Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

NGUVU YA FANTA ORANGE
Nashare maarifa nilipata kwa watu nikafanya ikalipa ,chukua ile Fanta orange ambayo sio take away ,eneo nilipo inauzwa ( 600) bei elekezi , ukishanunua tafuta ndoo ya maji ya kuogea weka vipande 14 vya chumvi ya mawe ,changanya na Fanta orange ,kwa manuizi kisha kaoge ,husaidia kuvuta bahati na mvuto ,usijipanguse ikaukie ,pia usiogee chooni .
Na ni vizuri kuoga zaid wakati wa kulala itakusaidia sana kuota ndoto za wazi sana na kuwajua wabaya wako kutokana na manuizi yako . Unanuia kwa kuwa Fanta orange ilivo tamu na mm naomba niwe mtamu hvhv na Mambo yangu yote ,yawe matamu sana .Jaribu na hii urudi na ushuhuda Kama mkojo umeshindwa
 
kam ni choo + bafu hii ipoje
 
Maelezo zaidi kuhusu Fanta orange .........
1 . Itakusaidia kufunuliwa wabaya wako wote ,kivipi pata ,soda yako ya Fanta orange ,subir hadi saa sita za usiku,nenda sehemu ambayo Hakuna nyasi wala magugu yaan kweupe ,Fungua Fanta orange na useme maneno haya " Mwanga au mchawi yoyote anayenifayia ubaya ninapoweka kinywaji hiki chini afunuliwe na asirudie kabisa kunifanyia ubaya ,unaweza kuongezea na wewe maneno yako ....ukimaliza kuongea mwaga Fanta yako na urudi ndani mwako bila kugeuka nyuma usubir kitakachotokea .
2 .Kabla ya kunywa Fanta orange mwagia chini itafungua vifungo vyako
3. Ukitaka mauzo katika biashara yako ,asubuh na mapema baada ya kufagia iombee soda yako na umwage mbele ya duka lako na ndani ,utakuja na ushuhuda
4 kuvuta bahati na mvuto ,ogea kwenye maji kila siku ukiwa unaichanganyia na vipande 14 vya chumvi mawe ,shukrani sana

Baadae tutashare nguvu ya mkaa uliowaka Moto tayar ,na kupozwa kwa maji una nguvu gani?

Haya maarifa nimejifunza kwa watu mbalimbali ,wakiniruhusu nawataja majina yao ,nilifanya nikaona matokeo ,fanya ambayo ni rahisi kwako ulete mrejesho .
 
Sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa natafuta namna yani kupambana na nguvu hasi .Nimeanza na chumvi ya mawe soon nitajaribu na hiyo. Sometimes unajihisi kama umerogwa na aliyekuroga ukianza kumfikiria humjui

Huwa natafuta namna ya kupambana na nguvu hasi .Nimeanza na chumvi ya mawe soon nitajaribu na hiyo. Sometimes unajihisi kama umerogwa na aliyekuroga ukianza kumfikiria humjui
Nipe namna ya kuitumia chumvi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu na Mimi mkono umewahi kunisaidia lakini Mimi ilikua ni kujitibia makovu usoni baada ya kupata ajali nilikua nakunywa kidogo mwingine naisugua kwenye makovu na kiukweli yalipotea yote
 
Pia usitumie sabuni ,jimwagie tu na usipanguse maji yakaukie ,fanya halafu urudi na ushuhuda hapa na tabasamu la ushind
...Ni hivi vyoo vyetu Self-Contained ambavyo vina Sinki la Choo Cha Kukalia na Bomba la Mvua humo humo, itakuwaje ?
 
Ujuaji ujuaji ujuaji.Kuna siku yatakukuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…