Ngoja tutaleta na nguvu ya Fanta orange ile ya chupa sio ile take away nguvu yake katika kuondoa negative energy ,na pia inatumika kuwajua watu wote waliowahi kukufanyia ubaya ukiitumia utawaona ndotoni wakifanya hzo Mambo .
Safi sana upo sawa kabisaPia inaleta lucky, inaondoa husda (kijicho) iwe kwa kuinywa au kuogea
Bila kutumia sabuni tenaPia usitumie sabuni ,jimwagie tu na usipanguse maji yakaukie ,fanya halafu urudi na ushuhuda hapa na tabasamu la ushind
Hebu tupe fanta orangeNgoja tutaleta na nguvu ya Fanta orange ile ya chupa sio ile take away nguvu yake katika kuondoa negative energy ,na pia inatumika kuwajua watu wote waliowahi kukufanyia ubaya ukiitumia utawaona ndotoni wakifanya hzo Mambo .
Mungu yupi sasa?huo mkojo ndio Mungu wakeAchana na mkojo Sasa!
Ukiamka tu kabla hujaongea na mtu ongea na Mungu kwanza aliyekuumba!
Hayo manuizo ss elekeza Kwa Mungu basi !
Yes unaoga maji yaliyochanganywa na mkojo bila sabuni
kam ni choo + bafu hii ipojeNGUVU YA FANTA ORANGE
Nashare maarifa nilipata kwa watu nikafanya ikalipa ,chukua ile Fanta orange ambayo sio take away ,eneo nilipo inauzwa ( 600) bei elekezi , ukishanunua tafuta ndoo ya maji ya kuogea weka vipande 14 vya chumvi ya mawe ,changanya na Fanta orange ,kwa manuizi kisha kaoge ,husaidia kuvuta bahati na mvuto ,usijipanguse ikaukie ,pia usiogee chooni .
Na ni vizuri kuoga zaid wakati wa kulala itakusaidia sana kuota ndoto za wazi sana na kuwajua wabaya wako kutokana na manuizi yako . Unanuia kwa kuwa Fanta orange ilivo tamu na mm naomba niwe mtamu hvhv na Mambo yangu yote ,yawe matamu sana .Jaribu na hii urudi na ushuhuda Kama mkojo umeshindwa
SawaMaelezo zaidi kuhusu Fanta orange .........
1 . Itakusaidia kufunuliwa wabaya wako wote ,kivipi pata ,soda yako ya Fanta orange ,subir hadi saa sita za usiku,nenda sehemu ambayo Hakuna nyasi wala magugu yaan kweupe ,Fungua Fanta orange na useme maneno haya " Mwanga au mchawi yoyote anayenifayia ubaya ninapoweka kinywaji hiki chini afunuliwe na asirudie kabisa kunifanyia ubaya ,unaweza kuongezea na wewe maneno yako ....ukimaliza kuongea mwaga Fanta yako na urudi ndani mwako bila kugeuka nyuma usubir kitakachotokea .
2 .Kabla ya kunywa Fanta orange mwagia chini itafungua vifungo vyako
3. Ukitaka mauzo katika biashara yako ,asubuh na mapema baada ya kufagia iombee soda yako na umwage mbele ya duka lako na ndani ,utakuja na ushuhuda
4 kuvuta bahati na mvuto ,ogea kwenye maji kila siku ukiwa unaichanganyia na vipande 14 vya chumvi mawe ,shukrani sana
Baadae tutashare nguvu ya mkaa uliowaka Moto tayar ,na kupozwa kwa maji una nguvu gani?
Haya maarifa nimejifunza kwa watu mbalimbali ,wakiniruhusu nawataja majina yao ,nilifanya nikaona matokeo ,fanya ambayo ni rahisi kwako ulete mrejesho .
Aliyemuumba, aliyeziumba mbingu na nchi na vyote...Mungu yupi sasa?huo mkojo ndio Mungu wake
Huwa natafuta namna yani kupambana na nguvu hasi .Nimeanza na chumvi ya mawe soon nitajaribu na hiyo. Sometimes unajihisi kama umerogwa na aliyekuroga ukianza kumfikiria humjui
Nipe namna ya kuitumia chumviHuwa natafuta namna ya kupambana na nguvu hasi .Nimeanza na chumvi ya mawe soon nitajaribu na hiyo. Sometimes unajihisi kama umerogwa na aliyekuroga ukianza kumfikiria humjui
Mkuu na Mimi mkono umewahi kunisaidia lakini Mimi ilikua ni kujitibia makovu usoni baada ya kupata ajali nilikua nakunywa kidogo mwingine naisugua kwenye makovu na kiukweli yalipotea yoteHii dunia bhana ina maarifa mengi yaliyojificha. Kuna kipindi niliwahi pata vifungo vya kichawi, nikawa naenda kinyume na dunia inavyotaka. Basi, baada ya kupambana muda mrefu bila kupona, nilikutana na rafiki yangu mmoja ambaye tulikuwa tumepotezana muda mrefu baada ya kuwa tumeachana 823 KJ, Msange JKT. Basi, yule ndugu yangu alinambia tiba ya haya mambo yote ni mkojo wa asubuhi ukifanya kwa imani.
Jamaa yangu alinielezea kwamba ukiamka asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote ule mkojo wa kwanza wa asubuhi kabla hujaongea na mtu yoyote, hakikisha unauweka kwenye chombo unanuia kuondoa mabaya, yaani vifungo, laana, na huku unanuia ukuletee mazuri, then unakunywa kidogo, mwingine unaobaki unaweka kwenye maji huku ukinuia unaenda kuoga, na ukimaliza haujikaushi kwa manuizi, kwa siku saba mfululizo.
Basi, zilikuwa hazijafika hizo siku saba. Mambo yalianza kufunguka, sehemu ambazo nilikuwa nimeomba kazi bila mafanikio nikaanza kuitwa hadi za Serikali ni, mpaka nikawa na uchaguzi wapi niende. Kunywa mkojo ule kulifanya niharishe na kutapika uchafu mwingi sana.
Katika kipindi hicho cha dozi ya mkojo nilishangaa naanza kukubalika sana kwa watu katika mtaa wetu, kitu chochote kilichotaka kufanyika ilikuwa lazima nihusishwe, yaani ile nafsi ya kutambulika kwa watu ikawa kubwa. Kingine katika kipindi natumia dozi ya mkojo, wale watu walionifanyia ubaya nilikuwa nawaota ndotoni napambana nao, nawashinda mpaka muda mwingine nilikuwa nikisema sasa hamwezi kuniroga tena, au nilikuwa naota wananifukuza mbio na kuwaacha huku nikiwatambia na kauli ya hamniwezi tena hata mfanyeje.
Kitu kingine katika siku ya tatu ya dozi ya mkojo nilikuwa addicted sana na betting, basi niliweza kuwin Perfect 12 ya Mbet milioni 125, ambayo ilifanya nifungue kampuni ya kukopesha na kutengeneza ajira kwa jamaa zangu, pamoja na uwakala wa huduma za kibenki na simu.
Kiukweli, tokea kipindi kile mpaka sasa, huwa natumia dozi ya mkojo nikiona mambo hayako sawa, na huwa inalipa. Pia, huwa najitibu wakati wa full moon, nitaelezea full moon huwa inanisaidia vipi kujitibu siku nyingine, kwa hiyo ni marufuku kwenda kwa waganga kwangu mimi. Pia, huwa nafanya meditation, na kamwe huwa siachi kufanya affirmation, yaani kushukuru kwa kile nilicho nacho na ambacho sina. Kuna nguvu kubwa katika kushukuru kwa ulivyo navyo na ambavyo hauna.
Nadhani kunywa mkojo ni hatari kwa afyaUchafu uliotolewa mwilini, unarudisha tena mwilini,hebu chunguza athari zake kwa makini.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
...Ni hivi vyoo vyetu Self-Contained ambavyo vina Sinki la Choo Cha Kukalia na Bomba la Mvua humo humo, itakuwaje ?Pia usitumie sabuni ,jimwagie tu na usipanguse maji yakaukie ,fanya halafu urudi na ushuhuda hapa na tabasamu la ushind
...Hii hii Soda Fanta Orange tuliyoibuni.na tunaitengeneza wenyewe Binadamu ???Pia inaleta lucky, inaondoa husda (kijicho) iwe kwa kuinywa au kuogea
Ujuaji ujuaji ujuaji.Kuna siku yatakukutaNGUVU YA FANTA ORANGE
Nashare maarifa nilipata kwa watu nikafanya ikalipa ,chukua ile Fanta orange ambayo sio take away ,eneo nilipo inauzwa ( 600) bei elekezi , ukishanunua tafuta ndoo ya maji ya kuogea weka vipande 14 vya chumvi ya mawe ,changanya na Fanta orange ,kwa manuizi kisha kaoge ,husaidia kuvuta bahati na mvuto ,usijipanguse ikaukie ,pia usiogee chooni .
Na ni vizuri kuoga zaid wakati wa kulala itakusaidia sana kuota ndoto za wazi sana na kuwajua wabaya wako kutokana na manuizi yako . Unanuia kwa kuwa Fanta orange ilivo tamu na mm naomba niwe mtamu hvhv na Mambo yangu yote ,yawe matamu sana .Jaribu na hii urudi na ushuhuda Kama mkojo umeshindwa