Ushuhuda: Mkojo wangu wa asubuhi ulivoniponya

Halafu watu wengi wanachanganya hz Mambo ,mkojo haukupi utajiri Ila mkojo ni tiba ya kukuondolea vifungo ,mikosi ,uchawi ,unabaki normal tu ,tukija suala la utajiri ni kitu kingine kabisa .
Hapa tunaongelea kurudisha aura yako na peace of mind yako uliyozaliwa nayo siku ya kwanza unazaliwa ,means kila kitu kinakuwa kinaenda sawa na birth chat yako inavyosema,wale wataalam wa astrology watakuwa wanaelewa kuhusu birth chat kiundani .
 

mmh
 
Sijui kuhusu mkojo ila hayo mengine kuhusu Full moon ,Manifestation,affirmation ni kweli kabisa
Kwakuwa kusudio langu ni hilo , nitaelezea namna ya kufanya manifestation , affirmation ,na vitu gani vya kufanya kipindi cha full moon ili upandishe energy yako au chaji yako ,kwenye full [emoji281] moon ndo muda sahihi wa kuachilia Mambo yote mabaya ambayo hayakunufaishi tena ,na kupokea Mambo yote mazuri ........Nchi nyingine huwa wanasherekea kabisa siku ya full moon ,ni kipind Cha kuchaji energy zako ...........matambiko mengi ambayo huwa yanafanyika wakati wa full moon huwa yanafanya kazi kwa asilimia kubwa ..... ....
 
mkuu mbona hili swali hujibu naona member zaidi ya mmoja wanauliza ila hutoi jibu na inatugusa wengi ..swali "vipi sisi tunaotumia choo na bafu vipo sehem moja , yani sink la choo na pembefu ile shower yakuogea ndio hatuna bahati tena" nawasilisha ..
Anajizungusha sana kujibu hili swali
 
Tutapata masomo mengi kuhusu nguvu ya karafuu ,nguvu ya kitunguu maji cheupe ,nguvu ya jani la mwarobaini ,nguvu ya mmea wa baraka ( kivumbasi ) na mengine ,nikiwa napata muda nitakuwa naelezea moja moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…