Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Hili suala la kunywa mkojo nimelisikia siku nyingi sana japo siyo kwa imani ya kuondoa nuksi. Nilivyoelezwa mimi ni kuwa mkojo wa asubuhi unatibu magonjwa. Hii imani ipo sehemu nyingi duniani japo wanasayansi wanasema hakuna evidence ya ku-support. Mshana Jr una lolote la kuchangia hapa?
Asante sana
 
Naongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .

Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.

Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.

Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.

Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.

Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.

Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni

Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .
 
Naongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .

Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.

Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.

Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.

Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.

Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.

Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni

Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .
Pia usitumie sabuni ,jimwagie tu na usipanguse maji yakaukie ,fanya halafu urudi na ushuhuda hapa na tabasamu la ushind
 
Hhii scenario ya mkojo kuna wakati ilitrend sana mitandaoni hasa kwa wanawake. Mara ukitaka bwana akupe hiki kunywa kojo, mara hivi mara vile. Sijui viliishiaga wapi
 
Hii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ, Msange JKT. Basi, yule ndugu yangu alinambia tiba ya haya mambo yote ni mkojo wa asubuhi ukifanya kwa imani.

Jamaa yangu alinielezea kwamba ukiamka asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote ule mkojo wa kwanza wa asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote, hakikisha unauweka kwenye chombo unanuia kuondoa mabaya, yaani vifungo, laana, na huku unanuia ukuletee mazuri, then unakunywa kidogo, mwingine unaobaki unaweka kwenye maji huku ukinuia unaenda kuoga, na ukimaliza haujikaushi kwa manuizi, kwa siku saba mfululizo.

Basi, zilikuwa hazijafika hizo siku saba. Mambo yalianza kufunguka, sehemu ambazo nilikuwa nimeomba kazi bila mafanikio nikaanza kuitwa hadi za Serikali ni, mpaka nikawa na uchaguzi wapi niende. Kunywa mkojo ule kulifanya niharishe na kutapika uchafu mwingi sana.

Katika kipindi hicho cha dozi ya mkojo nilishangaa naanza kukubalika sana kwa watu katika mtaa wetu, kitu chochote kilichotaka kufanyika ilikuwa lazima nihusishwe, yaani ile nafsi ya kutambulika kwa watu ikawa kubwa. Kingine katika kipindi natumia dozi ya mkojo, wale watu walionifanyia ubaya nilikuwa nawaota ndotoni napambana nao, nawashinda mpaka muda mwingine nilikuwa nikisema sasa hamwezi kuniroga tena, au nilikuwa naota wananifukuza mbio na kuwaacha huku nikiwatambia na kauli ya hamniwezi tena hata mfanyeje.

Kitu kingine katika siku ya tatu ya dozi ya mkojo nilikuwa addicted sana na betting, basi niliweza kuwin Perfect 12 ya Mbet milioni 125, ambayo ilifanya nifungue kampuni ya kukopesha na kutengeneza ajira kwa jamaa zangu, pamoja na uwakala wa huduma za kibenki na simu.

Kiukweli, tokea kipindi kile mpaka sasa, huwa natumia dozi ya mkojo nikiona mambo hayako sawa, na huwa inalipa. Pia, huwa najitibu wakati wa full moon, nitaelezea full moon huwa inanisaidia vipi kujitibu siku nyingine, kwa hiyo ni marufuku kwenda kwa waganga kwangu mimi. Pia, huwa nafanya meditation, na kamwe huwa siachi kufanya affirmation, yaani kushukuru kwa kile nilicho nacho na ambacho sina. Kuna nguvu kubwa katika kushukuru kwa ulivyo navyo na ambavyo hauna.
Unapotosha watu.
 
Nipo dimension ya tatu katika ulimwengu huu ,uzuri sio lazima kuamini ,ndo maana wapo wanaoamini kwa Mungu na wengine kwa waganga ,na wengine katika energy ya asili ( nature)
Buddha alisema ukiumwa na nyoka,chukua maji,weka udongo,changanya kinyesi kidogo,koroga,kunywa.
Haya mambo ya zamani. Dawa hazikuwepo,people were using these novel methods to treat themselves. Haya mambo hayana nafasi in modern life.
 
Hapa ni chumvi tu

Mkojo una chumvi.

Chumvi asilia sio chumvi mfu.

Mimi binafsi natumia chumvi kuogea

Niseme ukweli kwa hii miezi 3 tangu nianze milango ya fedha imefunguka sana kwangu. Na baadhi mambo yangu yamekuwa safi.

Chumvi iliwekwa na MUNGU. na Moja ya ingredient za kujitakasa dhidi ya nuksi, mabalaa, uchawi, mikosi na negative energy za aina mbalimbali.

Naitumis Kila siku asubuhi na jioni kuogea na lazima uinue.

Hili soma nilijifunza kwa mshanajr kwenye mada zake za CHUMVI.

hizi chumvi sio zile za malindi na Neel salt [emoji1]

Nanunua zlle zilikoz kuwa traped from OCEAN WATER. ukienda some beaches utakuta wanauza sana.

Maji ya baraka tu kanisani huwa lazima waweke chumvi na kuombewa na padri.
 
Hapa ni chumvi tu

Mkojo una chumvi.

Chumvi asilia sio chumvi mfu.

Mimi binafsi natumia chumvi kuogea

Niseme ukweli kwa hii miezi 3 tangu nianze milango ya fedha imefunguka sana kwangu. Na baadhi mambo yangu yamekuwa safi.

Chumvi iliwekwa na MUNGU. na Moja ya ingredient za kujitakasa dhidi ya nuksi, mabalaa, uchawi, mikosi na negative energy za aina mbalimbali.

Naitumis Kila siku asubuhi na jioni kuogea na lazima uinue.

Hili soma nilijifunza kwa mshanajr kwenye mada zake za CHUMVI.

hizi chumvi sio zile za malindi na Neel salt [emoji1]

Nanunua zlle zilikoz kuwa traped from OCEAN WATER. ukienda some beaches utakuta wanauza sana.

Maji ya baraka tu kanisani huwa lazima waweke chumvi na kuombewa na padri.
Ngoja tutaleta na nguvu ya Fanta orange ile ya chupa sio ile take away nguvu yake katika kuondoa negative energy ,na pia inatumika kuwajua watu wote waliowahi kukufanyia ubaya ukiitumia utawaona ndotoni wakifanya hzo Mambo .
 
Back
Top Bottom