( mimi naita ukatili) ulikuathiri ndipo ukaanza kufanya matendo ya ngono kama kisasi kwa jinsi ya kike kwenye subconcious mind ilirekodi hivyo, pia njia ya kujipunguzia maumivu kwa kuwaumiza wanyonge kwako, ni njia ya kujitibu kujionesha ubora/uimara/umwamba wako uliokuwa umepondwapondwa na ukatili wa mama.Natumaini baadae ulipona majeraha ya ndani.
 
Mama yangu pia nasikia enzi za ujana nae alikuwa ni balaa, dada zetu wawili wa kwanza wamekula sana fimbo. Hajawahi kumuumuza mtu ila hadi leo huwa anasikitika mwenyewe anasema wale wanangu wawili niliwatesa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukizeeka ndio wisdom inaongezeka.
 
Mi nimeelewa kwa huyo mamaa tu the rest nimeona mapicha picha tu mara sketi imejifungua yenyewe, mara wanafunzi wakaanza kukimbia kimbia hovyo darasani, kwani na wao waliogopwa kubakwa na kijana mdogo kuliko wote darasani???
 
Mtoto wa kiume hafundishwi kupika na kuosha vyombo tu tuwe serious kidogo.

Mtoto wa kiume lazima afundishwe kuishi katika kila aina ya maisha na aendelee kuulinda uanaume wake.

Kuishi pekee yake hakumzuii kuhudumiwa na wanawake kwa hayo mambo madogo madogo ya kuoshewa vyombo sijui kutandikiwa kitanda tu.

Kama ni mmakonde huwezi kuelewa hoja yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu amfunze mwanaye anachoona ni sahihi. Mimi namshukuru sana Mama yangu kwakuwa hakutaka kabis niseme kazi za dada au nani. Nilipoishi mbali naye kwa miaka 10 ndipo nilijua alimaanisha nn.
 
Kweli tu.

Mimi mwanangu namfundisha mambo Global siyo kuchafuka masizi jikoni na ukoko wa wali maharage akiosha vyombo.
Kila mtu amfunze mwanaye anachoona ni sahihi. Mimi namshukuru sana Mama yangu kwakuwa hakutaka kabis niseme kazi za dada au nani. Nilipoishi mbali naye kwa miaka 10 ndipo nilijua alimaanisha nn.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama yangu alikuwa mkali. lakini sio wa kupiga na kutoa jicho, na ukali wake ulitusaidia sana sasa hivi tunamshukuru

Sent using Jamii Forums mobile app


Weee! Yule mama alikua mkali?yaani anaangalia kwa huruma na upendo wa agape!
Mimi baba ni type ya magufuli😪😪🙌🙌🙌!nikijikuta naolewa bila kupendaa
 
Mwanangu alivyokuwa na miaka 4 nilimchapa sana, baada ya hapo nikajuta na kuumia hadi kupelekea kulia sana. Nikamuomba msamaha na tangu siku hiyo sijamchapa tena. Bahati nzuri hakumbuki


Sure! Hata mm naomba sana msamaha kwa wanangu inawajengea na wenyewe kujua kuomba misamaha na kujidiscpline! Lov u!
 
Back
Top Bottom