Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya


Duh
 
Kwahiyo tunywe mkojo ndiyo tuka Bet..?
 
Ni kidogo tu ,Kama kile kimfuniko Cha maji ya kunywa ,ukiogea chooni unatumia sabuni ,then geto ndo ukijimwagia mkojo ukiwa na maji , usitumie sabuni. Jimwagie ukaukie
 
Yes nguvu ipo kwenye mkojo wako wa kwanza baada ya kuamka hata Kama ulikojoa saa 11 alfajir ukarud ukalala ,ule utakaoamka ukawa nao ndo tiba ,hvo yaan
 
Hizi Mambo ni ngumu watu kuelewa ikiwa bado hujaamka kiroho ni ngumu kuelewa haya mambo ,hii ni njia Bora sana kupambana na negative energy ..... Baadhi ya njia nyingine ni Kama
1 .chumvi ya mawe
2.Mkaa
3.Soda ya Fanta orange
4.Magadi.
How to use hivo vitu
 
Utapeli unanukia hapa hakn short cuts kwenye maisha Wana wa Israel walitezeka miaka 430 jwangwani na Ni wanna wa mungu je wew Ni nani usitezeke
Utatapeliwa mkojo wako au ? au soda utakayonunua kutumia ? Anyway siuz mkojo wangu kwamba ndo unakutibu ,unajitibu wewe mwenyewe kwa kutumia mkojo wako ,usitegemee nitakuambia tuma hela nikutumie mkojo
 
Acha utapeli kijn hkn short kwenye maisha

Endelea kunywa mikojo ya asbh siku ukipatikana na kanza hyo milon 125 siyo kitu
Ukinywa mkojo sio kwamba ndo unapatia maisha ,mentality za vijana wengi wanawaza ukishatumia unapata utajiri ,utajiri unaamuliwa na nature na nurture ....mkojo ni tiba ya nguvu hasi ,haihusiani lolote na kupata mzunguko mfupi wa maisha.
 
Ukinywa mkojo sio kwamba ndo unapatia maisha ,mentality za vijana wengi wanawaza ukishatumia unapata utajiri ,utajiri unaamuliwa na nature na nurture ....mkojo ni tiba ya nguvu hasi ,haihusiani lolote na kupata mzunguko mfupi wa maisha.
Vipi hayo masual mengin chumv na mkaa unitag asee
 
[emoji2][emoji2]Tabibu Loisi amewaharibu watu aisee
 
Kwa hiyo hayo makojo ni Kila siku unakujoa na kunywa au unayahifadhi hayo hayo ya siku moja mana yananuka ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…