Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Tuuchukue ushauri jamani,maadamu hajaomba hela. Swali langu ni kuwa dosage inaanza full moon au after every full moon.
Hii ni muda wowote tu ukiamka ,full moon huwa inahusiana na kuachilia na kuaffirm , nitaelezea siku nyingine . Pia mkuu umenisaidia sana mimi sio mganga kwamba naomba hela nitibu ,hamna nimeshare elimu niliyopata ikanisaidia kabisa na nikaiamini ,kwahyo uamuzi ni wadau kuzingatia au kuacha
 
Hii ni muda wowote tu ukiamka ,full moon huwa inahusiana na kuachilia na kuaffirm , nitaelezea siku nyingine . Pia mkuu umenisaidia sana mimi sio mganga kwamba naomba hela nitibu ,hamna nimeshare elimu niliyopata ikanisaidia kabisa na nikaiamini ,kwahyo uamuzi ni wadau kuzingatia au kuacha
Mura gose no obhoheene?
 
Hii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ, Msange JKT. Basi, yule ndugu yangu alinambia tiba ya haya mambo yote ni mkojo wa asubuhi ukifanya kwa imani.

Jamaa yangu alinielezea kwamba ukiamka asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote ule mkojo wa kwanza wa asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote, hakikisha unauweka kwenye chombo unanuia kuondoa mabaya, yaani vifungo, laana, na huku unanuia ukuletee mazuri, then unakunywa kidogo, mwingine unaobaki unaweka kwenye maji huku ukinuia unaenda kuoga, na ukimaliza haujikaushi kwa manuizi, kwa siku saba mfululizo.

Basi, zilikuwa hazijafika hizo siku saba. Mambo yalianza kufunguka, sehemu ambazo nilikuwa nimeomba kazi bila mafanikio nikaanza kuitwa hadi za Serikali ni, mpaka nikawa na uchaguzi wapi niende. Kunywa mkojo ule kulifanya niharishe na kutapika uchafu mwingi sana.

Katika kipindi hicho cha dozi ya mkojo nilishangaa naanza kukubalika sana kwa watu katika mtaa wetu, kitu chochote kilichotaka kufanyika ilikuwa lazima nihusishwe, yaani ile nafsi ya kutambulika kwa watu ikawa kubwa. Kingine katika kipindi natumia dozi ya mkojo, wale watu walionifanyia ubaya nilikuwa nawaota ndotoni napambana nao, nawashinda mpaka muda mwingine nilikuwa nikisema sasa hamwezi kuniroga tena, au nilikuwa naota wananifukuza mbio na kuwaacha huku nikiwatambia na kauli ya hamniwezi tena hata mfanyeje.

Kitu kingine katika siku ya tatu ya dozi ya mkojo nilikuwa addicted sana na betting, basi niliweza kuwin Perfect 12 ya Mbet milioni 125, ambayo ilifanya nifungue kampuni ya kukopesha na kutengeneza ajira kwa jamaa zangu, pamoja na uwakala wa huduma za kibenki na simu.

Kiukweli, tokea kipindi kile mpaka sasa, huwa natumia dozi ya mkojo nikiona mambo hayako sawa, na huwa inalipa. Pia, huwa najitibu wakati wa full moon, nitaelezea full moon huwa inanisaidia vipi kujitibu siku nyingine, kwa hiyo ni marufuku kwenda kwa waganga kwangu mimi. Pia, huwa nafanya meditation, na kamwe huwa siachi kufanya affirmation, yaani kushukuru kwa kile nilicho nacho na ambacho sina. Kuna nguvu kubwa katika kushukuru kwa ulivyo navyo na ambavyo hauna.
nipe ufafanuzi hapo uliposema "HAUJIKAUSHI KWA MANUIZI" manaake nini
 
Hii ni muda wowote tu ukiamka ,full moon huwa inahusiana na kuachilia na kuaffirm , nitaelezea siku nyingine . Pia mkuu umenisaidia sana mimi sio mganga kwamba naomba hela nitibu ,hamna nimeshare elimu niliyopata ikanisaidia kabisa na nikaiamini ,kwahyo uamuzi ni wadau kuzingatia au kuacha

Ukileta habari za full moon nitag
 
Yupo mfalme aliyepata upufu kwa njia ya ajabu kuhani wake alimshauri atafute msichana/mwanamke asiyechepuka hapo balaa lilianza kwa mke wake na aliendelea kuogelea na kunawa mikojo ya kijiji kizima...imani inapony ila syo kila jambo ufanye.
 
Wewe ni muhanga wa kitu inaitwa
New Age spirituality psychosis.
Vitu kama Yoga , Chakra , Meditation, channelling, Manifestation, Shivambu(mkojo), Frequency
Hizi zote ni mumbo jambo utasikia sana ,hakini haviingi akilini.

Hizi dini za kisasa au occult za watu ambao SI wapagani Bali huitwa Agnostic 'hawaamini Mungu' Bali wanaamini Kuna Higher power/mother nature.
 
Wewe ni muhanga wa kitu inaitwa
New Age spirituality psychosis.
Vitu kama Yoga , Chakra , Meditation, channelling, Manifestation, Shivambu(mkojo), Frequency
Hizi zote ni mumbo jambo utasikia sana ,hakini haviingi akilini.

Hizi dini za kisasa au occult za watu ambao SI wapagani Bali huitwa Agnostic 'hawaamini Mungu' Bali wanaamini Kuna Higher power/mother nature.
Fact
 
Hii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ, Msange JKT. Basi, yule ndugu yangu alinambia tiba ya haya mambo yote ni mkojo wa asubuhi ukifanya kwa imani.

Jamaa yangu alinielezea kwamba ukiamka asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote ule mkojo wa kwanza wa asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote, hakikisha unauweka kwenye chombo unanuia kuondoa mabaya, yaani vifungo, laana, na huku unanuia ukuletee mazuri, then unakunywa kidogo, mwingine unaobaki unaweka kwenye maji huku ukinuia unaenda kuoga, na ukimaliza haujikaushi kwa manuizi, kwa siku saba mfululizo.

Basi, zilikuwa hazijafika hizo siku saba. Mambo yalianza kufunguka, sehemu ambazo nilikuwa nimeomba kazi bila mafanikio nikaanza kuitwa hadi za Serikali ni, mpaka nikawa na uchaguzi wapi niende. Kunywa mkojo ule kulifanya niharishe na kutapika uchafu mwingi sana.

Katika kipindi hicho cha dozi ya mkojo nilishangaa naanza kukubalika sana kwa watu katika mtaa wetu, kitu chochote kilichotaka kufanyika ilikuwa lazima nihusishwe, yaani ile nafsi ya kutambulika kwa watu ikawa kubwa. Kingine katika kipindi natumia dozi ya mkojo, wale watu walionifanyia ubaya nilikuwa nawaota ndotoni napambana nao, nawashinda mpaka muda mwingine nilikuwa nikisema sasa hamwezi kuniroga tena, au nilikuwa naota wananifukuza mbio na kuwaacha huku nikiwatambia na kauli ya hamniwezi tena hata mfanyeje.

Kitu kingine katika siku ya tatu ya dozi ya mkojo nilikuwa addicted sana na betting, basi niliweza kuwin Perfect 12 ya Mbet milioni 125, ambayo ilifanya nifungue kampuni ya kukopesha na kutengeneza ajira kwa jamaa zangu, pamoja na uwakala wa huduma za kibenki na simu.

Kiukweli, tokea kipindi kile mpaka sasa, huwa natumia dozi ya mkojo nikiona mambo hayako sawa, na huwa inalipa. Pia, huwa najitibu wakati wa full moon, nitaelezea full moon huwa inanisaidia vipi kujitibu siku nyingine, kwa hiyo ni marufuku kwenda kwa waganga kwangu mimi. Pia, huwa nafanya meditation, na kamwe huwa siachi kufanya affirmation, yaani kushukuru kwa kile nilicho nacho na ambacho sina. Kuna nguvu kubwa katika kushukuru kwa ulivyo navyo na ambavyo hauna.
Siku nyingine ukishauriwa kula kimba lako ili kutatua shida zako zinazo kusumbua, wewe kula tu. Maana hakuna namna nyingine.
 
Alikuambia nn kuhusu mavi ya usiku mbona hutuambii unavyoyala au unaona aibu asee
 
Back
Top Bottom