Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

To each their own....

(Mimi ni mfuasi wa Logic) na logically ukiamini kitu unapata confidence na confidence ni hatua moja ya kufanikiwa... ila utashangaa mtu anamshukuru Mungu kwa kumsaidia kwenda kuiba (kwamba aliomba akafanikiwa) Sasa unashangaa huyu Mungu mpenda Mema kamsaidiaje huyu ?

In short ukifuata kanuni za kufanya kitu utafanikiwa tu (hata kama ni kuchinja au kuwanyonya wenzako) and that has nothing to do with any divinity
 
To each their own....

(Mimi ni mfuasi wa Logic) na logically ukiamini kitu unapata confidence na confidence ni hatua moja ya kufanikiwa... ila utashangaa mtu anamshukuru Mungu kwa kumsaidia kwenda kuiba (kwamba aliomba akafanikiwa) Sasa unashangaa huyu Mungu mpenda Mema kamsaidiaje huyu ?

In short ukifuata kanuni za kufanya kitu utafanikiwa tu (hata kama ni kuchinja au kuwanyonya wenzako) and that has nothing to do with any divinity
Ni kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njia nyingine ya kuyaita mazuri yaje kwako, ni kuwa na furaha iliyojaa utulivu wa nafsi ,kujisikia raha ndani yako. Unajihisi umebeba hisia gani muda huu? As within so without .....All is love and all is abundance.
Nitaleta uzi mwingine utahusiana na nature versus nurture .......nature fulani inaweza ikasababisha uone kama umerogwa hapa duniani ,hila ni nature ,au karma unalipa uliyoyafanya nyuma before reincarnation au unalipa karma za babu zako na jinsi ya kujiponya kutoka huku
Kwenye Nurture ....tutaangalia mazingira yanavyoweza kukuathiri ukawa kama umefungwa ni kutegemeana unaishi na watu wa energy gani ,iwe mbaya au nzuri ,ukiwa na miunganisho mibaya ( energy vampires) utateseka sana ,sasa Kuna njia ya kujua Kama watu ulionao kwenye mizunguko yako ni watu sahihi au inabidi uwaachilie kwa sasa ,kuanzia marafiki hata ndugu hata wapenzi wako unaosex nao ,wamebeba nishati gani? So kuwa tayar kwa somo lingine la kuachia energy mbaya na kukaribisha energy nzuri ,iwe unalipia karma ,laana au energy uliyoitoa kwenye mazingira
 
Njia nyingine ya kuyaita mazuri yaje kwako, ni kuwa na furaha iliyojaa utulivu wa nafsi ,kujisikia raha ndani yako. Unajihisi umebeba hisia gani muda huu? As within so without .....All is love and all is abundance.
Nitaleta uzi mwingine utahusiana na nature versus nurture .......nature fulani inaweza ikasababisha uone kama umerogwa hapa duniani ,hila ni nature ,au karma unalipa uliyoyafanya nyuma before reincarnation au unalipa karma za babu zako na jinsi ya kujiponya kutoka huku
Kwenye Nurture ....tutaangalia mazingira yanavyoweza kukuathiri ukawa kama umefungwa ni kutegemeana unaishi na watu wa energy gani ,iwe mbaya au nzuri ,ukiwa na miunganisho mibaya ( energy vampires) utateseka sana ,sasa Kuna njia ya kujua Kama watu ulionao kwenye mizunguko yako ni watu sahihi au inabidi uwaachilie kwa sasa ,kuanzia marafiki hata ndugu hata wapenzi wako unaosex nao ,wamebeba nishati gani? So kuwa tayar kwa somo lingine la kuachia energy mbaya na kukaribisha energy nzuri ,iwe unalipia karma ,laana au energy uliyoitoa kwenye mazingira
Nakuelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanta orange ?

Hizi Mambo ni ngumu watu kuelewa ikiwa bado hujaamka kiroho ni ngumu kuelewa haya mambo ,hii ni njia Bora sana kupambana na negative energy ..... Baadhi ya njia nyingine ni Kama
1 .chumvi ya mawe
2.Mkaa
3.Soda ya Fanta orange
4.Magadi.
 
Njia nyingine ya kuyaita mazuri yaje kwako, ni kuwa na furaha iliyojaa utulivu wa nafsi ,kujisikia raha ndani yako. Unajihisi umebeba hisia gani muda huu? As within so without .....All is love and all is abundance.
Nitaleta uzi mwingine utahusiana na nature versus nurture .......nature fulani inaweza ikasababisha uone kama umerogwa hapa duniani ,hila ni nature ,au karma unalipa uliyoyafanya nyuma before reincarnation au unalipa karma za babu zako na jinsi ya kujiponya kutoka huku
Kwenye Nurture ....tutaangalia mazingira yanavyoweza kukuathiri ukawa kama umefungwa ni kutegemeana unaishi na watu wa energy gani ,iwe mbaya au nzuri ,ukiwa na miunganisho mibaya ( energy vampires) utateseka sana ,sasa Kuna njia ya kujua Kama watu ulionao kwenye mizunguko yako ni watu sahihi au inabidi uwaachilie kwa sasa ,kuanzia marafiki hata ndugu hata wapenzi wako unaosex nao ,wamebeba nishati gani? So kuwa tayar kwa somo lingine la kuachia energy mbaya na kukaribisha energy nzuri ,iwe unalipia karma ,laana au energy uliyoitoa kwenye mazingira
waiting
 
😂😂naijua hiyo......kwa jinsi wabongo tulivyo wabinafsi na uhakika kama ingekuwa inakufanya ushinde betting kweli usingesema
 
[emoji23][emoji23]naijua hiyo......kwa jinsi wabongo tulivyo wabinafsi na uhakika kama ingekuwa inakufanya ushinde betting kweli usingesema
Haikufanyi ushinde betting ,sema nyota yako inabaki normal ,kwahyo kushinda na kutoshinda ni mtu na mtu ,inategemea umekuja kutimiza kusudio gani hapa duniani ,kwahyo mm kunywa na kushinda betting ni Kama Mimi ,wewe waweza kunywa ukaendelea kutimiza makusudio yako mengine ,ambayo kipindi unaletwa Duniani uliamriwa uje uyatimize before reincarnation
 
[emoji23][emoji23]naijua hiyo......kwa jinsi wabongo tulivyo wabinafsi na uhakika kama ingekuwa inakufanya ushinde betting kweli usingesema
Kwaiyo waweza kunywa ukafunguliwa kwa njia nyingine sio kushinda betting ,inategemea na kusudio lako uliloletwa duniani kuja kutimiza ,waweza kunywa ukawa boss sehemu ,biashara yako ikawin sio lazima betting ,utakunywa mkojo ubeti kila siku uliwe ,kumbe njia yako sio hyo ,acha nature iamue ,utafunuliwa kwa njia nyingine tofauti na niliyopitia mimi.kila mtu ana njia yake ,hope umeelewa.
 
Haikufanyi ushinde betting ,sema nyota yako inabaki normal ,kwahyo kushinda na kutoshinda ni mtu na mtu ,inategemea umekuja kutimiza kusudio gani hapa duniani ,kwahyo mm kunywa na kushinda betting ni Kama Mimi ,wewe waweza kunywa ukaendelea kutimiza makusudio yako mengine ,ambayo kipindi unaletwa Duniani uliamriwa uje uyatimize before reincarnation
sawa mkuu....acha watu wanywe mikojo🙌
 
Kwaiyo waweza kunywa ukafunguliwa kwa njia nyingine sio kushinda betting ,inategemea na kusudio lako uliloletwa duniani kuja kutimiza ,waweza kunywa ukawa boss sehemu ,biashara yako ikawin sio lazima betting ,utakunywa mkojo ubeti kila siku uliwe ,kumbe njia yako sio hyo ,acha nature iamue ,utafunuliwa kwa njia nyingine tofauti na niliyopitia mimi.kila mtu ana njia yake ,hope umeelewa.
Daah hongera sana mkuu....kwa kutambua kusudio lako hapa duniani ni kushinda betting👍
 
Naongezea kidogo ,hakikisha ni mkojo wako wa kwanza wa asubuh kabla ya kuongea na mtu yoyote kisha kunywa kidogo ,kwa manuizi pia unaenda kuogea bafuni ,sio chooni ni bafuni,usitumie sponji .

Pia Kama mtu amekunywa sumu ,mnyweshe mkojo Kama huduma ya kwanza uwe wake au wako.

Unaweza kuosha uso wako pia asubuh kwa mkojo wa asubuhi kuinua aura yako na kuvutia baraka zako.

Unaweza kusafisha mikono yako kwa mkojo pindi unapotaka kupokea pesa kwa mtu usiyemuamini.

Unaweza kuloweka kufuli ikiwa na funguo kwenye mkojo wako na ukaenda ukaitupa ikiwa imefungwa kwenye barabara yenye mkusanyiko mwingi ,mtu akiifungua tu kufuli hyo ,maisha yako yanabadilika na kuwa mazuri.

Unaweza kupigia deki ,mkojo wako ,nyumbani ,itasaidia kuleta amani katika nyumba ,au kati yako na mpenz wako.

Unaweza kuweka mkojo ukiwa unaosha watoto wako ,kwa yoyote atakayejaribu kuwagusa atakipata Cha mtema kuni

Hii ndo nguvu ya Mkojo niliweza fundishwa hvo na Mimi nimeona nishare ,na niliwahi fanya ikalipa sio maigizo .Hadi saiv huniambii kitu kuhusu mkojo wa asubuh ni dozi .

Wengine choo na bafu ndo hiyo hiyo inakuaje?
 
Hii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ, Msange JKT. Basi, yule ndugu yangu alinambia tiba ya haya mambo yote ni mkojo wa asubuhi ukifanya kwa imani.

Jamaa yangu alinielezea kwamba ukiamka asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote ule mkojo wa kwanza wa asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote, hakikisha unauweka kwenye chombo unanuia kuondoa mabaya, yaani vifungo, laana, na huku unanuia ukuletee mazuri, then unakunywa kidogo, mwingine unaobaki unaweka kwenye maji huku ukinuia unaenda kuoga, na ukimaliza haujikaushi kwa manuizi, kwa siku saba mfululizo.

Basi, zilikuwa hazijafika hizo siku saba. Mambo yalianza kufunguka, sehemu ambazo nilikuwa nimeomba kazi bila mafanikio nikaanza kuitwa hadi za Serikali ni, mpaka nikawa na uchaguzi wapi niende. Kunywa mkojo ule kulifanya niharishe na kutapika uchafu mwingi sana.

Katika kipindi hicho cha dozi ya mkojo nilishangaa naanza kukubalika sana kwa watu katika mtaa wetu, kitu chochote kilichotaka kufanyika ilikuwa lazima nihusishwe, yaani ile nafsi ya kutambulika kwa watu ikawa kubwa. Kingine katika kipindi natumia dozi ya mkojo, wale watu walionifanyia ubaya nilikuwa nawaota ndotoni napambana nao, nawashinda mpaka muda mwingine nilikuwa nikisema sasa hamwezi kuniroga tena, au nilikuwa naota wananifukuza mbio na kuwaacha huku nikiwatambia na kauli ya hamniwezi tena hata mfanyeje.

Kitu kingine katika siku ya tatu ya dozi ya mkojo nilikuwa addicted sana na betting, basi niliweza kuwin Perfect 12 ya Mbet milioni 125, ambayo ilifanya nifungue kampuni ya kukopesha na kutengeneza ajira kwa jamaa zangu, pamoja na uwakala wa huduma za kibenki na simu.

Kiukweli, tokea kipindi kile mpaka sasa, huwa natumia dozi ya mkojo nikiona mambo hayako sawa, na huwa inalipa. Pia, huwa najitibu wakati wa full moon, nitaelezea full moon huwa inanisaidia vipi kujitibu siku nyingine, kwa hiyo ni marufuku kwenda kwa waganga kwangu mimi. Pia, huwa nafanya meditation, na kamwe huwa siachi kufanya affirmation, yaani kushukuru kwa kile nilicho nacho na ambacho sina. Kuna nguvu kubwa katika kushukuru kwa ulivyo navyo na ambavyo hauna.
mkuu mbona hili swali hujibu naona member zaidi ya mmoja wanauliza ila hutoi jibu na inatugusa wengi ..swali "vipi sisi tunaotumia choo na bafu vipo sehem moja , yani sink la choo na pembefu ile shower yakuogea ndio hatuna bahati tena" nawasilisha ..
 
mkuu mbona hili swali hujibu naona member zaidi ya mmoja wanauliza ila hutoi jibu na inatugusa wengi ..swali "vipi sisi tunaotumia choo na bafu vipo sehem moja , yani sink la choo na pembefu ile shower yakuogea ndio hatuna bahati tena" nawasilisha ..
Tafuta chemba nyingine mkuu! hata nje ogea kikubwa isiwe na choo.

Wataalamu wa mambo wanasema choo na mambo hayo huwa haviendani kabisa.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
mkuu mbona hili swali hujibu naona member zaidi ya mmoja wanauliza ila hutoi jibu na inatugusa wengi ..swali "vipi sisi tunaotumia choo na bafu vipo sehem moja , yani sink la choo na pembefu ile shower yakuogea ndio hatuna bahati tena" nawasilisha ..
Kikishakuwepo choo inakuwa haiwezekani tena .....
 
Back
Top Bottom