Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

HAPO KWENYE BETTING NAKATAA

HAPANA ! HAPANA ! HAPANA

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukitaka ushahid nakupa unawapigia hata kampuni yenyewe Ila nilishinda nikiwa kwenye dozi hyo ,Ila siamin kwamba ukitumia mkojo ndo utashinda betting ni bahati ya mtu na mtu. Ukitaka njoo nikupe majina yangu kamili yaliyopo kwenye kitambulisho changu na namba ya simu yangu ,uhakik majina hayo ,kwa kutumia kitambulisho na namba za simu ,na picha yangu halisi ,halafu ingia Google usearch hilo jina ,lazima litaleta .......Mshindi wa perfect 12 ,2016.
 
All is love ,all is emotions,all is abundance ,kila kitu hapa duniani ni mapenz haijalish ya namna gani ,kila kitu ni wingi haijalish wa namna gani , kila kitu ni hisia , haijalish ni za Nini.Yote kwa yote ,law of attraction ndo sheria yenye nguvu .Kila kitu kinaanza na wewe ,ukijipenda utaish vp ,utaongea vipi na unatreat vp ,viumbe wengine ,ukijipenda utaamua maisha ya amani zaid na sio ushindani ,utaamua watu gani waingie maishani mwako,
 
Kuna mtu kanywa mkojo asubuhi alafu kaenda kubet haha haha
Kuwaelimisha watu kazi ,ni sawa mtu akuambie kuwa alianza kwa biashara ya mgahawa na saiv anamiliki hotel kubwa sana ,na wewe ufikirie kwamba hyo ndo biashara uanze ,unaweza ww kupotea kabisa ......kila mtu hapa duniani ana njia zake za kupita ...... Ukishaamka kiroho ( spirtual awakening ) utajua kusudio lako ni lipi na inabidi ulitimize , masuala ya pesa kwenye ishu za kuamka kiroho ni minor sana ,hapa tunaangalia kitu ambacho kitakupa amani ya moyo kwa kuondoka umekitimiza hapa duniani.
 
Mkuu unaweza kufafanua matumizi ya bangi in a positive way
 
Mwingine mwenye ushuhuda wa hii hajapatikana
 
Sijampata huyo jamaa labda kwa jina lingine ,nilikuwepo enz za Mwaipungu ,Mkalawa ,Capt Baraka ,Mbeshi
Mimi nimepita pale 2015 OP Kikwete yawezekana uliingia kabla hajaja, au baada ya kuondoka ungemkuta lazima ungemfahamu huyoo alikuwa ni mng'ao
 
Nguvu ya majivu ndo naijua kwa sana ,ni dawa ya kuua uchawi ,majivu yanatumika sana ,ukikuta kitu ukielew eneo lako la kazi au nyumbani dawa ya kwanza kabisa huwa ni kumwaga majivu au chumvi ya mawe ,ndo dawa kabisa .na majivu yanayopendekezwa sana katika kupambana na kuua Imani za kishirikina zilizopo katika eneo lako la nyumbani au kazini ni yale majivu yaliyolala jalalani .
 
Hizi Mambo ni ngumu watu kuelewa ikiwa bado hujaamka kiroho ni ngumu kuelewa haya mambo ,hii ni njia Bora sana kupambana na negative energy ..... Baadhi ya njia nyingine ni Kama
1 .chumvi ya mawe
2.Mkaa
3.Soda ya Fanta orange
4.Magadi.
We ni maalim hamadi wa Facebook
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…