Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Tuuchukue ushauri jamani,maadamu hajaomba hela. Swali langu ni kuwa dosage inaanza full moon au after every full moon.
Hii ni muda wowote tu ukiamka ,full moon huwa inahusiana na kuachilia na kuaffirm , nitaelezea siku nyingine . Pia mkuu umenisaidia sana mimi sio mganga kwamba naomba hela nitibu ,hamna nimeshare elimu niliyopata ikanisaidia kabisa na nikaiamini ,kwahyo uamuzi ni wadau kuzingatia au kuacha
 
Mura gose no obhoheene?
 
nipe ufafanuzi hapo uliposema "HAUJIKAUSHI KWA MANUIZI" manaake nini
 

Ukileta habari za full moon nitag
 
Yupo mfalme aliyepata upufu kwa njia ya ajabu kuhani wake alimshauri atafute msichana/mwanamke asiyechepuka hapo balaa lilianza kwa mke wake na aliendelea kuogelea na kunawa mikojo ya kijiji kizima...imani inapony ila syo kila jambo ufanye.
 
Wewe ni muhanga wa kitu inaitwa
New Age spirituality psychosis.
Vitu kama Yoga , Chakra , Meditation, channelling, Manifestation, Shivambu(mkojo), Frequency
Hizi zote ni mumbo jambo utasikia sana ,hakini haviingi akilini.

Hizi dini za kisasa au occult za watu ambao SI wapagani Bali huitwa Agnostic 'hawaamini Mungu' Bali wanaamini Kuna Higher power/mother nature.
 
Fact
 
Siku nyingine ukishauriwa kula kimba lako ili kutatua shida zako zinazo kusumbua, wewe kula tu. Maana hakuna namna nyingine.
 
Alikuambia nn kuhusu mavi ya usiku mbona hutuambii unavyoyala au unaona aibu asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…