Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Kuingia wanaingia ila wasipojua kuwa unatumia chumvi inawazuri ila wakijua unatumia Chumvi basi wanajua jinsi ya kuifinya isifanye kazi..kuhusu chumvi ya mawe ni kweli kabisa,,,ukiitia kwenye maji ya kuoga na kuyaoga kwa siku 7 inaondoa mikosi,ndo manake unaona waganga wanaogesha watu baharini{ kwa ajili ya chumvi],pia kabla kulala tupia kwenye kona za nyumba iyo chumvi wachawi hawaingii!!
notedKuingia wanaingia ila wasipojua kuwa unatumia chumvi inawazuri ila wakijua unatumia Chumvi basi wanajua jinsi ya kuifinya isifanye kazi..
Asante sana mkuu kwa kuja na ushahidi ,panapo majaliwa Leo nitatoa somo la full moon ,ni jinsi gani ya kumanifest katika full moon ya mwezi huu ,na vitu gani uviachilie katika full moon,full moon ni kipind ambacho mwanadamu huwa anachaji energy yake ,hata majini yenyewe huchaji energy yake katika full moon ,full moon itakusaidia kuachilia vitu ambavyo huvitak tena katika maisha yako ,itakusaidia uweze kumanifest ni vitu gani unataka uvipate katika maisha yako na ni kwa kipind gani ufanikishe hvo vitu ,full [emoji281] moon itakufanya urudishe energy zako zote nzuri na utoe energy zote mbaya.
Tunasubiri MkuuAsante sana mkuu kwa kuja na ushahidi ,panapo majaliwa Leo nitatoa somo la full moon ,ni jinsi gani ya kumanifest katika full moon ya mwezi huu ,na vitu gani uviachilie katika full moon,full moon ni kipind ambacho mwanadamu huwa anachaji energy yake ,hata majini yenyewe huchaji energy yake katika full moon ,full moon itakusaidia kuachilia vitu ambavyo huvitak tena katika maisha yako ,itakusaidia uweze kumanifest ni vitu gani unataka uvipate katika maisha yako na ni kwa kipind gani ufanikishe hvo vitu ,full [emoji281] moon itakufanya urudishe energy zako zote nzuri na utoe energy zote mbaya.
Mkuu naomba ufafanuzi kuhusu soda ya fantastic orangeHizi Mambo ni ngumu watu kuelewa ikiwa bado hujaamka kiroho ni ngumu kuelewa haya mambo ,hii ni njia Bora sana kupambana na negative energy ..... Baadhi ya njia nyingine ni Kama
1 .chumvi ya mawe
2.Mkaa
3.Soda ya Fanta orange
4.Magadi.
Aisee 🤔Naongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .
Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.
Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.
Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.
Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.
Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.
Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni
Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .
Unaponda kuwa ni matango pori hapo hapo unahitaji ufafanuzi,acha ufesibuku.Mkuu naomba ufafanuzi kuhusu soda ya fantastic orange
Acha utotoMatango pori
Asante mkuu. NimeingiaMkurya mweupe njoo utupe somo full moon inakaribia mzee... village in
Baadae unakuja pm ,nikueleweshe sioMatango pori
Mkuu shusha vituBaadae unakuja pm ,nikueleweshe sio
Namalizia majukumu ya kazi naandaaMkuu shusha vitu