Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu.

Wanachukulia poa sana hawa warembo yaani sijui wakishaona unavijisenti viwili basi wao wanajiachia tuu. Wanakususia mbususu kavu kavu sasa wee nyunyuzia tuu utasikia oh sioni siku zangu.
 
Hizi taka taka huwa zina akili gani sjui,ndo mana tunawaambia KATAA NDOA,,tatizo mijitu mingi huwa mibishi,sasa we na akili zako kweli unajiita kidume then unaoa,afu unaoa single maza duh???kweli duniani kuna wanaume majuha sana asee.

Mimi dada angu alizalishwa na jamaa aliyefunga naye ndoa ya kanisani kabisa,wakaja kuachana,kila mtu akawa na habari zake,ila tayari akawa na watoto watatu.

Dada alirudi home kwa mama ake,akawa yupo yupo tu japo ni mwajiriwa wa serikali,cha ajabu kuna jamaa akajitokeza akamtia tena mimba now ana watoto wanne,mmoja ndio wa huyo jamaa mpya.

Sjui kama wana mpango wa kuoana,ila kama yule anataka kumuoa sista angu basi ntamshauri kabisa aache ufala,coz najua iko siku atapigwa na kitu kizito sana,ila kama anamla tu anendelee tu coz ndo wanachostahili hawa vichwa maji masingle maza.
 
Hapana tusifike huko,kuwa single maza sio shida coz kuzaa ni kuzaa tu,ila tatizo linaanza pale ambapo huwa hawaelewi kuwa sisi wanaume huwa tunataka wanawake tuliozaa nao na kuachana nao wawe losers tu,wakiwa na furaha na ndoa zao huwa inatuuma sana,tutafanya kila kitu ili kurudiana nae kama mchepuko tu,ila tunakuwa na mtu tayari tunayempenda kama mke.hapa ndo huwa nashangaa kwann hawa viumbe wa ajabu huwa hawaelewi???hv kichwani mwao kuna maji au au ubongo?
 
Acha ujinga mkuu.
 
Ulichukua Uhamuzi muzuri sana. Ila wewe ni mha wa wapi mshamba namna hiyo?
 

[emoji28][emoji28][emoji28] ila upuuzi huu unafanya niamini kua ukiachana na mtu usigule nyuma hata ukisikia bom we kimbia tuu mbele[emoji1787][emoji1787] kweli ex ni ex sema upendo ndo huwa unatugharimu sana wanawake[emoji17][emoji17]
 
[emoji28][emoji28][emoji28] ila upuuzi huu unafanya niamini kua ukiachana na mtu usigule nyuma hata ukisikia bom we kimbia tuu mbele[emoji1787][emoji1787] kweli ex ni ex sema upendo ndo huwa unatugharimu sana wanawake[emoji17][emoji17]
Hakuna upendo wala nini,ni huruma zenu za ajabu ajabu,x ni x tuu hata ukikuta kagongwa na gari jifanye kama hujamuona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…