Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

kuhusu chumvi ya mawe ni kweli kabisa,,,ukiitia kwenye maji ya kuoga na kuyaoga kwa siku 7 inaondoa mikosi,ndo manake unaona waganga wanaogesha watu baharini{ kwa ajili ya chumvi],pia kabla kulala tupia kwenye kona za nyumba iyo chumvi wachawi hawaingii!!
Kuingia wanaingia ila wasipojua kuwa unatumia chumvi inawazuri ila wakijua unatumia Chumvi basi wanajua jinsi ya kuifinya isifanye kazi..
 
Screenshot_20231026-151539.png
 
Asante sana mkuu kwa kuja na ushahidi ,panapo majaliwa Leo nitatoa somo la full moon ,ni jinsi gani ya kumanifest katika full moon ya mwezi huu ,na vitu gani uviachilie katika full moon,full moon ni kipind ambacho mwanadamu huwa anachaji energy yake ,hata majini yenyewe huchaji energy yake katika full moon ,full moon itakusaidia kuachilia vitu ambavyo huvitak tena katika maisha yako ,itakusaidia uweze kumanifest ni vitu gani unataka uvipate katika maisha yako na ni kwa kipind gani ufanikishe hvo vitu ,full [emoji281] moon itakufanya urudishe energy zako zote nzuri na utoe energy zote mbaya.
 
Asante sana mkuu kwa kuja na ushahidi ,panapo majaliwa Leo nitatoa somo la full moon ,ni jinsi gani ya kumanifest katika full moon ya mwezi huu ,na vitu gani uviachilie katika full moon,full moon ni kipind ambacho mwanadamu huwa anachaji energy yake ,hata majini yenyewe huchaji energy yake katika full moon ,full moon itakusaidia kuachilia vitu ambavyo huvitak tena katika maisha yako ,itakusaidia uweze kumanifest ni vitu gani unataka uvipate katika maisha yako na ni kwa kipind gani ufanikishe hvo vitu ,full [emoji281] moon itakufanya urudishe energy zako zote nzuri na utoe energy zote mbaya.
Tunasubiri Mkuu
 
Hizi Mambo ni ngumu watu kuelewa ikiwa bado hujaamka kiroho ni ngumu kuelewa haya mambo ,hii ni njia Bora sana kupambana na negative energy ..... Baadhi ya njia nyingine ni Kama
1 .chumvi ya mawe
2.Mkaa
3.Soda ya Fanta orange
4.Magadi.
Mkuu naomba ufafanuzi kuhusu soda ya fantastic orange
 
Naongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .

Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.

Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.

Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.

Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.

Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.

Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni

Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .
Aisee 🤔
 
Full [emoji281] moon ni tukio ambalo Japo kwa wale watu wenye imani kali za dini ,wanaweza kuita ushirikina ,lakini sio kweli ni maarifa tu ya dunia ,ndo maana hata siku ya full moon kwa baadhi ya makanisa huwa wanakesha wanaomba , manake hyo siku kile unachokuwa unakiomba ndani ya siku husika ya full moon kinakuwa kinanguvu sana na kinapokelewa ukiomba kwa Imani........Full moon ya mwezi huu itakuwa ni tarehe 28 ,itajulikana kama hunters [emoji281] moonView attachment 2794004
FB_IMG_1698343834316.jpg
 
Kitu Cha kwanza katika full moon hakikisha sana ,ndani ya saa 24 za full moon hugombani na kuleta mvurugano na mtu yeyote,kwa sababu ya kutoathiri nguvu ya full moon ,ili uendelee kubaki na positive energy tu siku hyo .maana full moon huwa inaleta hasira ,mivurugano ,utahisi uchovu na kuchoka ,kuhisi usingizi hv ,kwahyo hakikisha Jambo la kwanza ili tukienda kufanya Mambo muhimu ndani ya siku hyo ,udhibiti hasira zako ,husivurugane na mtu yoyote ,Japo nature ya full moon itakuwa inakupeleka huko kwenye hasira.
 
Back
Top Bottom