PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Ukitaka kuoa mwanamke mwenye mtoto nenda ukamuulize mama yako kwanza, maana na yeye ni mwanamke umsikie ushauri wake. Akikuruhusu basi oa.Ila serious kuoa mwanamke ambaye ana mtoto tayari inavuruga mambo mengi sana hawa wadada sijui kama wanaelewa madhara ya kuzaa kabla ya ndoa.
Uzao wako wote unaharibika mnatembea na laana tu. na sisi wanaume kama mwanamke humuelewi na huna maisha naye ya mbele usimzalishe unajitia mikosi tu na laana kuzaa na kila mwanamke ni ufala, ukipata mwanamke tombana naye mkichokana achana naye.
Kwani kuwa mwanaume ni mpaka umwage mwage mbegu zako hovyo ? narudia tena huo ni ufala.
Usimuulize baba, kamuulize mama. Hakuna mama atakayekuruhusu ufanye hilo. Jiulize kwa nini?